Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda masikio yako yanachuja cha kusikia, hilo sio kosa lako bali ni aliyekuingiza kwenye hicho kitengo cha propaganda uchwara.Kuna haki ngapi zinakiukwa nchini na chadema wapo kimya.
Kulikoni hii ya Sabaya na ex 'DC wa Hai?
kwa sababu wengi waliumizwa na matendo yake maovu lakini huwezi kusema kwamba wao ndio walimtoa madarakani na kisha kumshtakiKwa nini walalamikaji wakubwa ni mabosi wa chadema na wafuasi wao mitandaoni?
Kwa kuwa wewe ni mmoja wa wanachadema hapa nitakuwa natwanga maji kwenye kinu.Huenda masikio yako yanachuja cha kusikia, hilo sio kosa lako bali ni aliyekuingiza kwenye hicho kitengo cha propaganda uchwara.
Hayo ndio matamanio yako kwamba kila mtu awe na machungu.Kwa kuwa wewe ni mmoja wa wanachadema hapa nitakuwa natwanga maji kwenye kinu.
Ila mzizi wa uchungu huu wote tunaujuwa.
Huyu jamaa aliweka rekodi ya kumuweka bechi Mwamba toka mjengoni.
Hapa wanachukua chako mapema wamepewa funzo ila Kwa ukichwa maji wao watajimwambafai kama washindi katika hili,hapa wamepewa funzo la kuwa Tanzania ni yetu sote bila kujali Sha tofauti za kiitikadi,kidini,kikabila au cheo Cha yeyote na hili likisimamiwa na awamu wasiyoiamini Wala kuipenda Kwa waliokwamia awamu iliyopita😜kwa hiyo chadema ndio walimvua udc sabaya na kisha kumshtaki?
SABAYA vs MBOWE pale HAI ARENA- MBOWE JANA HAJALALAAkina umkhontwewesizwe ,Comte,voicer &co hamtofautiani na hiyo mnae msheherekea🤔
Alitenda uovu ccm inatumia kila njia kumsafisha ili mwendazake asiendelee kuchafuliwa.Je, ilikuwa ni kesi ya kisiasa kati ya chadema dhidi ya Sabaya?
Ilianzia jana huko Club House za Twitter ambapo kiongozi mwandamizi wa Chadema ndugu Godbless Lema alitoa povu la kutosha akiituhumu mahakama na mamlaka husika za Kitanzania kutotenda haki...
Hivi bado kuna watu wanaonunua hili gazeti? Maana halifai hata kufungia maandazi.Mnaandika nini hiki? Amerudi rumande kwa kesi ya kujibu.
👇View attachment 2215686