Inawezekana tena sana.Nadhani kwenye barua za mtume Paulo kuna sehemu kajibu maana ya kanisa la kweli ni nini.Anaongelea nafsi yako na moyo wako(na sio hizi sijui RC,EAGT,PAG n.k kama ntakuwa siko sahihi unaweza kusoma zile nyaraka)
Kabla ya haya madhehebu watu walikuwa wakifanya ibada tu vuzuri kwa Mungu na kujibiwa.Nani anaweza kutoa ushahidi kwamba Ibrahim,Jacob,Isaac walikuwa wakristo wa madhehebu fulani lakini mbona walikuwa wakiwasiliana na Mungu tu vizuri.
Nadhani mitume wote waliotajwa katika biblia hawakuwa na dhehebu l sina uhakika,wenye kujua vizuri watakupa majibu sahihi)