Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Je, inawezekana kila kitu ni mpango wa Mungu?

Mkuu umeambiwa hata Mungu akija akikwambia yeye ni Mungu bado utabisha.
Mnalazimisha Mungu ambaye hamuwezi kumthibitisha?

Atakuja lini nimvalie suti na Johnston and Murphy shoes tupige story nimuhoji maswali mazito?

Stop fronting.

Hamuwezi kuthibitisha huyo Mungu wenu wa hadithi yupo.

Kwa sababu hayupo!
 
Mnalazimisha Mungu ambaye hamuwezi kumthibitisha?

Atakuja lini nimvalie suti na Johnston and Murphy shoes tupige story nimuhoji maswali mazito?

Stop fronting.

Hamuwezi kuthibitisha huyo Mungu wenu wa hadithi yupo.

Kwa sababu hayupo!
Wewe ni kipofu hata ukionyeshwa Mungu bado huta weza kumwona.. ulizaliwa hujui chochote ukijikojolea na kuji.. wala hukuona haya, angalau Sahivi unaweza kujisimamamia mwenyewe basi imekuwa shida hatulali!!!
 
Wewe ni kipofu hata ukionyeshwa Mungu bado huta weza kumwona.. ulizaliwa hujui chochote ukijikojolea na kuji.. wala hukuona haya, angalau Sahivi unaweza kujisimamamia mwenyewe basi imekuwa shida hatulali!!!
Kama mimi kweli ni kipofu hivyo, huo ni ushahidi kwamba huyo Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na vipofu kama mimi.
 
Kama mimi kweli ni kipofu hivyo, huo ni ushahidi kwamba huyo Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na vipofu kama mimi.
Kwasababu yeye ni muweza wa yote kaumba kipofu na anaeona, angeumba anaeona tu! Bado ungesema mbona kashindwa kuumba asiye ona. Wewe ni kipofu!!!
 
Kwasababu yeye ni muweza wa yote kaumba kipofu na anaeona, angeumba anaeona tu! Bado ungesema mbona kashindwa kuumba asiye ona. Wewe ni kipofu!!!
Hapana,

Angeumba anayeona tu angekuwa hana contradiction. Contradiction ingetokea wapi?

Huelewi hata hoja yangu,hoja yangu imejikita kwenye contradiction.

Ambayowewe huielewi.

Na kutoelewa kwako kunaonesha Mungu hayupo.

Angekuwepo, asingeumba kiumbe asiyeelewa kama wewe.
 
Hapana,

Angeumba anayeona tu angekuwa hana contradiction. Contradiction ingetokea wapi?

Huelewi hata hoja yangu,hoja yangu imejikita kwenye contradiction.

Ambayowewe huielewi.

Na kutoelewa kwako kunaonesha Mungu hayupo.

Angekuwepo, asingeumba kiumbe asiyeelewa kama wewe.
Yeye ameumba atakavyo, umeshindwa kujua asili yako Mungu utamjuaje?
 
Siwezi kumjua Mungu.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
Nathibitisha Mungu aliye kuumba wewe amekufanya kuwa kipofu, yale ambayo wengi wanayaona wewe huwezi kuyaona hadi utimie wakati wako wakuyaona.
 
Nathibitisha Mungu aliye kuumba wewe amekufanya kuwa kipofu, yale ambayo wengi wanayaona wewe huwezi kuyaona hadi utimie wakati wako wakuyaona.
Hujathibitisha. Unalazimisha tu.

Mungu angekuwepo, asingefanya yeyote kuwa kipofu.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Imani Yangu Ni Kwamba Mungu ametengeneza kanuni (Principles) Hapa Dunia,...

Kama unaposema (Water is made up of two hydrogen atoms and one oxygen atom) kwa ndo upate maji lazima hii kanuni ifuatwe

Hivi kuna principles nyingi zipo,..
_kama hujui kuendesha gari sio ngumu ww kupata ajali
_ngono zembe na mtu aliyeathirika inaweza kusababisha ww pia kuathirika
_kula vyakula ovyo na lifestyle mbaya inaweza kusababisha magonjwa mengi

Basi Maisha yetu yanafuata hizi kanuni kwamba kama upo hai leo jua ww ni zao la mwanamke na mwanaume,...

Mungu haendi nje ya izi kanuni,...''what others see as work of miracles are just principles of physics and mathematics" huu ni msemo wa mwana sayansi NIKOLA TESLA

Basi ata ukiwafufua wazee wa zamani wakaona the technological advancement wanaweza sema ni miujiza kumbe ni kanuni za hesabu na fisikia tu...

Nafikiri 'Ni Mpango Wa Mungu' ni statement rahisi yakusema 'Sijui kuelezea kilichotokea'

'Mungu amempenda zaidi' ni statement nyingine ya kusema aliyekufa amechukulia na mipango ya Mungu na kwa mara nyingi kifo ni sababu ya uvujanji kanuni hizi (Old age, diseases, accidents and so forth)

'Lets ask ourselves hard questions like why life span in US is at 70 and here at home is at 45'
Hii ni point ambayo watu wanatakiwa waijue, mimi huwa nawaza kuwa huenda hata mungu aliumba dunia na akaweka kanuni kisha akaenda zake
 
Laana yenyewe ni magumashi tu.

Thibitisha kwamba Mungu yupo, thibitisha laana ipo.
Laana ipo wewe jidanganye tu.

Na mimi siamini katika Mungu naamini katika Muumba

Mungu hata wewe unaweza kuwa_na ni imani yangu kuwa wenye kujifunza/au kujizoeza aina ile ya utaratibu wa kufikiri

Basi hupata zawadi hiyo Ufahamu mpana
 
Laana ipo wewe jidanganye tu.

Na mimi siamini katika Mungu naamini katika Muumba

Mungu hata wewe unaweza kuwa_na ni imani yangu kuwa wenye kujifunza/au kujizoeza aina ile ya utaratibu wa kufikiri

Basi hupata zawadi hiyo Ufahamu mpana
Unaandika tu, hujathibitisha chochote unachoandika.
 
Unaandika tu, hujathibitisha chochote unachoandika.
Kwaivyo unataka nikakuoneshe anakokaa Muumba

Na neno Muumba nalitumia kama msamiati wa kurejelea nguvu ya asili iliyotokeza vitu vyote

Na wala simaanishi labda ni Mtu kakaa anafinyanga udongo.

Utaratibu wa asili niliokuta katika sayari hii unaeleza picha kubwa ya maana yote

Mimi sijahusika katika kufanya lolote lile wala wazazi wangu hawakuwahi kudai kuhusika na chochote na wala watu wa pembeni kama wewe na wengine hakuna anaeweza kudai hilo, hata kwa wanangu siwezi kujinadi kwao juu ya hilo.

Ila tunajua kwa hakika kwamba tumetokana na vitu hivyo

'So being as human being we just say there is huge Human being sitting up there_who made all this'.

Hiyo ndio njia rahisi ya kurejelea nguvu ya asili na watu kukuelewa kwa wepesi juu ya kile unachomaanisha.

Kwa iyo kama akili yako inashindwa kutengua pattern ndogo kama hii sikulaumu

Na mimi binafsi sichukulii maisha kama kitu serious sana kwangu ni kama game tu ya Tatu Mzuka
 
Back
Top Bottom