Jambo la imani halihitaji uthibitisho, linahitaji kuamini.Wewe usioamini Mungu na wenye kuamini Mungu,kama mnajadili suala la uwepo wa Mungu nje ya kuwa ni jambo la imani basi hamtakuja kuelewana hapa.
Na wewe unatumia mwanya huo kusema hakuna Mungu na ndiyo maana hawawezi kuthibitisha kwa sababu umelitoa suala la uwepo wa Mungu kama jambo la imani.
Umeshindwa nini kuweka ufafanuzi wewe unayejua maana? Wewe umesema kuwa kutokana na mzazi kuwa na dhambi hivyo anazaa mtoto mwenye laana ndio maana anapata magonjwa. Mungu ni mwenye haki atampaje mtoto magonjwa kutokana na dhambi ambazo mtoto ajazitenda?Acha kukariri "maandiko" usiyoelewa maana yake. Unaelewa maana ya neno "kuuawa"?
Tufanye mwanadamu kaumbwa na Mungu, Je mungu nae katokea wapi au kaubwa na nani?Sema huna jibu, aliye kufanya wewe uwepo ninani? Tunajua magari sim radio nk ni kazi ya mwanadam je, huyo mwanadamu katoka wapi?
Unapataje wokovu pasipo kupitia duniani kwanza?? Hao watoto wanaoteseka kwa maradhi ni sababu ya dhambi zenu na maovu yenu ndiyo maana mnazaa watoto wenye maradhi. Kama mngekuwa hamtendi dhambi na maouvu basi mngezaa watoto waliobarikiwa. Fahamu kwamba watoto wanatokana na mbegu za kiume zikiungana na mbegu za kike. Hujui kwamba dhambi ndiyo imefanya miili yetu kuwa dhaifu??
Sasa mbegu zenu zimejaa laana ya dhambi na maovu unategemea zitazaa watoto wasiokuwa na magonjwa na madhaifu mbalimbali?? Halafu bila akili za kufikiri unamlaumu MUNGU, huoni kama MUNGU ni mwenye haki sababu licha ya maovu yenu lakini bado amewapa nafasi ya kuishi tena maisha mazuri zaidi na yenye kupendeza ninyi na watoto wenu hapo baadae?
/SIZE]
Mkuu uzi hahusiani nahao ulio wataja jikite kwenye maada, usimlazimishe kila mtu asome ulicho soma, nivyema zaidi ungetupia hapa tuchambue pumba na mchele.Sasa hapa utabishana na mtu ambaye hamjui Dawkins wala Craig na kibaya zaidi hajui hata hoja zao.
Na wengine wengi hata Kiingereza cha kuweza kusoma hivyo vitabu unavyosema hawajui.
Halafu wanabishana katika mambo ambayo hayajaandikwa kakika vitabu vya Kiswahili!
Unajuaje uzi hausiani na hao niliowataja kabla hujawasoma?Mkuu uzi hahusiani nahao ulio wataja jikite kwenye maada, usimlazimishe kila mtu asome ulicho soma, nivyema zaidi ungetupia hapa tuchambue pumba na mchele.
Wewe unaamini Mungu yupo?Tufanye mwanadamu kaumbwa na Mungu, Je mungu nae katokea wapi au kaubwa na nani?
Maswali yangu nimeyatoa kwenye biblia siyo kwahao ndezi wako..Unajuaje uzi hausiani na hao niliowataja kabla hujawasoma?
Mkuu ikiwa kila kitu ni mpango wa Mungu? inawezekana kamfanya huyu jamaa kuwa na moyo mgum! Je ikiwa Mungu atamchoma atakuwa kamtendea haki?Wewe usioamini Mungu na wenye kuamini Mungu,kama mnajadili suala la uwepo wa Mungu nje ya kuwa ni jambo la imani basi hamtakuja kuelewana hapa.
Na wewe unatumia mwanya huo kusema hakuna Mungu na ndiyo maana hawawezi kuthibitisha kwa sababu umelitoa suala la uwepo wa Mungu kama jambo la imani.
Unapokosea wewe ni kufanya imani kuwa kama utabiri,kwa sababu kwenye utabiri hauwezi kutabiri jambo ambalo limeshapita ila kwenye imani unaweza kuamini jambo ambalo limeshapita na hauwezi kupata ukweli juu ya jambo hilo.Jambo la imani halihitaji uthibitisho, linahitaji kuamini.
Sitaki imani, ukiamua kufuata imani, utajuaje imani yako ni sahihi au si sahihi bila uchunguzi? Na ukifanya uchunguzi kuhakiki imani yako kama ni ya kweli au la, bado upo kwenye imani au unatoka kwenye imani na kwenda kwenye uthibitisho?
Yani kwamba unahoji kama Mungu ana tenda haki au hatendi haki?Mkuu ikiwa kila kitu ni mpango wa Mungu? inawezekana kamfanya huyu jamaa kuwa na moyo mgum! Je ikiwa Mungu atamchoma atakuwa kamtendea haki?
Ndiyo mkuuYani kwamba unahoji kama Mungu ana tenda haki au hatendi haki?
Mungu atakuwa hajamtendea haki kama akimchoma. Maana umeshasema kuwa Mungu ndiye aliyemfanya huyu jamaa kuwa na moyo mgumu. Kwahiyo sio mapenzi yake huyu jamaa kuwa na moyo mgumu bali ni Mungu.Mkuu ikiwa kila kitu ni mpango wa Mungu? inawezekana kamfanya huyu jamaa kuwa na moyo mgum! Je ikiwa Mungu atamchoma atakuwa kamtendea haki?
Pengine Mungu ili azionyeshe gadhabu zake mtu kama huyu lazma awepo. Ni kama kwa Farao, 2 Utanena hayo yote nikuagizayo; na ndugu yako Haruni atanena na Farao, ili awape wana wa Israeli ruhusa watoke nchi yake.Mungu atakuwa hajamtendea haki kama akimchoma. Maana umeshasema kuwa Mungu ndiye aliyemfanya huyu jamaa kuwa na moyo mgumu. Kwahiyo sio mapenzi yake huyu jamaa kuwa na moyo mgumu bali ni Mungu.
Imani haihitaji uthibitisho, imani sahihi inahitaji uthibitisho.Unapokosea wewe ni kufanya imani kuwa kama utabiri,kwa sababu kwenye utabiri hauwezi kutabiri jambo ambalo limeshapita ila kwenye imani unaweza kuamini jambo ambalo limeshapita na hauwezi kupata ukweli juu ya jambo hilo.
Na uthibitisho haufanyi jambo kuwepo au kutokuwepo,mie kama nimefanya kosa lakini ukakosekana uthibitisho wa kuonesha kuwa kweli nimefanya kosa hali hiyo haiondoi uhalisia wa kwamba nimefanya kosa,sasa kuamini si jambo lenye kuhitaji matokeo ya kile unachokiamini kama ilivyo kwenye kutabiri.
Wewe mwenyewe unasema imani haihitaji uthibitisho,kwahiyo hata tukitaka kujadili imani ipi sahihi na ipi sio sahihi lazima tukumbuke kuwa imani haihitaji uthibitisho.
Kwahiyo kutaka kujua usahihi wa imani hakufanyi utoke nje ya hiyo imani,maana kama ni hivyo kungekuwa hakuna haja ya kuamini bali tungefanya tu uchunguzi moja kwa moja ili kupata majibu yasio ya imani.
Maelezo yako hapo ni kwamba imani haihitaji uthibitisho,ila ukitaka kujua imani yako kama ni sahihi kwa kufanya uchunguzi basi utakuwa umetoka kwenye hiyo imani na kwenda kwenye uthibitisho.Jambo la imani halihitaji uthibitisho, linahitaji kuamini.
Sitaki imani, ukiamua kufuata imani, utajuaje imani yako ni sahihi au si sahihi bila uchunguzi? Na ukifanya uchunguzi kuhakiki imani yako kama ni ya kweli au la, bado upo kwenye imani au unatoka kwenye imani na kwenda kwenye uthibitisho
Maelezo yako hapo ni kwamba imani haihitaji uthibitisho,ila ukitaka kujua imani yako kama ni sahihi kwa kufanya uchunguzi basi utakuwa umetoka kwenye hiyo imani na kwenda kwenye uthibitisho.
Hivyo hauwezi tena kuja kusema et imani sahihi inahitaji uthibitisho,maana ukishapata uthibitisho hakuna tena imani hapo.
Unajichanganya mwenyewe.
Kosoa katika kile nilichokieleza au fafanua unapoona sikupaelewa.Hujui set theory, hujui subset ni nini.
Kwa mantiki yako nikikwambia kwamba Dodoma ni mkoa, Bunge liko katika Mkoa wa Dodoma.
Mkoa wa Dodoma upo nchini Tanzania.
Nikikwambia Bunge hilo lililopo mkoani Dodoma lipo nchini Tanzania, utabisha.
Utasema Bunge lipo mkoani Dodoma, halipo Tanzania!