Je, inawezekana kwa mwanamke kudumu na mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za kiume kwa sababu anampenda?

Je, inawezekana kwa mwanamke kudumu na mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za kiume kwa sababu anampenda?

Umempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili.

Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu ya kumpenda?
Kama tatzo Hilo linataturika utadum nae!! Maana ukishajua kuwa anatatzo mtatafuta solution,na mkishatatua maisha yataendelea Kama kawa
 
Binafsi niliwahi kuwa na wanawake.(mademu)wengi tu

Wengi waowalikuwa wanalalamika sana pindi tunaposhiriki Zinaa, Walikuwa wanasema Ninawaumiza kwa kuwapelekea moto mkali sana.

Wanawake hawaeleweki kaka.
Ukipeleka moto wanalalama usipo wakojolesha WANALIWA.

WASIKUUMIZE KICHWA
 
Umempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili.

Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu ya kumpenda?
Ukhanisi ndio hautibiki, lakini tatizo la nguvu za kiume linatibika.

Hata wanawake wengi wana tatizo la nguvu za like ila wengi hawalijuhi hilo.

Siyo Mara zote kumridhisha mwanamke ni tatizo la nguvu za kiume Bali ni tatizo la nguvu za like.

Wanawake wanaokazwa na majini mahaba ni tatizo sana, mpaka upambane kwanza kulitowa jini mahaba ndio mtaelewana.

Wengi mnaishi duniani kama vipofu hata kinachoendelea kwenye maisha yenu hamuelewi.
 
Binafsi niliwahi kuwa na wanawake.(mademu)wengi tu

Wengi waowalikuwa wanalalamika sana pindi tunaposhiriki Zinaa, Walikuwa wanasema Ninawaumiza kwa kuwapelekea moto mkali sana.

Wanawake hawaeleweki kaka.
Ukipeleka moto wanalalama usipo wakojolesha WANALIWA.

WASIKUUMIZE KICHWA
Hujui matumizi ya Dudu yako
 
Umempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili.

Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu ya kumpenda?
hii kitu naona kama haipo mkuu, mtu ale vizuri, awe na muda mzuri wa mapunziko na awe na hela zake tu za kawaida

hiyo hali hakuna.

wakati mwingine hali hiyo inakuja mtu akikosa nilivyotaja hapo juu
 
Back
Top Bottom