Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
DuhHuwa siwaelewi wanaosema eti wanakaa mwezi bila kukwichi.....nawaona kama sio binadamu kamili π
Wazungu wanajua zajdi hizi habari..waafrica kama unavyoona wanashangaa ..Tena kidole kinacheza vzur mkuu,pia huwa hakiishiw nguvu,yaan masaa yot kimesimama mkuu,Dunia ishabadilika mkuu,watu washahamia kweny kidole,shituka mapema mkuu
Hayo ni yakoKo unamanisha kuwa wanaoish kwa kusagana sio watu ??
Babe yaani habari ya tamuu achana nayo kabisaπππHahaha, ila wewe bwana!!
Huh!!Hivi mkuu ile hali yako ilishaisha au nyegez bado haziishi..
Haha, Kwamba hujui anachopitia huyu binti?Huh!!
Sio habari ya tam, ni habari ya pesa..wewe ba pesa mna tatizo gaji?Babe yaani habari ya tamuu achana nayo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo kwangu mkuu tujaribu ujionee!!! Nakutania mkuu πππππNi wapi huko wanatumia vidole nikajionee nijaribu
Mkuu Dunia ina pande kuu nne, wew inaonekana unafaham Ina pande kuu moja tuHayo ni yako
Kama kanioa na shida imeanza baadae sana baada ya ndoa na kupata watoto sawa nitadumu nae....Umempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili.
Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu ya kumpenda?
Na huyu iko wazi atagongewa...Binafsi niliwahi kuwa na wanawake.(mademu)wengi tu
Wengi waowalikuwa wanalalamika sana pindi tunaposhiriki Zinaa, Walikuwa wanasema Ninawaumiza kwa kuwapelekea moto mkali sana.
Wanawake hawaeleweki kaka.
Ukipeleka moto wanalalama usipo wakojolesha WANALIWA.
WASIKUUMIZE KICHWA
Sijui, anapitia nini?Haha, Kwamba hujui anachopitia huyu binti?
Yaani nimekuchenga ila ukarudi kule kuleππππSio habari ya tam, ni habari ya pesa..wewe na pesa mna tatizo gani?
Mimi na wewe tunachengana siku hizi? Kwanza weka ubini wangu nifurahi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani nimekuchenga ila ukarudi kule kule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea nguvu kazikosa Kwa kuzaliwa ama ni tatizo limemkuta likasababisha hali hiyo
Umeongea vizuri sanaInategemea nguvu kazikosa Kwa kuzaliwa ama ni tatizo limemkuta likasababisha hali hiyo
Mimi Nitatafuta namna ya kumsaidia ikiwa ni tatizo la kiafya maana wenzetu ata akiwa na stress tu mwingine haisimami mapenz ni zaidi ya sex hata wanawake Kuna wakti hatuna nguvu za kike kutokana na marejesho ya vikoba na michezo na mnatuvumilia tuππππ
πππDahUmeongea vizuri sana
Akishapona tatizo lake unaanza zile mambo zetu za kuidondokea sasa πππ
InawezekanaUmempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili.
Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu ya kumpenda?