Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
hahaha opportunistVipi [nampapaa] ipo njema lakini?
Infwakti, mimi ni dokta wa kina mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha opportunistVipi [nampapaa] ipo njema lakini?
Infwakti, mimi ni dokta wa kina mama.
bezikale, fuata nyuki ule asali.hahaha opportunist
Wapi ameziandama?!Kama kitu kimekushinda si unaacha tu kwani umelazimishwa!! halafu mbona mna ziandama sana pads za huyu mama nini shida mbona wabongo hatupendani!!
Soma vizuri statement yangu.Wapi ameziandama?!
Katika huo wingi nayeye umemuhusisha wakat hamna sehem alipozisema vby zaidi ya kuomba ushauriSoma vizuri statement yangu.
nimetumia 'wingi' sio 'umoja'
Ukisoma vizuri kuanzia title yake mpaka maelezo sidhani kama alikua anaomba ushauri bali alikua anazilaumu kwa zilivyomtenda kwa hiyo yeye hakutakiwa kuanzishia uzi alitakiwa baada ya kuona madhila hayo angeziacha na kuendelea kutumia alizozizoea.Katika huo wingi nayeye umemuhusisha wakat hamna sehem alipozisema vby zaidi ya kuomba ushauri
Kuacha kuzitumia ni suala moja na kusema yaliyomtokea na suala jingine.Ukisoma vizuri kuanzia title yake mpaka maelezo sidhani kama alikua anaomba ushauri bali alikua anazilaumu kwa zilivyomtenda kwa hiyo yeye hakutakiwa kuanzishia uzi alitakiwa baada ya kuona madhila hayo angeziacha na kuendelea kutumia alizozizoea.
Sote tukisema tuandike vitu vinavyotudhuru server si zitajaa humu!?Kuacha kuzitumia ni suala moja na kusema yaliyomtokea na suala jingine.
Hamna ubaya wowote kuja kusema nimetumia product fulani nikapata na matatizo labda inaweza kuwa ana ugonjwa yeye mwenyewe au hiyo bidhaa imemsababishia madhara
Nimekoma kabisa. Lakini always ziko poa sanaAcha kuzitumia,
Nimenda sina tatizo lolote. Ni hizo tu. Nimekosana nazoNaic utakuwa na tatizo la kiafya cyo bure, ungeenda hospital ukachek
Hapana. Ni nzuri sanaAlways ndogo?
Kwani kuna mtu kaziponda??Mimi natumia hizo since mwaka gani sijui na sijawahi ku experience any bad reaction, tho kuna watu wanasema sijui zinavuruga siku sijui nini jamani si unaacha tu unawapisha wengine wanatumia, mimi nikitumia Always Ultra huo muwasho wake balaa ila siwezi kuwaponda Always eti sababu me zimenikataa.
After all njia nzuri ni vitambaa ila yurk yurk mambo za kufua kama mtu anaweza bora aende tu huko.
Nawashwa balaaa. Na tumbo kuumaZimekuachia shida gani kwani
Yaani watu wanatafsiri vitu vibaya.Wapi ameziandama?!
Ulivyoongea ni moja kwa moja Kama vile tumeziongelea vibayaSoma vizuri statement yangu.
nimetumia 'wingi' sio 'umoja'
Sijaziongelea kwa ubaya. Na ndo maana nimesema labda nimekosana nazo.Ukisoma vizuri kuanzia title yake mpaka maelezo sidhani kama alikua anaomba ushauri bali alikua anazilaumu kwa zilivyomtenda kwa hiyo yeye hakutakiwa kuanzishia uzi alitakiwa baada ya kuona madhila hayo angeziacha na kuendelea kutumia alizozizoea.
Kama jamii forum wangeona najaza server yao. Wangefuta huu uzi.Sote tukisema tuandike vitu vinavyotudhuru server si zitajaa humu!?
Na kabla haja ziattack pads za watu alienda hospital akaambiwa shida ni pads?
By the way i have my reason kusema vile "mnamuandama" haijaanzia hapa.
Pole kama umekwazika na statement yangu.
Acha kuhusisha vitu vya msingi na chuki.Kama kitu kimekushinda si unaacha tu kwani umelazimishwa!! halafu mbona mna ziandama sana pads za huyu mama nini shida mbona wabongo hatupendani!!
Ilikuwa bahati mbaya tu nikachepuka ila always ndo mpenzi wangu wa kudumu. [emoji23][emoji23]Mie zilinishinda ikabidi nirudi kule kuleeee.