Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

Katika huo wingi nayeye umemuhusisha wakat hamna sehem alipozisema vby zaidi ya kuomba ushauri
Ukisoma vizuri kuanzia title yake mpaka maelezo sidhani kama alikua anaomba ushauri bali alikua anazilaumu kwa zilivyomtenda kwa hiyo yeye hakutakiwa kuanzishia uzi alitakiwa baada ya kuona madhila hayo angeziacha na kuendelea kutumia alizozizoea.
 
Ukisoma vizuri kuanzia title yake mpaka maelezo sidhani kama alikua anaomba ushauri bali alikua anazilaumu kwa zilivyomtenda kwa hiyo yeye hakutakiwa kuanzishia uzi alitakiwa baada ya kuona madhila hayo angeziacha na kuendelea kutumia alizozizoea.
Kuacha kuzitumia ni suala moja na kusema yaliyomtokea na suala jingine.

Hamna ubaya wowote kuja kusema nimetumia product fulani nikapata na matatizo labda inaweza kuwa ana ugonjwa yeye mwenyewe au hiyo bidhaa imemsababishia madhara
 
Kuacha kuzitumia ni suala moja na kusema yaliyomtokea na suala jingine.

Hamna ubaya wowote kuja kusema nimetumia product fulani nikapata na matatizo labda inaweza kuwa ana ugonjwa yeye mwenyewe au hiyo bidhaa imemsababishia madhara
Sote tukisema tuandike vitu vinavyotudhuru server si zitajaa humu!?

Na kabla haja ziattack pads za watu alienda hospital akaambiwa shida ni pads?

By the way i have my reason kusema vile "mnamuandama" haijaanzia hapa.

Pole kama umekwazika na statement yangu.
 
Mimi natumia hizo since mwaka gani sijui na sijawahi ku experience any bad reaction, tho kuna watu wanasema sijui zinavuruga siku sijui nini jamani si unaacha tu unawapisha wengine wanatumia, mimi nikitumia Always Ultra huo muwasho wake balaa ila siwezi kuwaponda Always eti sababu me zimenikataa.

After all njia nzuri ni vitambaa ila yurk yurk mambo za kufua kama mtu anaweza bora aende tu huko.
Kwani kuna mtu kaziponda??
 
Ukisoma vizuri kuanzia title yake mpaka maelezo sidhani kama alikua anaomba ushauri bali alikua anazilaumu kwa zilivyomtenda kwa hiyo yeye hakutakiwa kuanzishia uzi alitakiwa baada ya kuona madhila hayo angeziacha na kuendelea kutumia alizozizoea.
Sijaziongelea kwa ubaya. Na ndo maana nimesema labda nimekosana nazo.
Embu tu niachane na wewe
 
Sote tukisema tuandike vitu vinavyotudhuru server si zitajaa humu!?

Na kabla haja ziattack pads za watu alienda hospital akaambiwa shida ni pads?

By the way i have my reason kusema vile "mnamuandama" haijaanzia hapa.

Pole kama umekwazika na statement yangu.
Kama jamii forum wangeona najaza server yao. Wangefuta huu uzi.
Tusipangiane cha kupost
 
Back
Top Bottom