Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Wapi ameziandama?!
Kwani kuna mtu kaziponda??
Katika huo wingi nayeye umemuhusisha wakat hamna sehem alipozisema vby zaidi ya kuomba ushauri
Ulivyoongea ni moja kwa moja Kama vile tumeziongelea vibaya
Kuacha kuzitumia ni suala moja na kusema yaliyomtokea na suala jingine.
Hamna ubaya wowote kuja kusema nimetumia product fulani nikapata na matatizo labda inaweza kuwa ana ugonjwa yeye mwenyewe au hiyo bidhaa imemsababishia madhara
Sijaziongelea kwa ubaya. Na ndo maana nimesema labda nimekosana nazo.
Embu tu niachane na wewe
Kama jamii forum wangeona najaza server yao. Wangefuta huu uzi.
Tusipangiane cha kupost
Laugh Out Loud.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kua/Kuweni na Amani,
Don mind Meee.