Je, inawezekana matumizi ya aina fulani ya pedi yakabadili 'flow' ya damu ya hedhi?

HQ sina hamu nazo... mzunguko na utokaji wa hyo kitu tafrani na zawadi ya kijipu juu.... nmeamua kurudi enzi za mwalimu sahiv nipo salama, sio mambo ya mabaridi bila feni..!
 
[emoji40] kuna wengine nyuchi zao hazipendi luxury waachwe tu wavae nailoni zao.



Rubiikimimi[emoji85]
 
Ungeweka hapa basi tuelimike wote..mie najitahidi sana kubadili pad ila huwa zinanichubua sijui kwa nini.natafuta mbadala wake

love thé love or hâte thé love.....


kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
 
Kauli za biashara hizi ndugu yangu

kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
 
Mi pedi zinaniwashaga balaa. . Ila HC naona ni nzuri nilisahau kuwashwa kabisa, ila watu walinitisha kuniambia sio nzuri
 
Wafanyabiashara wote ndio kauli zao hizi...halaf ukishapata kansa hata ukipewa hela zote za duniani zitakusaidia nn?!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] brenda18 njoo uone

Rubiikimimi[emoji85]
 
Itakua hao wanatumia fake.... maana kuna fake pia so vema mtu kununua duka la dawa ndio kuna original.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
HQ sina hamu nazo... mzunguko na utokaji wa hyo kitu tafrani na zawadi ya kijipu juu.... nmeamua kurudi enzi za mwalimu sahiv nipo salama, sio mambo ya mabaridi bila feni..!
Enzi za mwalimu you mean vitambaa au....

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Kwani ni lazima kuvaa pedi hata hiyo always?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…