Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ulivyovua???kuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyovua???kuna always moja ile ambayo pink yake imekolea sana inawasha balaa sijui ni ya nchi gani kuna siku nilivua chupi barabarani
,asante kwa ufafanuzi,hizi sio nzuri hataDamu inajilundika ukienda kuitoa unafanya kama unaenda haja kubwa kwa kuisuma inatoka mfululizo! sio nzuri kabisa sijui kwanini wanawake wanazipenda
Nimependa hiiJamani apa kuna ped zinaitwa afropeds za uganda zenyewe ni za kufua kam chupi ni nzuri hatari bei sh 25000ndani zip nne tu unatumia mwaka mzima uzur wake ni ukivaa dam yotew inakaa kat kat ko haikugus mapaja wala nn ukivua unaeza his hujableed ukiloeka ndio utaon dam nyingi tu uzur haziwash unatumia unaifua unaanika mm kwa sasa niko salam apo coz hamna chemical kat kat pale coz unafua kabla hujaanza kutumia na kuendelea ni nzurii mno ko ww bi dada em kanunue hiZo pedi tumia mwez mmoja utakuj niambia
Sasa hii c ni pedi?!!![]()
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
Ndo ninayotumia, imetengenezwa kwa pambaSasa hii c ni pedi?!!
Naamini katika HC hata nikijua naenda kijijini nabeba za kutoshaYule mama anayetengeneza pedi za HC aliwahi sema ukipata shida baada ya kutumia product yake umtafute personally na atakupeleka kwa wataalamu wakufanyie examination,ikigundulika ni pad ya HC ndo imekufanya hivo atakulipa gharama zote. She seems much sure with her products
Anhaa hayaa..tunashkuruNdo ninayotumia, imetengenezwa kwa pamba
kudu ukudulie umande, mvua haina ukuduzi
Anakulipa gharama zote za nini sasa..za kununua viungo vipya au??Yule mama anayetengeneza pedi za HC aliwahi sema ukipata shida baada ya kutumia product yake umtafute personally na atakupeleka kwa wataalamu wakufanyie examination,ikigundulika ni pad ya HC ndo imekufanya hivo atakulipa gharama zote. She seems much sure with her products
Hizo pia zina ubaridi zinapulizia niliwah tumia hta hiko kiboks hakikuisha nikaachaila hii ni pantliner .hizi zina madhara sio za hq tu
Mie nilikua nawaza kwenda hospital ..... Flow yangu imekua kidogo sana, ya uhakika napata siku 1. Hebu nibadilishe nione matokeobora nimepata uhakikia wa hii kitu,,nilitumia sikua zikawa chache sana si kama kawaida,,
Mkuu unatamani hata mtu ambaye yuko kwenye hedhi akivua chupi...?Miss Natafuta Taarifa Mkuu!!! Ulivuliwa njia ya wapi hako kananiliu Tafadhari....
KIMEO CHANGU
Kweli kuna mambo mengi ambayo yanasababisha hata K zipwaye,unasukumiza ndani halafu unatoa... duuh!Mimi natumia OB ni za kuingiza ndani kabisa ya K kina baki kikamba tu then unavaa chupi kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh! halafu unakuta mwanaume yuko kwenye swimming pool anapaliwa na maji kwa bahati mbaya.[emoji87] mie hizo mpaka kwenda swimming
Rubiikimimi[emoji85]
Halafu?Duuh! halafu unakuta mwanaume yuko kwenye swimming pool anapaliwa na maji kwa bahati mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app