Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Nimekuelewa
 

Unajitahid ku Google mkuu, ila ingekuwa poa ungekuwa unajitetea na wewe kwa hoja zako binafsi
 

ARV zinasababisha ukimwi kutokana na side effects ndio sehem aloegamia?mechanism of action iko wapi?sijaiona mahali maana tumeenda kwenye pharmacology sasa.Kila dawa ina mechanism of action.Dawa za ukimwi hazisababishi ukimwi.HIV-virus wanasababisha ukimwi.Dawa za ukimwi zinafanya kazi kumthibiti virusi.
 
Last edited by a moderator:

Naona watu wameamua kuja na google humu, yani nacheka sana, mimi kama sikuamin wewe iweje niamin google yako ambayo at mmi naweza ku google na kupachika humu, tunatak uelewa binafsi ambao Deception peke yake ndio anao, wengine ni waathirika wa google hawana chochot kichwani
 
Last edited by a moderator:
Unajitahid ku Google mkuu, ila ingekuwa poa ungekuwa unajitetea na wewe kwa hoja zako binafsi

👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
sasa nmeekuelewa ..megundua kumbe Was not about education... wax all about finding winners and losers in this issue... Good 4u
☝👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆👆
 

Dah inasikitisha Dr. Ona watu walivyopukutika ka ----- dah!!!
 

Unaona ehhh!!hapa watu wanachukua sides na ni mashindano daktari yoyote atakayekuja anavamiwa.
 
Dr unaendelea kuji contradict tu ...

Unasema ameegemea kwenye side effect kitu ambacho hujakikana halafu unakuja kusema tena ARVs hazisababishi ukimwi,are you ok?

Unataka ya mechanism of action ya kitu kipi? Kuua au? Deception ameshaonesha ni kwa namna gani hayo madawa yanauwa badala ya kutibu au kusaidia,kuna case ya Kaunga hapo kuwa kuna mtu aliishi miaka 12 bila hayo madawa na alipoyaanza tu akafa baada ya muda mfupi,bado unataka tukusikilize Dr?
Deception keshatuonesha ni kwa namna gani HIV hawasababishi ukimwi na ameweka video hapa za wataalam wa afya wengine wanakubaliana na hili,wewe mbona hufanyi haya?

Niseme tu kuwa mmenisikitisha sana nyie madaktari,tumeishi tukiwa na imani kuwa HIV wanasababisha ukimwi na hili lilikuwa linaweza kabisa kutufanya tuone Deception ni muongo na lingewarahisishia nyie kazi,lakini mmekuja hapa na jazba na maneno ya kupinga tu,hivi kweli kwa mtu anaereason atawakubalia kwasababu ipi hasa?
 
Last edited by a moderator:

Doctor hizo dawa sawa zinamdhibiti kirusi lakini ndio zinazopelekea INI,figo na mapafu kufeli

Kwanini tusitibu ugonjwa husika na kuhakikisha kinga ya mwili inapanda kuliko kumfubaza huyo kirusi???

Hivi dokta kama kinga ya mwili IPO imara inaamaanisha inauwezo wa kupamba na kirusi au magonjwa.

Me nadhani tupambane kutibu gonjwa husika na kupandisha kinga ya mwili kwa lishe bora,mazoez,kunywa maji safi na kukaa kwenye hewa safi

ARV sijui HIV tupa kuleeee

Ni mtazamo tuuuuu
 
Dah huyu Gorgeousmimi mwache ni maana hata sisi ambao hatujapita med school upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na mambo mengi sana hata bacteria wanaweza kuleta upungufu wa kinga mwilini! Kha
 
Mkuu we acha tu .....

Yaani kuna siku watu watabishana huko mtaani halafu wanaweza kuja na kuchukua haya maelezo yangu eti ni ushahidi.........

Kaazi kweli kweli ......!!
 

Acha kutumia google kama ngao yako, ata mimi najua kutumia google, weka hoja binafsi zenye mashiko

Hayo mengine ni mawazo yako mgando
 
Sasa HIV ni fake AIDs ni nini then?Unajua maneno yenu yanawafunga kamba wenyewe!

dk huelewiiii.hata me sjawah soma biology tangu nizaliwe nmeelewa kua ukimwi na hiv ni vitu viwili tofauti!!!jaman ndio maana warumi aliwahi sema humu kuna madaktari wa mifugo.ndugu tuliza akili usome taratibu.hadi sada cjaona kitu ambacho akijasemwa humu.bt still unauliza yaleyale.me adi naskia aibu jamani uwiiii
 
Oooooh!! ....
juz leave em as they r,
but I hop huu Uzi hautawafanya waanze kujiachia ovyo.. Bcz wakiukamata itakua a veeeery sad story
Hata kabla ya huu uzi watu wameshaanza kuustukia huu ugonjwa feki...

Unakuja kututisha hapa unadhani hofu inasaidia nini?

Watu tumeshapoteza wapendwa wetu na tunahitaji maelezo yenu halafu mnaleta masikhara?

Hao wapendwa inawezekana kabisa wamefariki kwa ujinga wa aina hii hii wa nyie madaktari maana mngekuwa mnawaza nje ya box huenda hata wasingekufa....

Mnakera sana nyie .....!!
 
Dah huyu Gorgeousmimi mwache ni maana hata sisi ambao hatujapita med school upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na mambo mengi sana hata bacteria wanaweza kuleta upungufu wa kinga mwilini! Kha
Wewe ndio huelewi kitu kabisa rafiki,Wapo nimesema bacteria hasababishi mapungufu ya kinga ya mwili??
 
.. Dr. Peter Duesberg huyo.. A mass murderer of innocent South Africans...

Kufata upepo uko kulimponza Thabo mbeki

Naamini kama umesoma vizuri anavyozungumza deception ni kuwa kuacha ARV kuna procedure zake km mvuta unga anapoachishwa na hivo basi watu wa south Africa ambao walikuwa wameathirika walijaribu kuacha dawa bila kuwa na ushauri wowote juu ya kujitoa kwenye hizo medication na ndo maana walikufa wengi ila as Kaunga alivozungumza open debate ingekuwa suluhu kwa nn hawataki hao washirika wa hii biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…