Amn shida kaka ila naamin cjapata, ntapima nina vipimo vitat baada ya kumaliz dawa na mwez wa 6 napima tenaUlikuwa hujui kama ana umeme au? au ulikuwa unajua ukasukumwa na power of nyege?
Ukipanda upepo utavuna tufani.. Mshahara wa kuzini mwezi mtukufu..
Uwezekano wa wewe kupata UKIMWI ni almost zero point zeroKun mda nasahau ila kuna mda waz linakuj, ingawa kun nes wa bugando alisem bor iv hakun uwezekan mkubwa wa kupata ni 0 sijui point ngapi kuliko ningejichoma na sindano ya muathirika
Shukuru gafla bin vuu imekuokoa, uwe unapima kabla au tumia kinga.Amn sina uhakika maan hat sex yenyew ni chin ya dakik 2, sidhan kam nlichubuk ila pep pia nmeanz mda mzur
Pole mkuuNi kwel kaka
Sawa basi me nakubaliana na yote watakayosema 😂😂😂😂.Mzee wa kupambania na Mzabzab watakwambia kufa utakufa tu hata usipokufa kwa ngoma basi waweza kufa kwa kansa ya damu, stroke, BP, kisukari au ajali ya gari.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Jifunze kulinganisha thamani ya maisha yako na raha unayo ipata kwa mda mfupi kijana sawa....Kwel kaka ila mi sio mnywaji...situmiag kilev chochot
Umeyakanyaga 😅🤣🤣🤣🤣Je, inawezekana mtu kupata HIV, kwenye sex chini ya dakika 2?! Ikiwa ulikutana nae anatumia dawa na wadudu wake ni wachache?
Wadudu wanapimwa HVL si kila anaetumia dawa wadudu ni wachacheJe, inawezekana mtu kupata HIV, kwenye sex chini ya dakika 2?! Ikiwa ulikutana nae anatumia dawa na wadudu wake ni wachache?
Cc King Kong IIINyie Si mnapenda vitoto vya 2000 bwana?? Hivi viingi vimezaliwa na ngwengwe .
Unamaanisha Guardiola?Sio kwa ubaya lakini umejuaje kama wadudu wake ni wachache Mkuu?
Na kwani wakiwa wachache hawaambukizi?
Ushauri wangu kama upo ndani ya masaa 72 nenda kituo cha afya ukapate PEP.
Ebu anza PEP kama haujafikisha masaa73 anakupga virusi huyo!!Aliniambia hua anapim na mar ya mwish ilikua not ditected ko akasem wadudu wachache