Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Yet bado unajinasibu kuamini vitabu vya injili,mimi nasema wewe ni pungu uliyechizika na ujinga wa dini hujitambui.

Tuletee basi hiyo injili asilia?iko wapi?
Kutumia biblia kama ushahidi haina maana kama twaiyamini bali ni kitabu unacho amini wewe
 
Allah ana te.mmoja tu aliyetengenezwa na Waraqah ibyn Nauf
 
Swali: wanatoa kiapo kwa nani?

Wanapo hitimu masomo ni wapi huko na mimi nikasome?

Masomo yanahusu nini?
 
Hapo onda muddy,ndio muarabu hao wote walio baki ni mitume walioletwa kwaajili ya wayahudi na ni wayahudi uzap wa ibrahimu,isaka na yakobo.
 
Kutumia biblia kama ushahidi haina maana kama twaiyamini bali ni kitabu unacho amini wewe
Watu watakuja kuomba kiwekwe kipimo cha umri na iq hapa jf....Kwamba kitabu hukiamini Ila maneno yake unayatumia!!!!!
Kwamba nguruwe huli ila supu isio na nyama unainywa.....Unajua nafasi yako kama mwanamke kwenye uislam????
 
Aamin nawambia hata Trump ni nabii sema wale walioandika agano jipya na la milele waliona mbali ili kuwrza kuondoa manabii wa kweli watakao tuamsha kulingana nyakati halisia hata Quran imelimiti zama za kuwepo manabii wengine jambo ambalo si kweli unabii unaendana na nyakati
 
Ni ufuasi wa Yesu kristo messiah ambaye vitabu vyote vilielezea ujio wake.

Vipi uislam umetokea wapi?
1. Dini ya Kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu – Neno Uislamu linatokana na neno la Kiarabu Islam, linalomaanisha kujisalimisha kwa hiari kwa Mwenyezi Mungu kwa kumpwekesha (Tawhidi), kumtii kwa uadilifu, na kujiepusha na ushirikina.


2. Dini ya Manabii Wote – Uislamu haukuanza na Mtume Muhammad ﷺ, bali ni dini ya asili ya manabii wote tangu Adam, Nuhu, Ibrahimu, Musa, na Isa . Manabii hawa walifundisha Tauhidi (kumpwekesha Mwenyezi Mungu) lakini watu wakapotosha ujumbe wao na kuanzisha dini nyingine kama Uyahudi na Ukristo.


3. Chanzo cha Uislamu – Unatokana na wahyi (ufunuo) wa Mwenyezi Mungu aliowateremshia manabii wake, ukiwa na kilele chake kwa Mtume Muhammad ﷺ aliyekuja na Qur'an kama mwongozo wa mwisho wa wanadamu wote.
 
Yanaweza onekana maswali magumu ila ni mepesi sana kama ukikaa na kuuelewa ukristo na kusudio la Kuja kwa Kristo duniani.


Soma yohana 1 utaelewa zaidi
 
Ukristo Ndio ushetani wa Hali ya juu... wewe fikiria mtu ana shinda studio kuandika nyimbo, mtu hana kazi anategemea sadaka, Mwanaume anaenda kumsikiliza padri wa kike kavaa nguo za uchi nk nk nk

Ukristo ni dini ya shetani mlaaniwe 😂
Kwamba waumini kutoa sadaka wewe kinakuuma sana.

Waimbaji kuimba nyimbo za injili kwako ni tatizo.?

JIkite katika hoja ya mleta mada.
 
Ukristo ni ukichaa unalazimisha mtu aamini Ndio ajue kuhusu yesu.. yan kumuamini yesu mpka utolewe akili kwanza Ndo utaamini
Bila imani sidhani kama unaweza iamni hata hiyo imani yako.

Kinacho kufanya uwe muisilamu ni imani na hofu uliyojengewa
 
usiutafutie uislamu kiki kwenye ukristo.
1;mjumbe wa kumbukumbu la torati alikuwa ni yesu kristo. nabii aliemkuuna masihi.
2; muhamad hakuleta hkumu yoyote kwa mataifa. isipokuwa ameyaponza mataifa mengi. ila yesu kristo ndie atakae leta hukuma juu ya kila taifa.

4; msaidizi hakiwa mohamad kwakuwa muhamad hakuongea lolote la yesu kristo
 
Kutumia biblia kama ushahidi haina maana kama twaiyamini bali ni kitabu unacho amini wewe
Kwani kurani si imekamilika kwanini isitoe ushaidi tosha hadi kutumia kitabu msichokiamini mnachodai kimechakachuliwa.

Au kurwani haijitoshelezi inahitaji msaada.?
 
Muislamu wa kwanza ni nani,na ili uwe muislamu lazima uwe na vigezo gani?
 
Mungu ameutoa mwili ili akukomboe na bado ukifa unaenda motoni kwa dhambi zako.. Mungu nae hakutumia akili hapo


Kuna kitu siku hizi kinaitwa uhuru. Ni neno sahihi sana kumtambulisha Mungu namna anavyotuchukulia. Utaijua kweli na Roho Mtakatifu atakusaidia kuijua hiyo kweli. At the end of the day maamuzi yako Mungu wala hayaingilii. Ukitaka kuua wewe ua tu lakini ujue Mungu amekataza kuua, na dhambi nyingine zote.

Ndiyo maana Mungu alijua shetani anataka kumsaliti kule mbinguni still alimwacha maana hata angeweza kumpoteza hata asiwepo tena. Au Yesu alijua kabisa Yuda atamsaliti na alimwonya beforehand yet alimwacha afanye. Huyo ndo Mungu.

Yet bado unaweza kusalimika maana amesema "..dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama damu nitazisafisha na kuwa nyeupe kama theluji..." . Mstari huu anaambiwa mtu yeyote. Ni Mungu wa msamaha na upendo wa hali ya juu mno!.

Ni ngumu sana kuzielewa njia za Mungu but imani inatuhakikishia kuwa maamuzi yake na njia zake ni sahihi all the time.
 
Ukristo ni dini ya shetani shtukeni nyie makafiri ni mtego wa motoni kwa sababu zifuatazo:

1.. wanatumia nyimbo na ala za muziki kama sehemu ya kuabudu.. nyimbo ( muziki) ni dhambi hakuna muziki wa mbinguni wala muziki wa motoni muziki ni muziki tuu..

2.. wanawake wanaingia uchi makanisani Mwanaume halisi hauwezi kukaa pembeni ya mwanamke aliye vaa mapaja yanaonekana na ukawa Sawa kiakili

3.. Biblia iliandikwa na watu yesu hakuandika biblia.. biblia Ina mkusanyiko wa vitabu 66 na vyote vimeandikwa na watu wanao jiita manabii baada ya yesu kuuwawa

4.. Makanisa ni taasisi kila siku zinaanzishwa taasisi mbali mbali wakati kuna United bible society inaweza kufanya hyo kazi kwa mlolongo mmoja ila leo tuna Tanzania bible society kenya, Uganda nk

5.. wakristu mnaabudu sanamu la Maria na sanamu la yule muigizaji wa yesu hzo ni sala za kishetani

6.. wakristo shetani anakaa kwenye uchafu kateni kucha acheni kuvaa mawigi kama mashetani acheni kutembea uchi jisafisheni mkikojoa na mkinya jitawazeni na maji acheni ufara

Inahitaji uwe mjinga sana ili uwe mkristo
 
Yanaweza onekana maswali magumu ila ni mepesi sana kama ukikaa na kuuelewa ukristo na kusudio la Kuja kwa Kristo duniani.


Soma yohana 1 utaelewa zaidi
Mungu alikuja duniani kupitia nyeti ya kiumbe aliomuumba ( kwa mwenye akili huu ni uchafu sio dini)

Kwanini asinge kuja kimiujiza.? Tuu asijulikane alipotokea?

Kama mwamuita mungu kisa kazaliwa bila baba mbona Adam hana baba wala mama kwanini msimfanye yeye ndio mungu.

Maana yeye ndio wa ajabu zaidi, Bi hawa nae hakuwa na mama

Hivyo ndio Allah anavyo onesha uwezo wake katika Uumbaji? Ila mnamkufuru

Allah hakuna aliewahi kumuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…