Digitaldreamer
Senior Member
- Jun 11, 2022
- 121
- 43
Nashukuru sana ndugu umejibu vyema.Biblia ni hiyo hiyo ,ila wakatoliki wameongeza na vitabu ambavyo ni vya historia visivyo na uvuvio
Ni vitabu vilivyoandikwa kipindi baada ya nabii Malaki kuja Hadi Yesu ,hapo katikati ndio hivo vitabu viliandikwa ,ni kipindi ambacho Mungu hakutuma nabii yeyote
Uwe unakuja na uthibitisho na maandiko ,sisi wengine ndio tunajifunza kidogo kidogo, lasivyo wewe ni mpotashaji.Mohamed alisema swali kabla hujaswaliwa swala ya mazishi
Lakini yeye mwenyewe alikufa bila kuswali
Ndio maana waislamu kutwa kupiga yowe misikitini ooh mswalie mtume Mohamed
Yeye kama alikuwa haswali atajijua hadi akome moto wa Jehanamu
Alitakiwa kuswali kabla kuswaliwa kuzikwa
Hizi kelele za mswalie mtume ni Utapeli
Sasa kwa nini unamtaja yesu kama mungu halafu unaunganisha kumtaja MuhammadKuna sehemu nimesema hivo
Kipi Muhammad alikuwa anauza kwa kudanganya kuwa kina upako wa AllahMwamposa na mudi hawana tofauti ,ni zama tu
Mudi yeye alikuwa zaidi muuaji
Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 ni kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono.
Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.
Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha. Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislam haufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama.
Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??
Una ushahidi gani kuwa Mtume alikuwa haswali?Mohamed alisema swali kabla hujaswaliwa swala ya mazishi
Lakini yeye mwenyewe alikufa bila kuswali
Ndio maana waislamu kutwa kupiga yowe misikitini ooh mswalie mtume Mohamed
Yeye kama alikuwa haswali atajijua hadi akome moto wa Jehanamu
Alitakiwa kuswali kabla kuswaliwa kuzikwa
Hizi kelele za mswalie mtume ni Utapeli
Utatu sio fundisho la biblia ni fundisho la Roman CatholicNashukuru sana ndugu umejibu vyema.
Nimesoma kiasi kuhusu utatu, je historia ya utatu imeanzia wapi ?
Je hili suala la utatu linatambulika wakati wa uwepo wa yesu au baada ya yesu?
Na kama halikuwepo ni nani anayewajibika uwepo wake??
Wewe pia unaamini katika huo utatuUtatu sio fundisho la biblia ni fundisho la Roman Catholic
Nimekupa Hadith hizo jinsi Muhammad alivyokuwa jahiliKipi Muhammad alikuwa anauza kwa kudanganya kuwa kina upako wa Allah
Lini Muhammad aliagiza mtu kuuawa au kujeruhiwa bila haki au kufuata sheria
Siamini katika utatuWewe pia unaamini katika huo utatu
Hujaniambia Muhammad alikuwa anauza nini au aliamrisha nini kiuzwe kwa kuwa kina upako wa AllahNimekupa Hadith hizo jinsi Muhammad alivyokuwa jahili
Leo watu wanaenda kuitajirisha Saudia Arabia kisa kuangalia Kimondo ,hiyo ni biashara muasisi ni mudi
Huyu ni zaidi ya mwamposa
Ndio maana akaona asingizie Ibrahim alijenga hilo jiwe
Lakini unaamini kuwa yesu alikuwa ni mungu na Baba yake pia ni mungu?Siamini katika utatu
Biashara ya kuuza mawe,biashara ya watu kwenda Maka na kuiingizia Saudia Arabia pesa muasisi ni MuhammadHujaniambia Muhammad alikuwa anauza nini au aliamrisha nini kiuzwe kwa kuwa kina upako wa Allah
Pia hujasema Muhammad aliagizwa nani ajeruhiwe au auwawe bila kuzingatia sheria
Huo sio utatu ,nenda kasome Dogma ya utatu inavyosemaLakini unaamini kuwa yesu alikuwa ni mungu na Baba yake pia ni mungu?
Na tukisema bila ya yesu biashara ya kuuza mafuta ya upako na chumvi isingekuwepo vipi hapo?Biashara ya kuuza mawe,biashara ya watu kwenda Maka na kuiingizia Saudia Arabia pesa muasisi ni Muhammad
Sasa unauliza nini ?
Bila Muhammad hii biashara ya mawe ingetokea?View attachment 3261320
Uwe unatoa na maandiko niko hapa ,kujifunza la sivyo wewe ni mpotoshaji na unatumia lugha ya kihisia sana , na mijadala haiendagi hivyo.Biblia inajitegemea haihitaji kudhibitisha tabu lolote kuwa la kweli nje ya Biblia
Pili Biblia hairuhusu kuombea Marehemu awe Mohamed, Au yeyote
Waislamu kutwa ohhh mswalie mtume
Kama yeye hakuswali na kufuata dini ya kweli kabla kufa atakuwa anawaka motoni huko hakuna cha mswalie mtume wala cha Mohamed (Saw) atachomeka motoni mpaka akome
Sisi wakristo hakuna yeyote mtume yeyote tunayemswalia mtume yeyote mumujuao waislamu hatumswaliii
Kama hakuswali mwenyewe kabla kufa wakristo hatuna swala ya kumswalia kama huyo tapeli wenu Mohamed ambaye alikufa haswali anasubiri mumswalie oooh muswalie mtume
Anachemka motoni huyo msubiria waswalihina wamswalie
Waislamu tumieni akili pia.Kama Mohamed hakuwa mswalihina kabla kufa hivi mnaona akili zenu ziko sawa kumswalia mtume Mohamed?
Wakristo hatuna hilo kila mtu awe mswalihina asitarajie akifa ndipo umati unaoitwa wa mtume wa watani zangu wandengereko wapige yowe ohhh Allsh akbar mswalie mtume
Utapeli wa mtume huo
Unaamini yesu ni mungu pia unaamini ni mwana wa mungu je hapo kutakuwa na miungu wangapi tukimjumuisha na roho mtakatifu?Huo sio utatu ,nenda kasome Dogma ya utatu inavyosema
Yesu kuwa Mungu ni maandiko ,sio Mimi au Fulani kasema ,ni maandiko yanathibitisha hivo
Kwa nini huo utatu uwepo , jibu swali langu vizuri, una mahusiano gani na muktadha wa Mungu mmoja na wa kipekee??Utatu sio fundisho la biblia ni fundisho la Roman Catholic
Yesu ana majina mengi tu ,wewe unashangaa kuitwa mwana wa Mungu ,unashangaa pia kuitwa MunguUnaamini yesu ni mungu pia unaamini ni mwana wa mungu je hapo kutakuwa na miungu wangapi tukimjumuisha na roho mtakatifu?
Kawaulize watu wa utatu ,Kwa nini huo utatu uwepo , jibu swali langu vizuri, una mahusiano gani na muktadha wa Mungu mmoja na wa kipekee??
Swali langu si kuwa kwa nini yesu ana majina mengi bali ni kuwa kama Mungu ana mwana anayeitwa yesu naye ni munguYesu ana majina mengi tu ,wewe unashangaa kuitwa mwana wa Mungu ,unashangaa pia kuitwa Mungu
Hata Wayahudi walishangaa ,akawapiga swali ambalo hakuna aliyejibu
Na Mimi nitakupiga hilo swali ukilijibu NASILIMU
Mathayo 22:41-45 (SUV)
41 Basi, Mafarisayo walipokuwa wamekusanyika, Yesu aliwauliza,
42 akasema, "Mwaonaje katika habari za Kristo? Yeye ni mwana wa nani?" Wakamwambia, "Wa Daudi."
43 Akawaambia, "Imekuwaje basi Daudi, katika Roho, kumwita Bwana, akisema,
44 'Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume, Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako'?"
45 "Basi, ikiwa Daudi anamwita Bwana, amekuwaje mwanawe?"
Yesu alinukuu Zaburi 110:1, ambapo Daudi alisema:
"Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume, Hata niwafanye adui zako kuwa chini ya miguu yako."
Yesu alitumia aya hii kuwaonyesha Mafarisayo kwamba Masihi (Kristo) si tu Mwana wa Daudi kwa nasaba, bali pia ni wa hali ya juu zaidi, akiwa Bwana. Hii ilionyesha asili yake ya Kiungu, jambo ambalo lilikuwa gumu kwa Mafarisayo kulielewa.