Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Biblia ni hiyo hiyo ,ila wakatoliki wameongeza na vitabu ambavyo ni vya historia visivyo na uvuvio

Ni vitabu vilivyoandikwa kipindi baada ya nabii Malaki kuja Hadi Yesu ,hapo katikati ndio hivo vitabu viliandikwa ,ni kipindi ambacho Mungu hakutuma nabii yeyote
Nashukuru sana ndugu umejibu vyema.

Nimesoma kiasi kuhusu utatu, je historia ya utatu imeanzia wapi ?
Je hili suala la utatu linatambulika wakati wa uwepo wa yesu au baada ya yesu?
Na kama halikuwepo ni nani anayewajibika uwepo wake??
 
Mohamed alisema swali kabla hujaswaliwa swala ya mazishi

Lakini yeye mwenyewe alikufa bila kuswali

Ndio maana waislamu kutwa kupiga yowe misikitini ooh mswalie mtume Mohamed
Yeye kama alikuwa haswali atajijua hadi akome moto wa Jehanamu

Alitakiwa kuswali kabla kuswaliwa kuzikwa

Hizi kelele za mswalie mtume ni Utapeli
Uwe unakuja na uthibitisho na maandiko ,sisi wengine ndio tunajifunza kidogo kidogo, lasivyo wewe ni mpotashaji.
 
Kuna sehemu nimesema hivo
Sasa kwa nini unamtaja yesu kama mungu halafu unaunganisha kumtaja Muhammad

Kwa mfano,ukidai yesu kuwa ni mungu kwa sababu anaishi milele unasema Muhammad amekufa
 
Mwamposa na mudi hawana tofauti ,ni zama tu

Mudi yeye alikuwa zaidi muuaji

Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 ni kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono.

Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.

Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha. Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislam haufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama.

Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??
Kipi Muhammad alikuwa anauza kwa kudanganya kuwa kina upako wa Allah

Lini Muhammad aliagiza mtu kuuawa au kujeruhiwa bila haki au kufuata sheria
 
Mohamed alisema swali kabla hujaswaliwa swala ya mazishi

Lakini yeye mwenyewe alikufa bila kuswali

Ndio maana waislamu kutwa kupiga yowe misikitini ooh mswalie mtume Mohamed
Yeye kama alikuwa haswali atajijua hadi akome moto wa Jehanamu

Alitakiwa kuswali kabla kuswaliwa kuzikwa

Hizi kelele za mswalie mtume ni Utapeli
Una ushahidi gani kuwa Mtume alikuwa haswali?
Lete ushahidi la sivyo ni porojo tu!!!
 
Nashukuru sana ndugu umejibu vyema.

Nimesoma kiasi kuhusu utatu, je historia ya utatu imeanzia wapi ?
Je hili suala la utatu linatambulika wakati wa uwepo wa yesu au baada ya yesu?
Na kama halikuwepo ni nani anayewajibika uwepo wake??
Utatu sio fundisho la biblia ni fundisho la Roman Catholic
 
Kipi Muhammad alikuwa anauza kwa kudanganya kuwa kina upako wa Allah

Lini Muhammad aliagiza mtu kuuawa au kujeruhiwa bila haki au kufuata sheria
Nimekupa Hadith hizo jinsi Muhammad alivyokuwa jahili

Leo watu wanaenda kuitajirisha Saudia Arabia kisa kuangalia Kimondo ,hiyo ni biashara muasisi ni mudi

Huyu ni zaidi ya mwamposa

Ndio maana akaona asingizie Ibrahim alijenga hilo jiwe
 
Nimekupa Hadith hizo jinsi Muhammad alivyokuwa jahili

Leo watu wanaenda kuitajirisha Saudia Arabia kisa kuangalia Kimondo ,hiyo ni biashara muasisi ni mudi

Huyu ni zaidi ya mwamposa

Ndio maana akaona asingizie Ibrahim alijenga hilo jiwe
Hujaniambia Muhammad alikuwa anauza nini au aliamrisha nini kiuzwe kwa kuwa kina upako wa Allah

Pia hujasema Muhammad aliagizwa nani ajeruhiwe au auwawe bila kuzingatia sheria
 
Hujaniambia Muhammad alikuwa anauza nini au aliamrisha nini kiuzwe kwa kuwa kina upako wa Allah

Pia hujasema Muhammad aliagizwa nani ajeruhiwe au auwawe bila kuzingatia sheria
Biashara ya kuuza mawe,biashara ya watu kwenda Maka na kuiingizia Saudia Arabia pesa muasisi ni Muhammad

Sasa unauliza nini ?

Bila Muhammad hii biashara ya mawe ingetokea?
FB_IMG_1741263761448.jpg
 
Lakini unaamini kuwa yesu alikuwa ni mungu na Baba yake pia ni mungu?
Huo sio utatu ,nenda kasome Dogma ya utatu inavyosema

Yesu kuwa Mungu ni maandiko ,sio Mimi au Fulani kasema ,ni maandiko yanathibitisha hivo
 
Biblia inajitegemea haihitaji kudhibitisha tabu lolote kuwa la kweli nje ya Biblia

Pili Biblia hairuhusu kuombea Marehemu awe Mohamed, Au yeyote

Waislamu kutwa ohhh mswalie mtume

Kama yeye hakuswali na kufuata dini ya kweli kabla kufa atakuwa anawaka motoni huko hakuna cha mswalie mtume wala cha Mohamed (Saw) atachomeka motoni mpaka akome

Sisi wakristo hakuna yeyote mtume yeyote tunayemswalia mtume yeyote mumujuao waislamu hatumswaliii

Kama hakuswali mwenyewe kabla kufa wakristo hatuna swala ya kumswalia kama huyo tapeli wenu Mohamed ambaye alikufa haswali anasubiri mumswalie oooh muswalie mtume

Anachemka motoni huyo msubiria waswalihina wamswalie

Waislamu tumieni akili pia.Kama Mohamed hakuwa mswalihina kabla kufa hivi mnaona akili zenu ziko sawa kumswalia mtume Mohamed?

Wakristo hatuna hilo kila mtu awe mswalihina asitarajie akifa ndipo umati unaoitwa wa mtume wa watani zangu wandengereko wapige yowe ohhh Allsh akbar mswalie mtume

Utapeli wa mtume huo
Uwe unatoa na maandiko niko hapa ,kujifunza la sivyo wewe ni mpotoshaji na unatumia lugha ya kihisia sana , na mijadala haiendagi hivyo.

Na kabla ya kusema kuwa watu fulani , wanafanya jambo fulani .
Jiulize je ni kweli , na kama ni kweli, miongozo yao labda vitabu vyao , vinasemaje na sio una leta
Mihemko katika majibu yako, nilichogundua wewe unajibu kwa kujilinda.

Na kama ni hoja , leta hoja na maandiko tuone , tuko hapa kujifunza , na sio kama wewe unavyoleta mijadala na hoja ya kukejeli wengine hamis77
 
Huo sio utatu ,nenda kasome Dogma ya utatu inavyosema

Yesu kuwa Mungu ni maandiko ,sio Mimi au Fulani kasema ,ni maandiko yanathibitisha hivo
Unaamini yesu ni mungu pia unaamini ni mwana wa mungu je hapo kutakuwa na miungu wangapi tukimjumuisha na roho mtakatifu?
 
Unaamini yesu ni mungu pia unaamini ni mwana wa mungu je hapo kutakuwa na miungu wangapi tukimjumuisha na roho mtakatifu?
Yesu ana majina mengi tu ,wewe unashangaa kuitwa mwana wa Mungu ,unashangaa pia kuitwa Mungu

Hata Wayahudi walishangaa ,akawapiga swali ambalo hakuna aliyejibu

Na Mimi nitakupiga hilo swali ukilijibu NASILIMU

Mathayo 22:41-45 (SUV)
41 Basi, Mafarisayo walipokuwa wamekusanyika, Yesu aliwauliza,
42 akasema, "Mwaonaje katika habari za Kristo? Yeye ni mwana wa nani?" Wakamwambia, "Wa Daudi."
43 Akawaambia, "Imekuwaje basi Daudi, katika Roho, kumwita Bwana, akisema,
44 'Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume, Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako'?"
45 "Basi, ikiwa Daudi anamwita Bwana, amekuwaje mwanawe?"

Yesu alinukuu Zaburi 110:1, ambapo Daudi alisema:
"Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume, Hata niwafanye adui zako kuwa chini ya miguu yako."

Yesu alitumia aya hii kuwaonyesha Mafarisayo kwamba Masihi (Kristo) si tu Mwana wa Daudi kwa nasaba, bali pia ni wa hali ya juu zaidi, akiwa Bwana. Hii ilionyesha asili yake ya Kiungu, jambo ambalo lilikuwa gumu kwa Mafarisayo kulielewa.
 
Kwa nini huo utatu uwepo , jibu swali langu vizuri, una mahusiano gani na muktadha wa Mungu mmoja na wa kipekee??
Kawaulize watu wa utatu ,

Utatu dogma yake wala haihusihani na Uungu wa Yesu,

Yesu ni Mungu kwa mujibu wa maandiko ,fullstop
 
Yesu ana majina mengi tu ,wewe unashangaa kuitwa mwana wa Mungu ,unashangaa pia kuitwa Mungu

Hata Wayahudi walishangaa ,akawapiga swali ambalo hakuna aliyejibu

Na Mimi nitakupiga hilo swali ukilijibu NASILIMU

Mathayo 22:41-45 (SUV)
41 Basi, Mafarisayo walipokuwa wamekusanyika, Yesu aliwauliza,
42 akasema, "Mwaonaje katika habari za Kristo? Yeye ni mwana wa nani?" Wakamwambia, "Wa Daudi."
43 Akawaambia, "Imekuwaje basi Daudi, katika Roho, kumwita Bwana, akisema,
44 'Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume, Hata nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako'?"
45 "Basi, ikiwa Daudi anamwita Bwana, amekuwaje mwanawe?"

Yesu alinukuu Zaburi 110:1, ambapo Daudi alisema:
"Bwana alimwambia Bwana wangu, Keti mkono wangu wa kuume, Hata niwafanye adui zako kuwa chini ya miguu yako."

Yesu alitumia aya hii kuwaonyesha Mafarisayo kwamba Masihi (Kristo) si tu Mwana wa Daudi kwa nasaba, bali pia ni wa hali ya juu zaidi, akiwa Bwana. Hii ilionyesha asili yake ya Kiungu, jambo ambalo lilikuwa gumu kwa Mafarisayo kulielewa.
Swali langu si kuwa kwa nini yesu ana majina mengi bali ni kuwa kama Mungu ana mwana anayeitwa yesu naye ni mungu
Je hapo kutakuwa na miungu mingapi?
 
Back
Top Bottom