Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Ndo yameandikwa hayo tu?Kaandika ujinga mwingi ,ujinga ambao tunaukataa humu kila siku
Ana mnasibisha Muhammad kuwa ndiye msaidizi ambaye ni roho mtakatifu
KIFUPI anaendeleza zile propaganda za Uislamu kujinasibisha na Uyahudi,manabii wa kiyahudi, ili kupata popuratiy kwa watu hasa wasiojua maandiko