Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Biashara ya mawe Maka ,ya kumpigia shetani ,wanauza mawe

Baadae wanayakusanya ,mwakani wanauza tena
FB_IMG_1741263761448.jpg
 
Kwa hiyo wewe ni myahudi
NDIYO Mimi ni myahudi wa kurithi ahadi za ibrahimu kwa kumuamini Yesu kristo

Galatia 3:29. Kwa tafsiri ya Kiswahili, aya hii inasema:

"Na kama nyinyi ni wa Kristo, basi nyinyi ni wazawa wa Abrahamu, na warithi kulingana na ahadi."

Aya hii inaonyesha kwamba ahadi za Mungu kwa Abrahamu hazifungwi kwa watu wa kizazi chake pekee, bali ni za wale wote ambao wameungana na Kristo kwa imani. Kwa hiyo, hata watu kutoka mataifa mengine wanarithi ahadi hizo kwa njia yaimani.
 
NDIYO Mimi ni myahudi wa kurithi ahadi za ibrahimu kwa kumuamini Yesu kristo

Galatia 3:29. Kwa tafsiri ya Kiswahili, aya hii inasema:

"Na kama nyinyi ni wa Kristo, basi nyinyi ni wazawa wa Abrahamu, na warithi kulingana na ahadi."

Aya hii inaonyesha kwamba ahadi za Mungu kwa Abrahamu hazifungwi kwa watu wa kizazi chake pekee, bali ni za wale wote ambao wameungana na Kristo kwa imani. Kwa hiyo, hata watu kutoka mataifa mengine wanarithi ahadi hizo kwa njia yaimani.
Sishangai!
Nitashangaaje wewe kudai ni myahudi wakati tayari unamdai uungu mtu kama wewe
 
Kama kuna watu wanafanya hivi haimanishi ni mafundisho ya dini bali ni hulka zao.
ANACHOFANYA MWAMPOSA NA MATAPELI WENGINE NDICHO KINACHOFANYIKA HUKO MAKKA ,WATU WANAUZIWA MAWE YA KUMPIGA SHETANI

😂😂😂😂

NDIO MAANA KINA MAZINGE,SHARIFU MAJINI WAMEJIONGEZA NAO WANAUZA MAJI NA MAFUTA KAMA MWAMPOSA

DINI ZIMEJAA MATAPELI WENGI SANA,

Uislamu ni utapeli ,sioni tofaut ya Kina mwamposa na Muhammad
 
Sishangai!
Nitashangaaje wewe kudai ni myahudi wakati tayari unamdai uungu mtu kama wewe
Yesu ni Mungu ,Alfa na Omega ,anauwezo wa kukusamehe dhambi zako

Mudi yupo kaburini kaoza ,hajui hatima yake na wanaomfata itakuwaje
 
ANACHOFANYA MWAMPOSA NA MATAPELI WENGINE NDICHO KINACHOFANYIKA HUKO MAKKA ,WATU WANAUZIWA MAWE YA KUMPIGA SHETANI

😂😂😂😂

NDIO MAANA KINA MAZINGE,SHARIFU MAJINI WAMEJIONGEZA NAO WANAUZA MAJI NA MAFUTA KAMA MWAMPOSA

DINI ZIMEJAA MATAPELI WENGI SANA,

Uislamu ni utapeli ,sioni tofaut ya Kina mwamposa na Muhammad
Ni kweli,dini zimejaa utapeli hasa.

Lakini sasa utathibitishaje kuwa Muhammad alikuwa tapeli?
 
Yesu ni Mungu ,Alfa na Omega ,anauwezo wa kukusamehe dhambi zako

Mudi yupo kaburini kaoza ,hajui hatima yake na wanaomfata itakuwaje
Kwa nini nikimzungumzia yesu unapenda kumtaja na Muhammad kana kwamba kuna mtu anasema yeye ni Mungu

Hakuna mtu anayedai Muhammad ni mungu halafu yesu hawezi kunisamehe dhambi zangu
 
Ni kweli,dini zimejaa utapeli hasa.

Lakini sasa utathibitishaje kuwa Muhammad alikuwa tapeli?
Hili NALO unataka mjadala?

Ndiye nabii mwenye Sifa za nabii wa uongo, toka anapewa unabii na Khadija na Waraq ,
 
Kwa nini nikimzungumzia yesu unapenda kumtaja na Muhammad kana kwamba kuna mtu anasema yeye ni Mungu

Hakuna mtu anayedai Muhammad ni mungu halafu yesu hawezi kunisamehe dhambi zangu
Muhammad hajui atakachofanywa wala hajui mnaomfata mtafanywa nini , Muhammad hana pakuwapeleka

Yesu ana huo uwezo wa kusamehe madhambi yako ,

Yupo mbinguni ,yeye ni njia kweli na uzima ,ukimfata yeye uhakika 100%

Mudi anasubiri hukumu ya madhambi yake ya kuwapotezeni
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Ked
Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Biblia inajitegemea haihitaji kudhibitisha tabu lolote kuwa la kweli nje ya Biblia

Pili Biblia hairuhusu kuombea Marehemu awe Mohamed, Au yeyote

Waislamu kutwa ohhh mswalie mtume

Kama yeye hakuswali na kufuata dini ya kweli kabla kufa atakuwa anawaka motoni huko hakuna cha mswalie mtume wala cha Mohamed (Saw) atachomeka motoni mpaka akome

Sisi wakristo hakuna yeyote mtume yeyote tunayemswalia mtume yeyote mumujuao waislamu hatumswaliii

Kama hakuswali mwenyewe kabla kufa wakristo hatuna swala ya kumswalia kama huyo tapeli wenu Mohamed ambaye alikufa haswali anasubiri mumswalie oooh muswalie mtume

Anachemka motoni huyo msubiria waswalihina wamswalie

Waislamu tumieni akili pia.Kama Mohamed hakuwa mswalihina kabla kufa hivi mnaona akili zenu ziko sawa kumswalia mtume Mohamed?

Wakristo hatuna hilo kila mtu awe mswalihina asitarajie akifa ndipo umati unaoitwa wa mtume wa watani zangu wandengereko wapige yowe ohhh Allsh akbar mswalie mtume

Utapeli wa mtume huo
 
Muhammad hajui atakachofanywa wala hajui mnaomfata mtafanywa nini , Muhammad hana pakuwapeleka

Yesu ana huo uwezo wa kusamehe madhambi yako ,

Yupo mbinguni ,yeye ni njia kweli na uzima ,ukimfata yeye uhakika 100%

Mudi anasubiri hukumu ya madhambi yake ya kuwapotezeni
Hivi nani kakwambia Muhammad ni mungu?
 
Nithibitishie kwa ushahidi kuwa alikuwa ni tapeli kama mwamposa wenu
Mwamposa na mudi hawana tofauti ,ni zama tu

Mudi yeye alikuwa zaidi muuaji

Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 ni kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono.

Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.

Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha. Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislam haufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama.

Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??
 
Hivi nani kakwambia Muhammad ni mungu?
Mohamed alisema swali kabla hujaswaliwa swala ya mazishi

Lakini yeye mwenyewe alikufa bila kuswali

Ndio maana waislamu kutwa kupiga yowe misikitini ooh mswalie mtume Mohamed
Yeye kama alikuwa haswali atajijua hadi akome moto wa Jehanamu

Alitakiwa kuswali kabla kuswaliwa kuzikwa

Hizi kelele za mswalie mtume ni Utapeli
 
Lile joka lilishacheza karata zake vizuri sasa subirin mziki wake.
Mtalia na kusaga meno.
 
Back
Top Bottom