Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

We mtoto wa nyoka ukimuona humuui
 
Ndio maana nikamwambia afananishr GROSS NATIONAL INCOME ya Iran na Nigeria.
Pia atizame sehemu zingine za uzalishaji kama sekta ya teknolojia na viwanda kati ya Iran na Nigeria nani amepiga hatua.
Tatizo watu wengi ni kujitia ujuaji hali yakuwa ni weupe kichwani.
 
Hiki ndo iran ameamua kukifanya kwa sasa ameamua na yeye kuanza kutengeneza sihlaha zan ykila kwa usalama wake .maana nyukilia inatumika kama immunity
 
Hujui lolote kuhusu uchumi huko tusiende.
Wana vikwazo zaidi ya miaka 40 lakini wamekomaa na wapo mbali, sasa huyo Israel mtembeza bakuli, kupambana tu na Hamas ameomba pesa asaidiwe hadi bunge la US likakaa juzi hapa kupiga kura.
niliuliza swali, kabla ya hiyo miaka 40 ya kuwekewa vikwazo walikua wana uchumi gani?
 
Ashukuru anasehem za kuchotewa silaha na kumwagiwa dollar za bure .huo mrija kuna siku utaka tu dunia ya leo sio ya kesho
 
niliuliza swali, kabla ya hiyo miaka 40 ya kuwekewa vikwazo walikua wana uchumi gani?
Hivi ww jamaa una elimu gani maana unauliza maswali yasiyo kuwa na msingi.
Kwani China au Indonesia walikuwa na Uchumi gani mwaka 1980 na sasa hivi wana uchumi gani?

Hivi hujui kuwa mifumo ya uchumi ilikuwa inabadilika kutokana zama mbali mbali.
 
S 400 hapo Syria haipo activated kutungua ndege za Israel ila kulinda Kambi za Russia na hizo ndege za Israel hazifiki maeneo hayo kama zinaweza zikaangushe bomu kwenye maeneo alipo mrusi, ndio maana mrusi yupo hapo Syria ila Israel hajawahi kuua mrusi hata mmoja
 
Hivi ww jamaa una elimu gani maana unauliza maswali yasiyo kuwa na msingi.
Kwani China au Indonesia walikuwa na Uchumi gani mwaka 1980 na sasa hivi wana uchumi gani?

Hivi hujui kuwa mifumo ya uchumi ilikuwa inabadilika kutokana zama mbali mbali.
sasa kama ni hivo point ya kusema iran ipo tangu miaka 2500 nyuma, mara sijui ilitawala dunia inatoka wapi? au umuhimu wa point hiyo hasa?
 
Wew kichwani. Ni mtupuu sana uikisiokia cyber attack sio sawa. Na kushamvbulia physical. Hicho ulichhokiasema hakijawahi kutokea na hakitaakaa kitookee.
 
sasa kama ni hivo point ya kusema iran ipo tangu miaka 2500 nyuma, mara sijui ilitawala dunia inatoka wapi? au umuhimu wa point hiyo hasa?
Mkuu ndio maana nimekuambia mifumo ya kiuchumi ilikuwa inabadilika kutokana na zama.

Na ndio maana kila zama ina taifa lake ambalo lilikuwa na nguvu kijeshi na kiuchumi.
Zama hizi za karne ya 20 na 21 mfumo wa kiuchumi umetawaliwa nchi za Magharibi japo kwa sasa utawala huo unaanza kuanguka polepole.

Mpaka mwaka 1979 Iran alikuwa na GDP 79$ bilion kwa kipindi hicho kilikuwa ni kiwango kizuri tu.
 
Kabla ya fact. Tumia kwanza logic hii. Iran aliwahi kupigana vita gani? Israel maonesho yake ya silaha yana fanyika kwenye action halisi vitani. Irani silaha zake hua anazisifia mwenyewe. Ukiacha shaheed ambazo nyingine ziliruka zika nasa kwenye nguzo za umeme sijaona silaha yoyote ya iran kwenye action ikawa tishio vitani kiasi cha kuzishindanisha na silaha zingine
Pili. Hata makombora ya irani irani atatakiwa kurusha makombora 200 na shahid 700 ili kupata target moja israel atatumia ndege moja kupata target mia.
Nawasilisha
 
Ukisikia mahaba Niue ndo haya bilashaka ww ni mlokole
 
niliuliza swali, kabla ya hiyo miaka 40 ya kuwekewa vikwazo walikua wana uchumi gani
Israel hata kupambana na Tanzania haiwezi ukitoa msaada wa silaha, fedha na mbinu.
Kama wanapelekeshwa na kikundi kidogo cha migambo wataweza kupambana hata na Burundi kweli.
 
Wew kichwani. Ni mtupuu sana uikisiokia cyber attack sio sawa. Na kushamvbulia physical. Hicho ulichhokiasema hakijawahi kutokea na hakitaakaa kitookee.
Doh!
Mbona umekuja kwa kukurupuka?
Embu kafuatilie nilichokiandika ndio uje hapa tuzungumze.
Usije na mipasho njoo na ushahidi ili tujadiliane nahitaji mjadala sio mipasho mkuu.
 

Vita alizopigana Iran.
-Iran-Iraq war 1980-1988.
-Israel-Lebanese war IRGC iliisapoti hizbollah kisilaha 2006.
-Syria kupambana dhidi ya waasi wa Assad ikiwemo ISIS.
-Vita za Yemeni za houthi 2014-2022.

Silaha za Iran zipo sehemu nyingi na zinafanya maafa vizuri.
-Lebanon wanatumia silaha za Iran.
-Yemeni wanatumia silaha za Iran.
-Syria wanatumia silaha za Iran.
-Russia anatumia makombora na drone za Iran dhidi ya Ukraine mpaka sasa.

Silaha za Iran ndizo hizo zinazofanya maafa red sea ambazo Houthi Yemen ndio anazitumia.
Na kaa utambue Iran kuishambulia Israel ililenga kutuma ujumbe na ndio maana ilitumia drone za bei rahisi na unguided missiles.
Ila kama Iran ingekusudia kuichakaza Israel ingetumia guided missiles ambazo huwa zinakwepa interceptors kama walizopiga kambi ya US Iraq kulipiza kifo cha Qassem Soleiman.
Guided missiles kumi tu zingetosha.
Kusini mwa Lebanon Hizbollah wamelipua kambi ya Galilee kwa kutumia kombora ambazo ni Iranian made.
 
Na kuna wakristo bongo meno yote nje wakifurahia kuuawa kwa watoto/Raia wasio na hatia
Mzee Israel co wakristo! Nenda wikipidia cheki dini zilizopo Israel
1 Judaism
2 Islamic
Ndoo zinafuata taka nyingine.... Kwa kifupi wale ni ndugu wanapigana. And that is civil war
 
Mzee Israel co wakristo! Nenda wikipidia cheki dini zilizopo Israel
1 Judaism
2 Islamic
Ndoo zinafuata taka nyingine.... Kwa kifupi wale ni ndugu wanapigana. And that is civil war

Hujanielewa, kuna wakristo/wayahudi weusi tanzania, wenye chuki na waislamu, wana chuki na waarabu, hivyo wemefurahia sana namna mateso na mauwaji wanayopitia ndugu zetu wapalestina.

Religion in Israel (2016)[1]

JudaismHiloni (33.1%)
Judaism–Masorti (24.3%)
Judaism–Dati (8.8%)
Judaism–Haredi (7.3%)
Islam (18.1%)
Christianity (1.9%)
Druze (1.6%)
Others and unclassified (4.8%)
 
Mzee Israel co wakristo! Nenda wikipidia cheki dini zilizopo Israel
1 Judaism
2 Islamic
Ndoo zinafuata taka nyingine.... Kwa kifupi wale ni ndugu wanapigana. And that is civil war

Hawana undugu wowote, wale ni makafiri na Wapalestina ni waislamu. So hawawezi kuwa ndugu, laanatullah alayhim
 
Israel walilenga kulipua kinu cha nuclear Isfahan ila walifeli.
Iraq hakuna kambi za Iran bali kuna kambi za wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran,ni sawa ulipue kambi za Hizbollah Lebanon.
Syria kambi zilizopigwa ni za Al Quds fighters wanaosapotiwa na Iran sio za Iran.
Angekua kaguswa Iran pasingekalika kimya.
Shambulio la Israel drone 3 na kombora moja vimedunguliwa utasemaje havikuonekana!?
Walichodai Iran hawakujua wapi shambulio linatoka ila interception wamefanya.
 
Vipi Putin nae kashindwa maana miaka inayeyuka sasa au mnasemaje watumwa?
Unajitoa ufahamu kuwa Ukraine anasaidiwa na NATO kifedha,kisilaha na kijeshi!?
Au ushasahau kuwa Russia anapigana na NATO pale Ukraine!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…