Israel is ahead of Iran kwenye izo anga. Juzi amezuiwa tu na Marekani kwasababu marekani aliogopa iran itafunga mlango wake wa bahari na uchumi ungeenda kuwa shida. walichofanya ni kupiga rada za kinu chao cha Nukes pekee ili asiweze kabisa kuwarushia makombora ya nuclear. Ndege zilizoenda kupiga huko unaambiwa hazikuonekana hata iran ilikiri kwamba hawajajua ni nani kapiga hadi sasaivi, manake radar za iran hazikuiona. kama ukiwa na uwezo huo manake unaweza kuamua kupiga mtu bila yeye kukujua.
Pia, marekani ana uwezo mkubwa sana kiteknolojia kumzidi hata urusi. kama unakumbuka siku mrusi anaenda kupiga ukraine, marekani alishatangaza kuwa siku fulani ndio imepangwa kwenda kupiga, na siku iran anapiga marekani ilishatangaza kua siku fulani iran atapiga. tuseme urusi aliitaarifu marekani siku anayoanza vita ukraine? tuseme iran aliitaarifu marekani? ni wanakusoma hapohapo ulipo
kuna siri kubwa sana, aidha kuogopa vita vya baridi kuanza upya kwa urusi na china kuungana na iran ili kuishambulia marekani, au kuna kitu cha siri, kwasababu kwa tulivyozoea na tunavyoijua marekani, haiwezi kushambuliwa na nchi kama iran ikanyamaza kimya, lazima kuna mchezo waliusoma wa urusi na china. Unakumbuka Iran aliishambulia marekani kwenye kambi zake za iran siku ile alipoua kamanda wao suleiman? hivyo hata juzi wamemzuia Israel asifanye kitu kitakachoamsha vita mpya ambayo nadhani kwa ustawi wa dunia marekani hataki kabisa ije kwasababu ameshawasoma hao wenzake china na urusi wanachomuwazia.
Na iran naye nadhani ana busara, kambi zake iraq na syria zimechakazwa, na radar yake ya nukes imechakazwa, akaona hapa naweza kula hasara akasema mapema kabisa kwamba hata kama tumepigwa hatutarudisha kisasi. tuseme Iran ameogopa nini? ati Iran aseme hata kama Israel amerusha chochote sisi hatutarudisha kisasi? tuseme walikubaliana na marekani israel naye arushe kitu ili ionekane israel hajashindwa? na iran akakubali? tangu lini marekani na iran ni marafiki? since revolution iran na marekani hawapendani, nini kiliwafanya wanyamaze juzi, walipigwa mkwara gani hadi wakaamua kuufyata? waliambiwa ukirudishia tutaingia na tutakufumua. possibly.
all in all, Marekani inasemekana ni taifa la kifreemason, kuna wakati naamini kwasababu ushoga na dhambi za ajabuajabu zimezidi mno marekani, shetan asingewaacha lazima angekaa kwenye kiti cha ili arun dunia.