Je, Israel ya sasa ni Taifa teule la Mungu au ni propaganda tu za kanisa?

Je, Israel ya sasa ni Taifa teule la Mungu au ni propaganda tu za kanisa?

Wakatoliki na Orthodoxy wana tofauti gani?
Orthodox ndo thehebu la kwanza la kumtambua kristo. Baada ya Mitume kutawanyika walienda Asia na ulaya. Waliowapokea ndo walianzisha ukristo huo. By then kulikuwa hakuna cha dhehebu mpaka wale wa West alipotaka wawe wote kundi moja ila wa East walisama papa mmoja hawezi kutawala watu wote hao. That was the how the East was called Orthodox na west wakabaki na Papa wa Roma tuliye naye sasa. Google upate habari na historia kamili.
 
Orthodox ndo thehebu la kwanza la kumtambua kristo. Baada ya Mitume kutawanyika walienda Asia na ulaya. Waliowapokea ndo walianzisha ukristo huo. By then kulikuwa hakuna cha dhehebu mpaka wale wa West alipotaka wawe wote kundi moja ila wa East walisama papa mmoja hawezi kutawala watu wote hao. That was the how the East was called Orthodox na west wakabaki na Papa wa Roma tuliye naye sasa. Google upate habari na historia kamili.
Soma vzr ndg yangu na usome kuhusu the great schism.uongo ni dhambi
 
Israel ni ile ile ndugu usije ukawahukumu kuwa ni wakosaji maana taifa ni lile lile wana wa Yuda
 
Israeli ni taifa teule upende usipende na ni mpango wa Mungu kuwa Mataifa mengine yamjue Mungu kupitia Israeli lakini hukumu Za Mungu zinawalenga watenda dhambi wote wakiwemo wana wa Israeli !
 
Kwa nini sasa ni kabila Mona to LA Yuda kioo Israeli lakini Simu Zach mwisho makabila yote kumi "yaliyopotea" utumwani Mungu atayarudisha kuungana na Yuda soma Ezekiel 37:19 au Jeremiah 30:3 Mahala pengine Mungu anaita Israeli urithi wake soma Zaburi 94: 14
 
Kwa hivi sasa ni kabila la Yuda Pekee ndio linatawa nchi ya Israeli lakini siku Za mwisho Mungu atayarudisha makabila yote kumi yaliyo "potelea" utumwani soma Ezekiel 37:19 au Jeremiah 30:3
 
1.Israeli kuwa Taifa teule la Mungu ni Mythology
2.Kuendelea kuiita israeli taifa teule wakati wanaoushika ukristo,wanaoamini maandiko wako dunia nzima mnafanya Racism
 
Israel ni ile ile ndugu usije ukawahukumu kuwa ni wakosaji maana taifa ni lile lile wana wa Yuda
Mkuu hapa tunaenda na vifungu pekee sio maoni yako..... Naomba unieleweshe Paulo alimaanisha nini hapa kusema wakristo ni taifa teule sasa naomba unijibu ni lini waisrael wamemkubali kristo hadi wawe taifa teule???

1 Peter 2:7-10
7 Basi, heshima hii ni kwenu ninyi mnaoamini. Bali kwao wasioamini,Jiwe walilolikataa waashi,Limekuwa jiwe kuu la pembeni.
8 Tena,Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha.Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.
9 Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;
10 ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.Ishini kama Watumishi wa Mungu


Na naomba urudi na vifungu vya Biblia yako sio maoni yako na mahaba ya dini
 
Israeli ni taifa teule upende usipende na ni mpango wa Mungu kuwa Mataifa mengine yamjue Mungu kupitia Israeli lakini hukumu Za Mungu zinawalenga watenda dhambi wote wakiwemo wana wa Israeli !
Sasa ina maana paulo alipotosha aliposema wakristo ndio taifa teule na kama hakupotosha unaweza nieleza alimaanisha nini??

1 Peter 2:7-10
7 Basi, heshima hii ni kwenu ninyi mnaoamini. Bali kwao wasioamini,Jiwe walilolikataa waashi,Limekuwa jiwe kuu la pembeni.
8 Tena,Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha.Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.
9 Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;
10 ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.Ishini kama Watumishi wa Mungu.


Nasubiri majibu
 
Kwa nini sasa ni kabila Mona to LA Yuda kioo Israeli lakini Simu Zach mwisho makabila yote kumi "yaliyopotea" utumwani Mungu atayarudisha kuungana na Yuda soma Ezekiel 37:19 au Jeremiah 30:3 Mahala pengine Mungu anaita Israeli urithi wake soma Zaburi 94: 14
Unaweza leta ushahidi kuthibitisha kuwa Israel ya leo inakaliwa na original kabila la Yuda??? Tuanzie hapo kwanza
 
Israeli ni taifa teule upende usipende na ni mpango wa Mungu kuwa Mataifa mengine yamjue Mungu kupitia Israeli lakini hukumu Za Mungu zinawalenga watenda dhambi wote wakiwemo wana wa Israeli !
Umenena vyema.
 
Kwa mtazamo wangu ni kwamba kulikuwa na mafarisayo na wanasheria na kwa leo ungewaita elites,,,hawa Yesu hakuwataka kabisa maana walikuwa wanafki.ila sio watu wote wa Israel walikuwa mafarisayo na wanasheria,,ilikuwa ni sehemu ya watu wachache.Na kufa kwa Yesu pia sio wayahudi wote walifurahia,,kuna wengi tu walimuona ana haki,,,ila wale elites wengi wao ndio walitaka afe tena na baadhi yao walimuona ana haki pia ila kwa kuwa lilikuwa jambo lenye msukumo wa rohoni hawakuweza kulipinga.Kanisa halijachukua haki yote ya wana wa Israel..Na hata wayahudi kumuua Yesu walikuwa wanatimiza kusudio lililokuwa la zamani kabla ya kuwepo taifa la Israel.Kumbuka hapa duniani hata hao wayahudi wanatumikia makusudio yanayotakiwa yatekelezwe.Hawapo kama wamiliki ila wenye kumilikiwa,,na kwao ni njia ya kupitia Mambo mengi ya dunia.
Mkuu mi natofautiana nawewe kidogo ukisoma injili ya Mathayo 21 :33-46 unaona Yesu anawaambia mafarisayo kwa mifano ,mifano ambayo ilikua inawahusu kwani yote walifanya na Mfano wa Mwisho unaona mwenye shamba anamtuma Mwana nadhani unajua ule Mfano unamaanisha nini ila pia huyo Mwana wanamuua. Mistari iliyoendelea unaona kabisa Yesu anawaambia ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Kwa mistari hii ukiitafakari unaona kabisa taifa jengine ndio wakristo na wayahudi walinyang'anywa kutokana na makosa yao.

Naweza nikasahahihishwa
 
Tatizo ni hapo unapotumia vitabu vilivyoandikwa na Paulo, ila ni wazi Waisrael ni wateule lakini sio Hawa tuwaonao pale Israel. Waishio Israel sasa wengi ni Wazungu wanaojifanya Waisrael ili kulitumia Taifa teule kukubalika kwa Sera zao Ulimwenguni, na hili wameshafanikiwa pakubwa sana
 
Kwa mtazamo wangu ni kwamba kulikuwa na mafarisayo na wanasheria na kwa leo ungewaita elites,,,hawa Yesu hakuwataka kabisa maana walikuwa wanafki.ila sio watu wote wa Israel walikuwa mafarisayo na wanasheria,,ilikuwa ni sehemu ya watu wachache.Na kufa kwa Yesu pia sio wayahudi wote walifurahia,,kuna wengi tu walimuona ana haki,,,ila wale elites wengi wao ndio walitaka afe tena na baadhi yao walimuona ana haki pia ila kwa kuwa lilikuwa jambo lenye msukumo wa rohoni hawakuweza kulipinga.Kanisa halijachukua haki yote ya wana wa Israel..Na hata wayahudi kumuua Yesu walikuwa wanatimiza kusudio lililokuwa la zamani kabla ya kuwepo taifa la Israel.Kumbuka hapa duniani hata hao wayahudi wanatumikia makusudio yanayotakiwa yatekelezwe.Hawapo kama wamiliki ila wenye kumilikiwa,,na kwao ni njia ya kupitia Mambo mengi ya dunia.
Kumbuka ukiacha hao wanasheria na mafarisayo je asilimia ngapi ya wayahudi walimkubali Yesu Kama Mwokozi wao?
Kwaio unaona wayahudi wengi wao walimkataa nasisi tumepata wokovu kwa Neema,kwaio lile andiko kwamba Ufalme wa Mungu kuondolewa kwao na kuwapa wengine ambao ni wakristo limetokea
 
Tatizo ni hapo unapotumia vitabu vilivyoandikwa na Paulo, ila ni wazi Waisrael ni wateule lakini sio Hawa tuwaonao pale Israel. Waishio Israel sasa wengi ni Wazungu wanaojifanya Waisrael ili kulitumia Taifa teule kukubalika kwa Sera zao Ulimwenguni, na hili wameshafanikiwa pakubwa sana
Hahahaha mkuu humkubali paulo ama
 
Hahaa...Taifa Teule, sasa iweje Mungu ambaye hana upendeleo awe na taifa teule tena? Ina maana kuna watu wengine wanakuwa na maana zaidi kwake kisa wamezaliwa sehemu fulani ya Dunia tu na sio matendo yao?

Asalaam mkuu.

Naomba kujibu hoja yako kama ifuatavyo; kuna tofauti kati ya HAKI na USAWA. Mungu aliyeumba huu ulimwengu ni mungu wa HAKI na sio USAWA. Ukianza kujiuliza maswali kama kwa nini aliteua taifa la Israeli kuwa taifa teule na kuacha mengine hapo unaongelea suala la USAWA.

Ndiyo maana kuna watu wanahoji juu ya utendaji na maamuzi mengi yaliyofanywa na Mungu katika vitabu vitukufu na kuona hakuwa na USAWA. Ila jibu linabaki pale pale, Yeye ni mungu wa HAKI. Atahukumu kila jambo kwa kipimo cha HAKI. Na sio USAWA.

USAWA unapimwa, ila HAKI ni jambo la hekima na busara, na mungu ana kipimo sahihi cha HAKI kuliko wanadamu.

Nisikuchoshe mkuu, Ki ufupi mungu aliona ni HAKI taifa la israeli kuwa taifa teule.

Nawasilisha.
 
Israel ni taifa lililoko pale mashariki ya kati,,wakristo waliomwamini Yesu wote ni kanisa/mwili wa Kristo na sio waisrael.
Mkuu labda sijaeleweka hakuna mahali nimesema Mungu kavunja AGANO na Abraham na Israel

Pia nimekubali Israel ni nchi ya ahadi

Pia nimekubali Israel ilichaguliwa na Mungu

Pia nimekubali Israel inahusika na unabii wa siku za mwisho

LAKINI nachohoji Israel ni nani kwa muktadha wa agano jipya.... Je ni lile taifa la kina Netanyahu lililopo pale mashariki ya kati au ni wakristo yaani waliomfuata Yesu.

Na nimeweka hapo mistari juu hivyo jikite hapo je Israel ni nani??

Natanguliza shukrani
 
Mkuu huu mstari wa Roman 11: nilioutumia hapo juu umetoa majibu yote,,kwamba ndio wayahudi walimkataa Yesu..Ila kwa ule ufalme kuondoka kwao sio moja kwa moja....hebu upitie tena mwenyewe utaona point yangu.
Kumbuka ukiacha hao wanasheria na mafarisayo je asilimia ngapi ya wayahudi walimkubali Yesu Kama Mwokozi wao?
Kwaio unaona wayahudi wengi wao walimkataa nasisi tumepata wokovu kwa Neema,kwaio lile andiko kwamba Ufalme wa Mungu kuondolewa kwao na kuwapa wengine ambao ni wakristo limetokea
 
Back
Top Bottom