Kuingia kanisani sio tatizo,kulishinda kanisa ndio tatizo.Shetani hajawahi liogopa. Ndio manaa Kila Siku anaingia Kanisani. Na Kuwavuruga Humo. Sasa Hivi Ni Jina La Maigizo Zaidi kuliko Uhalisia
Hakuna pepo linaitwa ccm labda kama ni jipya, maana Hakuna pepo jipyaAnza Na kuliondoa pepo CCM Kama kweli maneno yako
Yesu wa NazarethYesu yupi huyo mnayemwongelea?
Kuna Yesu wengi mbona
Lakini alishindwa kumshawishi YesuShetani alipiga story na yesu fresh tu,Wala hakukimbia,zaidi alikua anampa yesu chemsha bongo,kwamba geuza hili jiwe kuwa mkate
Kama Unaona Kuingia Kanisani Si Tatizo Sasa Wewe Unamuepukaje Huyo Shetani Wakati Kwenye Nyumba Ya Mungu Anaweza Kuingia Na Akawadondosha Watu na Kuwafanya Atakavyo yeye. Leo akitoka Kwa Huyu anaingia Kwa Huyu bila Shida Yeyote.Kuingia kanisani sio tatizo,kulishinda kanisa ndio tatizo.
Shetani ajawahi shinda jina hilo
Sio wote wanaenda kanisani wanamfata Yesu.Kama Unaona Kuingia Kanisani Si Tatizo Sasa Wewe Unamuepukaje Huyo Shetani Wakati Kwenye Nyumba Ya Mungu Anaweza Kuingia Na Akawadondosha Watu na Kuwafanya Atakavyo yeye. Leo akitoka Kwa Huyu anaingia Kwa Huyu bila Shida Yeyote.
Hapo Keshashinda maana Kaweza Kuingia Mpaka Sehemu anayoabudiwa Mungu. Sehemu mnayosema ni Takatifu
NakA,ziaMajini si yapo kanisani huko ndiyo wanatokana kila siku,akianza yesu kuyafurusha,Sasa yamebaki hukohuko kanisani
Hakuna pepo linaitwa ccm labda kama ni jipya, maana Hakuna pepo jipya
Brother nafuatailiaga nyuzi zako, ni against God tu. Mimi nakushuhudia leo, Mungu ni kweli na Halisi. Nami nilikuwa kama wewe ila baada ya kupita kwenye jaribu nikaona mkono wake na sasa nakiri uzima katika Yeye.Kama Unaona Kuingia Kanisani Si Tatizo Sasa Wewe Unamuepukaje Huyo Shetani Wakati Kwenye Nyumba Ya Mungu Anaweza Kuingia Na Akawadondosha Watu na Kuwafanya Atakavyo yeye. Leo akitoka Kwa Huyu anaingia Kwa Huyu bila Shida Yeyote.
Hapo Keshashinda maana Kaweza Kuingia Mpaka Sehemu anayoabudiwa Mungu. Sehemu mnayosema ni Takatifu
Kikongwe lengo la kuweka hii mistari ni nini? Ulipotea sana humu Faiza kipindi cha JPM naona umerudi sasa kipindi cha Mama.Wacheni kudanganyana, someni Biblia...
Mathayo 7:
21 Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
22 Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
23 Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Leo umeandika kitu kizuri sana bro. Mimi nimeona mengi kwani huwa naombea watu huku kijijini kwetu. Nimeona viwete wanatembea, vipofu wanaona, magonjwa yanaponywa, mapepo yanakimbia. Hakika hakuna Jina jingine wanadamu wanapaswa okolewa nalo zaidi ya Jina la Yesu.Hili ni swali tu katika kujua uweza na uwezo wa nguvu za Jina la Yesu katika kutenda miujiza.
Yesu alipata kuishi yapata miaka 2019 iliyopita. Je inakuwaje jina lake leo lisemwe kwamba lina nguvu sana katika kutenda miujiza?
Kuna manabii wengi sana na mitume wengi wamepita, kina Krishna, Elisha , Elizabeth Mtishbi nk mbona hatusikii visa vya majina yao katika kutenda miujiza? Sanasana Wlisha ametajwa mara moja kwamba jamaaa walibeba maiti wakienda kuzika, walipofika katika kaburi la Elisha ikatokea vita, katika kujinusuru wakaibwaga maiti chini, maiti ikaangukia kaburi la Elisha, maiti ikafufuka, ikatoka nduki kichizi.
Ndugu mnaoelezea uweza wa jina la Yesu njooni hapa mshuhudie
[emoji28][emoji28][emoji28] asa waislam wataangukaje mapepo wakat mapepo yanaishi katika miili ya waisalam(sio wote) na msikitin hakuna nguvu ya kuyachomoa.Kati ya wakristo na Waislamu, wafuasi wepi wanaongoza kuanguka mapepo kwenye nyumba zao za ibada Kama sio nyie wakristo?!!
Wakristo mna mapepo mengi Sana sababu mnaongoza kwa kila uchafu na kutembea nusu uchi pia, nyie mnamiliki majini maovu wengi kwenye majumba yenu ya ibada kuliko Waislamu, wamiliki madanguro mjini karibia wote wakristo, Sinza pale bar karibia zote na club Ni za wakristo, tabata pia alkadhalika,
Hakika nyie Ni wakala wa mambo yote ya kishetani,
Na ndio mnasababisha tusipate mvua aisee
Wao huyapunga. Niliona mkutano mmoja wa Mashehe Morogoro. Wanayapunga tu kwani Shetani hawezi mtoa shetani mwenzake.[emoji28][emoji28][emoji28] asa waislam wataangukaje mapepo wakat mapepo yanaishi katika miili ya waisalam(sio wote) na msikitin hakuna nguvu ya kuyachomoa.
Swadakta😇Leo umeandika kitu kizuri sana bro. Mimi nimeona mengi kwani huwa naombea watu huku kijijini kwetu. Nimeona viwete wanatembea, vipofu wanaona, magonjwa yanaponywa, mapepo yanakimbia. Hakika hakuna Jina jingine wanadamu wanapaswa okolewa nalo zaidi ya Jina la Yesu.
Lengo la uzi wako ni mzuri japo changamoto ya kizazi hiki wataanza tukanana wenye dini tofauti. Yataanza mashindano muda si mrefu na uzi kuharibika na si kuelimishana.
Ibada ya kuabudu ekaristi ina nguvu mnooMimi ni Rc nikienda kuabudu majibu nayapata Yesu wa Ekaristi ananijibu.
Pro Kikwete angeozea jelaKikongwe lengo la kuweka hii mistari ni nini? Ulipotea sana humu Faiza kipindi cha JPM naona umerudi sasa kipindi cha Mama.
mjomba shusha nondo hizi kuna watu watapona kwa ushuhuda wako...Ambo ni mengi sana ambayo nimeyaahuhudia kwangu binafsi na kwa wengine. Nilitupiwaga Pepo la Mauti, niliumwa na jamaa mmoja ofisi mate wangu tena wa chini yangu naye alikuwa anaumwa na tukalazwa hospitali moja na chumba kimoja wodini. Jamaa aliumwa sana usiku. Mimi nikaenda muita dr aje amsaidie. Jamaa alikunywa gongo akaanguka akawa mgonjwa. Mimi tumbo tu lilikuwa linaniuma.
Jamaa usiku akaumwa sana nikajua anakufa. Alikuwa akichomwa sindano au kuwekewa drip anaichomoa. Asubuhi kukakucha, ndugu na jamaa wakaja kututumbelea kutuletea chai na Juice pale na jamaa akawa fresh.
Ikafika jioni Ilikuwa 6/6/..... Jamaa alikuwa nje mimi nilikuwa ndani na dereva wa Ofisi. Nikashangaa namwambia dereva neno ambalo tukiongeza zaidi ya miezi 6 "kuwa mimi nikifa, maiti yangu mkiiweka kwenye jeneza na kulifunga juu ya land cruiser nitakunja miguu" tukacheka pale na ghafla naona kitu kimenikumba na mawenge. Jamaa yule mgonjwa alikuwa nje na akaingia ndani akasema" Ndetefyose ulikuwa unajua jana usiku nakufa, sasa wewe ndio utakuta sasa" pale pale Pressure Juu 240 na sukari ikashuka 3 au 2. Moyo unapiga pah pah tena kwa nguvu. Nikawa naweweseka jamaa zangu wamekuja wananishangaa na mke wangu analia nje.
Wakati huo nilikuwa malaya na msela tu ila sijui nilipata Neema gani nikajikuta nasema" Kwa Jina la Yesu, Sifi nitaishi na kutangaza matendo makuu ya Mungu"
Ghafla nikawa sawa, dr akaitwa na kuja kuniwekea drip na nichoma sindano. Toka hapo nimeona mengi sana kupitia kona Hilo.