Mwana kamzaa kwa mke yupi ?Si huwa mnakiri kabisa kuwa Mungu wenu hashindwi na jambo lolote kulitenda ?
Kwanini achemke kuwa na mwana, huoni huyo Mungu wenu ni ubabaishaji ikiwa kila kitu anaweza lakini anashindwa tu kuwa na mwana ?
Kwa uzito huohuo tumia jina jingine, iwe La babu yako au mbwa wenu nyumbani, hata shetani, halafu uje utuletee matokeo hapa.Panapo mchawi, jini, pepo, tamka tu kwa jina la Yesu, Hakuna mchawi wala jini litabaki hapo wote lazima wasambaratike vibaya
Atafute mke au azae bila mke, si mwenye uwezo na juzi zote?Mwana kamzaa kwa mke yupi ?
Atafute mke au azae bila mke, si mwenye uwezo na juzi zote?
Ni kwamba awe na mtoto, atampataje, ni juu yake mwenyewe.Sasa Huo uwezo kajizaa mwenyewe?
Kama ni hivyo kwa nini mnatuambia?Ni kwamba awe na mtoto, atampataje, ni juu yake mwenyewe.
Ana Upendo, ana huruma, anachukia, ana hasira, anasamehe, ana hili na lile just like me. Hata mbwa na paka wana Upendo hata huruma pia kwa watoto wao, hivyo Tunafanana hakika na Mungu.Kwamba Mungu Ana Mtoto [emoji1787], Mungu Hafanani Na Kitu Chochote.
Ni mwenye Uwezo wote.Kama ni hivyo kwa nini mnatuambia?
Na alitamka wapi kuwa mtoto ni juu yangu mwenyewe au umekuwa msemaji wa Mungu ?
Ni mwenye Uwezo wote.
Sasa labda utuambie kipi tuseme hakiwezekani kwa mwenye uwezo wote.
Sawa we jifananishe na Mungu, kuna mwenzio mmoja alikuwa akiishi kule Misri alikuwa anajifananisha na Mungu na alifika pahala akakufuru kabisa kwa kujiita yeye ni Mungu, Mungu alimpa pigo moja tu kisha baada ya kufariki kwenye maji bahari ilimkataa na kumtema na kila akizikwa baada ya muda watu wanaukuta mwili wake juu yani na ardhi pia ilimkataa na mwili wake hauozi mpaka leo hii amebaki historia vizazi na vizazi na Mungu amefanya ivo makusudi ili tupate kujua ukuu wake na iwe fundisho kwa wote tuliobaki.Ana Upendo, ana huruma, anachukia, ana hasira, anasamehe, ana hili na lile just like me. Hata mbwa na paka wana Upendo hata huruma pia kwa watoto wao, hivyo Tunafanana hakika na Mungu.
Na hiyo ni kwa mujibu wa maandiko.
Kuwaambia nini?Jibu swali
Kama ni hivyo kwa nini mnatuambia ?
Na alitamka wapi kuwa ni juu yake mwenyewe au umekuwa msemaji Wake ?
Mbona unasahau ulichoandika ?Kuwaambia nini?
Wewe ulimsikia wapi akitamka chochote?
Hivyo ni vitisho vya kizamani, Leo huwezi kunidanganya hivyo.Sawa we jifananishe na Mungu, kuna mwenzio mmoja alikuwa akiishi kule Misri alikuwa anajifananisha na Mungu na alifika pahala akakufuru kabisa kwa kujiita yeye ni Mungu, Mungu alimpa pigo moja tu kisha baada ya kufariki kwenye maji bahari ilimkataa na kumtema na kila akizikwa baada ya muda watu wanaukuta mwili wake juu yani na ardhi pia ilimkataa na mwili wake hauozi mpaka leo hii amebaki historia vizazi na vizazi na Mungu amefanya ivo makusudi ili tupate kujua ukuu wake na iwe fundisho kwa wote tuliobaki.
Ni muweza wa vyote. Unataka kujua kipi asichoweza kwa Muweza wa vyote? Mpaka akuambie?Mbona unasahau ulichoandika ?
Uliandika
Ni kwamba awe na mtoto, atampataje, ni juu yake mwenyewe.
Swali
Maneno hayo aliyasema wapi au umekuwa msemaji wa Mu
ngu?
Ni muweza wa vyote. Unataka kujua kipi asichoweza kwa Muweza wa vyote? Mpaka akuambie?
Hope unajua kuwa amejitamkia kuwa yu muweza wa yote. (Hayo yote ni pamoja na kupata mtoto)
Akikujibu nitag.....Mwana kamzaa kwa mke yupi ?
1John 3:20. Anzia hapo kisha fanya tafakari vema kujua ni yupi achafuae Ukuu wa Mungu.Umekuwa msemaji wake ? Tuwekee aliposema maneno hayo uliyoyaandika
1John 3:20. Anzia hapo kisha fanya tafakari vema kujua ni yupi achafuae Ukuu wa Mungu.
Acha uvivu sasa ndugu. Mimi nimeishia hapo. Wewe sasa ndio wa kwenda kuthibitisha.1john3:20 inasemaje ?