Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Unataka watoto wanne?
 
jina langu (la jf) ni buffet,,,,,,,,,,mwaka flani nikiwa depo ilifikia hatua nikakata tamaa na nikajawa na mawazo/fikra za kutoroka kwa ule msoto,,,,,siku moja tumetulia mesi nikachukua jarida kwa afande kimaro alikuwa anasoma,jarida hilo lilikuwa limechapisha habari iliyoandikwa na bilionea Warren buffet yenye title "economic intelligence",habari ile ilielezea sana mafanikio na harakati za kiuchumi lakin mm nilifanya kubadili context ya story,kutoka economic kuja militarily, ushuhuda aloelezea buffet na njia njia ngumu alopitia hadi anakuwa among the global billionaires ilifanya nijipe moyo na kuamini kuwa ninaweza pia na nitatoboa,asante Allah,I made it and am proud of this job,,,,Warren buffet is mine real model
 
Atatatafuta mwingine
😁 😁 hapana. neda ufilipino wanaweka
naimajin ukiwa nayo ghafla kwa umri uo, utatia puli, sana, maana utakua na nyege alaf domo zege balaa
utakua mzuri madem watakukimbia wakijua unataka kuwasaga

izi zangu siwezi kupa, maana kwangu '4 chicks 5some' kwa wengine ni '2 chicks 3some'

ie: moja ina serve 2 chicks at a time
 
Kwa ajili ya privacy nlipendekeza majina mawili recycle bin na recuva na zote ni computer software , nikaona hili linanifaa zaidi ila nlikua na ID nyingne kabla ambayo nliona ni rahis sana watu kunijua nkaachana nayo jumla. Pia nlishawishika kutumia ID ya utofauti kwa kuona watu wengi hum wanatumia majina ya utofauti na nlivutiwa na mbaozamawe, viatuvyasamaki nikajipa recycle bin
 
Wala usihofu, mimi nafanana na baba yangu kwa hiyo itakuwa imefika mahali pake, nipe bwana usinifanyie roho mbaya mwenzio
 
Mimi tulikuwa na bekitatu flan hom wakati mdogo,sasa yule bekitatu akawa anasema atanipa dokolombwike, Mimi nikawa nampotezea kwanza nikawa naona jina la ajabu kinoma,akajaga kuondoka,baadae nikafwatilia alikuwa anamaanisha nini kumbe bwana dokolombwike ni PAPUCHI,daah huwa najilaum hadi Leo kukosa papuchi
 
Mimi Hon Ni kazi ambayo nilikua napenda kufanya toka niko mdogo yani niwe Hakimu au Mbunge Niitwe Mheshimiwa Nkundwe ni Jina langu la pili la kilugha nilipewa na Mama yangu mkubwa aliyekuwa ana muuguza mama alipojifungua kwa siza Kwahyo ndo ukiunganisha hapo unapata Hon Nkundwe
 
sawa afandeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…