Unataka watoto wanne?Haina maana yoyote mate..jina tu la msanii wa kifilipino (ynamorata) siku najiunga nilikumbuka tu jina lake nikaamua nilitumie..hiyo namba nilivyokua najiunga niliambiwa tayari Kuna mtu anatumia hilo jina humu ndio nikaamua kuweka namba mbele
Ila yna4 namba ilikua na maana ya watoto wanne[emoji1751]
jina langu (la jf) ni buffet,,,,,,,,,,mwaka flani nikiwa depo ilifikia hatua nikakata tamaa na nikajawa na mawazo/fikra za kutoroka kwa ule msoto,,,,,siku moja tumetulia mesi nikachukua jarida kwa afande kimaro alikuwa anasoma,jarida hilo lilikuwa limechapisha habari iliyoandikwa na bilionea Warren buffet yenye title "economic intelligence",habari ile ilielezea sana mafanikio na harakati za kiuchumi lakin mm nilifanya kubadili context ya story,kutoka economic kuja militarily, ushuhuda aloelezea buffet na njia njia ngumu alopitia hadi anakuwa among the global billionaires ilifanya nijipe moyo na kuamini kuwa ninaweza pia na nitatoboa,asante Allah,I made it and am proud of this job,,,,Warren buffet is mine real modelAsalam wanajamvi?
Niende moja kwa moja kwenye mada! nini kilichopo nyuma ya hilo jina. Nini unakikumbuka ukajiita hilo jina! yapo majina mengi yanatoa tafakari na burudani!
Nikianza na mimi kindikinyer leborosier
Ni muunganiko wa vijiji vinne vilivyoandkwa kwa kifupi:
Kindi ni kijiji kimoja kipo kibosho kilimanjaro ambapo niliwahi kukaa kwa miaka minne nilijifunza uchaga na tamaduni zao zilinivutia na hua napakumbuka sana!
Kinyer (lendikinya) ni mtaa mmoja upo monduli umasaini niliwahi kwenda kusanya data nikajifunza mambo mengi ya kimasai.
Na tamaduni zao pia!
Leboro ni kijiji kingine kipo Manyara wilaya ya mbulu kata ya mama isara, ni chimbuko la wambulu (wairaki) niliwahi kwenda kukaa na kufanya shughuli zangu pale kwa muda pia, ni mahali pako vizur sana milima ile hali ya hewa ya ubaridi.. napakumbuka sana!
Na mwisho sier (esere) ni kijiji kipo wilaya ya ngorongoro mkoa wa Arusha kata ya enduleni, hapa kuna mambo mengi sana yalinifanya niishangae sana Tanzania, madini, mapango ya kale, na nyayo za mtu wa kale ambae zipo pembeni kidogo panaitwa laitolye, wanaishi wamasai nilijifunza mengi pia!!
Nini kinakukumbusha ukitazama jina lako la JamiiForums!!
Uzi tayari
π π hapana. neda ufilipino wanawekaAtatatafuta mwingine
Kuna chalii pia anatumia 'Tunakodisha Bunduki'mkuu huyu mtu ndo sababu haswa ya mimi kuwaza huu uzi.. hili jina kila mara hua nsjiuliza why.. yeye ni mkulima na akachekwa sana
Ipi?Na wewe rudia ile yako nibarikiwe mpaka leo nisiende msalani.
Wala usihofu, mimi nafanana na baba yangu kwa hiyo itakuwa imefika mahali pake, nipe bwana usinifanyie roho mbaya mwenzio[emoji16] [emoji16] hapana. neda ufilipino wanaweka
naimajin ukiwa nayo ghafla kwa umri uo, utatia puli, sana, maana utakua na nyege alaf domo zege balaa
utakua mzuri madem watakukimbia wakijua unataka kuwasaga
izi zangu siwezi kupa, maana kwangu '4 chicks 5some' kwa wengine ni '2 chicks 3some'
ie: moja ina serve 2 chicks at a time
weka picha nione kama hii ni kwelimimi nafanana na baba yangu
Mimi kwasababu nipo na long fat dickNimezaliwa peke angu kwa mama..DOUGHTER.
Nimekutumia PMweka picha nione kama hii ni kweli
Ila lile jingine nililielewa zaidi kuliko hili..na ile Avatar yako[emoji3][emoji3].
I wish ulirudie lile.
RIP Charles Kileo
π π hapa ni sawa na kusubiria meli eapotiNimekutumia PM
[emoji3][emoji3][emoji16] [emoji16] hapa ni sawa na kusubiria meli eapoti
nikiwa napata mda nitakua nakukumbusha kwenye kila uzi utaochangiaTuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
sawa afandeeeejina langu (la jf) ni buffet,,,,,,,,,,mwaka flani nikiwa depo ilifikia hatua nikakata tamaa na nikajawa na mawazo/fikra za kutoroka kwa ule msoto,,,,,siku moja tumetulia mesi nikachukua jarida kwa afande kimaro alikuwa anasoma,jarida hilo lilikuwa limechapisha habari iliyoandikwa na bilionea Warren buffet yenye title "economic intelligence",habari ile ilielezea sana mafanikio na harakati za kiuchumi lakin mm nilifanya kubadili context ya story,kutoka economic kuja militarily, ushuhuda aloelezea buffet na njia njia ngumu alopitia hadi anakuwa among the global billionaires ilifanya nijipe moyo na kuamini kuwa ninaweza pia na nitatoboa,asante Allah,I made it and am proud of this job,,,,Warren buffet is mine real model