jina langu (la jf) ni buffet,,,,,,,,,,mwaka flani nikiwa depo ilifikia hatua nikakata tamaa na nikajawa na mawazo/fikra za kutoroka kwa ule msoto,,,,,siku moja tumetulia mesi nikachukua jarida kwa afande kimaro alikuwa anasoma,jarida hilo lilikuwa limechapisha habari iliyoandikwa na bilionea Warren buffet yenye title "economic intelligence",habari ile ilielezea sana mafanikio na harakati za kiuchumi lakin mm nilifanya kubadili context ya story,kutoka economic kuja militarily, ushuhuda aloelezea buffet na njia njia ngumu alopitia hadi anakuwa among the global billionaires ilifanya nijipe moyo na kuamini kuwa ninaweza pia na nitatoboa,asante Allah,I made it and am proud of this job,,,,Warren buffet is mine real model