Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Miaka ya nyuma nkitokea huko kwetu kaskazini kuja hapa mjini Dar'slam nilisema ntahamia huku kabisa ila baada ya kufika na kukutana na kero za mji nkapachukia na kuamua kubaki mgeni tu.
 
Miaka ya nyuma nkitokea huko kwetu kaskazini kuja hapa mjini Dar'slam nilisema ntahamia huku kabisa ila baada ya kufika na kukutana na kero za mji nkapachukia na kuamua kubaki mgeni tu.
 
Kindi ni kijiji kinafuga majambazi sana. Waliwahi kumuua Padre kwa ajili ya sadaka.
 
Jina langu MIIKU ni mzee kwa kichaga yaani napenda sana kusalimia watu Miiku hasa tukikutana wachagga.
 
Jina langu hili nilipewa na Bibi yangu.Jina la kabila langu.Wenye hilo kabila wanaelewa.Maana yake ata sikumbuki.
Haha lazima wewe ni mchagga kutoka kibosho, mkabasia, mkanoti, mkabengi, mkachanuo.
 
Hivi rombo mkoani Kilimanjaro hakuna sehemu inaitwa makiadi?
 
Unamfahamu vizuri Da Vinci? Nilisoma minovo yenye profile zake no "noma"
Nilikuwa napenda masomo ya biashara,katikati ya form three nikaumwa,nilivyopelekwa hospitali nikaulizwa kama nilikuwa tayari nimekula,sikujua kilichokuwa kinafuata,nilidungwa sindano moja Kali had I nikaanguka chini Akili ziliporudi nilimuuliza Dr.ni dawa gani nimedungwa,akajibu tu 5mega nikashindwa kuelewa ila nilichukua hatua zaidi nikabadili kwenda sayansi had I sasa ni Pharmacist
 
Aaah aaah hongera ila wale motivation speaker sio wa kuwaamini saana wanatuchuuza saana... Kama yule buffet sijui kama kwel kapitia ugumu.

Kwa iyo vipi ndugu baada ya kuakaza mambo yanenda sawa mpaka sasa?
 
Aaah aaah hongera ila wale motivation speaker sio wa kuwaamini saana wanatuchuuza saana... Kama yule buffet sijui kama kwel kapitia ugumu.

Kwa iyo vipi ndugu baada ya kuakaza mambo yanenda sawa mpaka sasa?
mpaka sasa mambo yako sawia mkuu,karibu songea kikosi cha 411kj ruhuwiko
 
mpaka sasa mambo yako sawia mkuu,karibu songea kikosi cha 411kj ruhuwiko
Aaah aaah watata saana nyie tukiingia hanga zenu....

Tukaribishane makanisani na misikitini, bar na mitaani....

Ila huko kikosini msala mkuu
 
Hapo peke yake nimeumia Sana sipendi kusikia au kuona mtu anaishi maisha hayo japo anakuwa ameamua
 
Feb mwaka huu ilizinduliwa muvi ya Captain Marvel iliyochezwa na Brie Larson..nampenda sana huyu mwanamke very wife material na yuko sexy. Kwakua ana jina la kike hvo sikuona kama ni vzuri kutumia jina la kike. Kwenye muvi hiyo katumia jina la Carol Denvers kwa kifupi wansmwita "Vers" Nimelipenda kabisa hilo jina ndio nikaona nibadili kutoka Da'Vinci to Denvers.
Usichanganye na Denver (bila s ) wa kwenye money heist. Denver ni sehemu iliyoko corolado huko usa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…