Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Aah,.nimependa tuu hiyo definition mkuuMkuu mbn unacheka
Wengine maana ya ID zetu ni aibu kusemaKila ID INA maana yake nini maana ya Jina Lako?
OK OK Mtoza Ushuru....zakayo....Mwanamke mfupi mtoza ushuru!!
You crazyyyy,. I know you know buddy[emoji13] [emoji13] [emoji13] Wow!!!Au nikuite huyu Bwana Xi ?
Hahahaa Mkuu Au ulishawahi kufanya hicho kitendo kwenye kadamnasi cha ID yako!Wengine maana ya ID zetu ni aibu kusema
Duuuhh mbn km umeshikwa na hamu ?? Kuna nn ??... Hata Mimi I know you buddy!!.You crazyyyy,. I know you know buddy[emoji13] [emoji13] [emoji13] Wow!!!
Naaantombe Mushi nakumbuka sana kipindi cha Nyuma ulikuwa unatafuta Nchi Nzuri uende Sijui kama Ulishapata Mkuu....Naantombe = salamu ya asubuhi
Mushi = Jina langu
So ile asubuh kijijini watu wanasalimiana wakifika kwangu inabidi waniamkie 'Naantombe Mushi' .. Na mimi naitikia eeka mbe
Ila mfano nikapita kwenye kichumi cha ukoo wa Mamboro au Mboro zote hizi ni koo za kichaga.
So hapo ntawasalimia 'Naanto Mamboro' ' Naanto Mboro' .. Na wao wataitikia vizuri tu.
Wengi humu JF akili zao wanazijua wenyewe, huwa wanadhani jina langu ni matusi
Comrade habari yakoJitu Jeusi
Means theluji
Nashangaa umejuaje mkuuHahahaa Mkuu Au ulishawahi kufanya hicho kitendo kwenye kadamnasi cha ID yako!
Kila ID INA maana yake nini maana ya Jina Lako?
Mtamu wewe[emoji115] [emoji14] [emoji14] [emoji6]Monaco
Mkuu yako inajielezea yenyeweWengine maana ya ID zetu ni aibu kusema