Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Kiungo bora kabisa kuwahi kutokea katika medani ya Soccer

"Xavi Hernandez Creus"
 
Gentamycine pia ni dawa antibiotic
 
Mi nilichagua jina hili kwa kuwa professionary ni daktari wa binadamu na chichi ni jina langu la utani.kuhusu avatar huwaga napenda kuwekaga za nyani wakipiga ulabu coz mi mwenyewe nakunywa pombe
 
Gentamycine pia ni dawa antibiotic

Kwani uliambiwa kuwa sijui maana yake au Kiherehere tu? Nimejibu hoja ya jinsi nilivyolichukua hilo jina kwa Mtu mmoja na sijaelezea maana yake kwakuwa najua kila Mtu mwenye akili timamu angetaka kujua maana yake basi ange ' google ' na kuipata kama siyo na kuielewa pia.
 
Mzee wa liver mimi ni mnazi w liver miaka mingi mapenzi yangu kwa klabu hii ndio yakapelekea nitumie hilo jina hapa jamvini JF
 
Cc12 ni ujazo wa dawa kwenye sindano anayopigwa ng'ombe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…