Nyumbu- kwa sababu wengi hudhani nyumbu ni myama mjinga kumbe ni kinyume kabisa. Nyumbu hawezi kukubali shida hata kama mafanikio yake yatagharimu maisha yake. Ndio maana wakati wa njaa kule Kenya huvuka kuja Tanzania. Njiani hukutana na vikwazo kadhaa, yaani mafuriko, kuliwa na mamba na wanyama wengi wakali. Lakini anakuwa determined kufika anakoenda. Hivyo hujitosa , mbio mbio , mbio mtindo mmoja mpaka afikie Green Pastures alizozitaka. Na kwa kujua kwamba uwepo wake hutegemea zaidi wingi kuliko nguvu, basi huwazidi kete maadui wake kwa kuzaa sana mpaka wenyewe inafika mahali wanabaki wameshiba wala hawahitaji kuwala nyumbu. That way, nyumbu ndo amekuwa gumzo la Serengeti na Masai mara.
HIVYO, TUKIUNGANA KWA WINGI WETU, TUKAAMUA MOJA LA KUPIGANA NA HAWA MAMRUKI WA wazungu na wote watuibiao, tutashinda. they will try to kill us, but we got to keep moving, running, getting more members etc. Mwisho watasema du, hawa watu hawashindwi na hawaishi! Ukimuua Amina Chicfupa, 10 more Aminas will come...and at last we will conqure back our land, na kusihi kama ndugu ndani ya nchi yetu , tuliyoachiwa na mtakatifu Nyerere .......