Mkuu jina langu ndio mkombozi wa Afrika.Yaani African origin spear.Nilifikiria tulipotoka waafrika na tulipo mkuki wetu ulichangia.
JamiiForums mnakwama wapi? Ebu ungeni behewa hapo.Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?
Hili swali linawahusu wale ambao hawatumii majina yao ya kweli hapa ukumbini. Je, jina lako lina maana yoyote? Kuna sababu yoyote ile iliyokufanya uamue kutumia jina hilo!? Nilikuwa nimeamua kutosema lolote kuhusiana na hali ya kisiasa ndani ya nchi yetu (kuwa bubu) pamoja na kwamba nilikuwa...www.jamiiforums.com
Nimefafanua ID kwenye huo uzi post namba 1021
Ndio sijamsamehe na simsameheNiliona comment yako mahali ukisema kuna mpenzi wako uliyemwamini sana mwishowe alikutapeli elfu 85 hadi leo hujamsamehe.
Hahahhaaaaa staki kuamin na ujanja wako wote ulimzimikia[emoji14][emoji14]Hahahaahahahhaha tulivyoachana ndo niligundua mweupe ...sasa mwanaume anapenda taarabu na mafumbo huyo mtu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikufa nikaoza aseee yaani nikikumbuka najikuta fala kishenziHahahhaaaaa staki kuamin na ujanja wako wote ulimzimikia[emoji14][emoji14]
[emoji3][emoji3]let past be past..hope hutarudia tena
Sirudii nipo makini mno sasa hivi[emoji3][emoji3]let past be past..hope hutarudia tena
Hahaha Mother of all confessors...aisee ni long story nikipata muda ntakujuza😉ila usije ukanikonfesia tuu🤓Safi sana tu.
Nimekuita na wewe ufunguke hapa chanzo cha kujiita maza konfesa
Basi kama ni long story naomba tuihamishie kule Pombe MagufuliHahaha Mother of all confessors...aisee ni long story nikipata muda ntakujuza[emoji6]ila usije ukanikonfesia tuu[emoji851]
Hahaha,.sawasawa..Basi kama ni long story naomba tuihamishie kule Pombe Magufuli
Hahaha,.sawasawa..
Haya buana,.sisi waswahili tusemeje,.😎When someone loughing on what you have said.it means the message sent.
Kizungu shida kweli kweli yani.
Kiswahili burudani kabisa.Haya buana,.sisi waswahili tusemeje,.[emoji41]
Hilo mimi nililitambua awali kabisaa,.Kiswahili burudani kabisa.
Id yangu ni nimeiedit kutokana na ID ambayo nilipigwa ban jamii forum mwanzo.nikacreate hii na kuongeza ER.
Hilo mimi nililitambua awali kabisaa,.
InshaAllah,.tupo pamoja.Ahahahahahah.dah
Ban mbaya sana yani.
Basi sawa tutaonana Pombe Magufuli Mungu akipenda.