Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?

Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.

Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?

Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!

Ahsante
Atakaye pata maana ya jina “Mbute na Chai” kuna zawadi nono.
 
Carleen is one of the sweetest things you will ever encounter as you walk across this earth.

She is loved by most and those who do not fall under her spell change their minds after knowing her, unless they are of the foolish kind.

Once hooked to a Carleen, you certainly will maintain a strong connection for a very long time. They are addicting like a drug, except the high is much more uplifting.

'Niliamua kujiita Carleen, baada ya kusoma ni mtu wa aina gani halafu najiona kabisa sifa zote hizo kiukhalisia ninazo, teh'..!!😂😂
 
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
hahahahahah nilikua nataka nikutag Kwa kukuita kubwa la maadui GENTAMYCINE
A.K.A dawa chungu mwarobaini + arovera ikasome ila nikasita nikasema ngoja nimalize page zote Ndio nicomment ila Kwa kua nimekuona njiani hakyanani nimecheka ulivyojimwambafai!
😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥
 
GENTAMYCINE Dawa Kabambe ya Kutibu...

1. Magonjwa Sugu na Fangasi zote tu

2. Kutibu Upumbavu Uliomtukuka Mtu

3. Kukuongezea Akili ambazo hauna

4. Kiboko ya Wanafiki na Wachokozi JF

5. Upweke kwa kukupa Furaha kila 27/4

6. Kupotea kwa Kumbukumbu Kichwani

7. Magonjwa yote yatokanayo na Zinaa
Kiboko cha wambea na wanafiki😂😂😂
 
Dumas the terrible

Duma - Bunge la Russia Ndio hutumia title hii nikaongeza 'S' Ili kuwakilisha
Mnyama Duma na makali yake mfano wa Bunge la Duma pale Moscow likiwa na makali kwenye maamuzi ya nchi Yao

Dumas lilichochewa na background ya ukoo wetu (Code)
Na pia ikimuwakilisha mwandishi nguli kutoka ufaransa ndugu Alexander Dumas mwandishi wa three Musketeers
Pia
Dumas ikisimama kama Duma mnyama mwenye speed ya
100 km per hour

The terrible hii ilikua inspired na
Ivan the terrible aliyekua mfalme wa Russia 1533 - 1584 sababu legacy yake ya kibabe pia kutokana na Mimi kujikubali na baadhi ya misimamo yangu na falsafa mingi kua against Society ilioyonizunguka hivyo hua naonekana kama Moja ya materrible flani Hivi

Anyway
Dumas the terrible I'd yangu na Avatar vinaongea ila nilikua natoa wasifu kidogo!
😁😁😁😁🔥
 
Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa! Kuna majina huwa yananitafakarisha sana! Kila ninaposoma nyuzi za baadhi ya watu huwa najikuta nalitazama jina la muhusika na kuzama katika lindi la mawazo nikitafakari lina maana gani?

Hivi kwa mfano wewe Imeloa, una maana gani kujipa hilo jina? Ni nini hiyo iliyoloa? Kuna huyu Bwana Utamu nk. Majina yenu kwa kweli huwa yananifanya niwaze na kuwazua. Naomba mtushirikishe maana hasa ya kujiita mlivyoamua kujiita.

Jina lako lina maana yoyote? Tushirikishe tafadhali kwa nini umejipa jina hilo?

Kwangu mimi Elisha ni jina la meanangu. Wewe je? Hebu twende kazi! Kwa nini umejiita ulivyojiita? Hii ni kwa wote tafadhali siyo tu kwa ndugu Imeloa!

Ahsa
 
Back
Top Bottom