Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Alafu kuna huyu anaijiita Mimi Amadi we Nani Ila ameandika hivi mimiamadiwenani
Alf kuna Mbususu Enthusiast
Hahahaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kuna huyu anaijiita Mimi Amadi we Nani Ila ameandika hivi mimiamadiwenani
Alf kuna Mbususu Enthusiast
Wakati nikifanya jitihada za kuhakikisha usemi wako wa tafsiri wa hilo jina ikanibidi ni search googleJina langu maana yake ni ni ndinga moja luxury ya bei kaliii sana tokea pande za Italy 🇮🇹 huko
Hakuna cha Dimwit hapaa Pumbavu!!!Dimwit.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna hawa Mimi sikulamba sukari na Jana Ulirudi Usiku
Ukiambiwa hivyo ujue watu wanakutumia Kama kondom.Naambiwaga nina tabia nzuri kila napoishi nimeona nijiite tu roho mtakatifu
Kuna jamaa anajiita Shimba Ya Buyenze.
We kweli kiokote! Unadhani wote tunaona nyuzi zote? Unaweza kuta hata hili jibu ulilotoa hapa lilishawahi tolewa na mtu, je, tuseme hutaki kuumiza kichwa na kwamba umekopi tu??!Watu hawataki kuumiza vichwa siku hizi wanarudiarudia nyuzi tu.
'Niliamua kujiita Carleen, baada ya kusoma ni mtu wa aina gani halafu najiona kabisa sifa zote hizo kiukhalisia ninazo, teh'..!!😂😂
Basi Ngoja nimuulize Babu maana ya Hili Jina.We kweli kiokote! Unadhani wote tunaona nyuzi zote? Unaweza kuta hata hili jibu ulilotoa hapa lilishawahi tolewa na mtu, je, tuseme hutaki kuumiza kichwa na kwamba umekopi tu??!
Muongeze na huyu miminimatopeKuna hawa Mimi sikulamba sukari na Jana Ulirudi Usiku
Nimelitoa kwenye movie ya kihindi inayoitwa udaan (Kama sijakosea)alikuwa ni main character wa hiyo movie.ni mtoto mchangamfu sana na mcheshi muda wote(mwanzoni mwa movie)hata ukimkosea anapoteza furaha baada ya muda baada ya hapo anarudi kwenye maisha Yake ya uchangamfu,furaha/ucheahi na upendoMimi nikifafanua tu basi identity ya huyu kiumbe nyuma ya ID atajulikana na wengi...😉
Nipe siri ya ID yako kwanza Chakorii 😊