Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ujue supernatural power ndio power kubwa kuliko zote. Scientific reasons zinafika ukomo wa kuelezea baadhi ya mambo na hapo ndipo tunapohitaji the power of the supernatural.Mkuu,natural occurance zote zina reason,tena scientific reason..hakuna some supernatual power,ni vituko vya karne tu!
Unabishana na picha za ancient religion mkuu. Expert hebu tuelezee huo mstari ni kitu gani?Mtoa mada acha kupotosha..
Mstari unaomzunguka Yesu kichwani sio Jua..
Huo umri wa jua unakadiriwa tu mkuu. But lina nature ya uungu ndani yake alijawahi kuumbwa, halina mwanzo wala mwisho.Jua lina miaka bilion 5? Nani alipima umri wake na alitumia Kifaa gani?
Mvua inategemea jua ndio inyesheNadhani watu walipaswa kuabudu mvua maana inaleta chakula pia..jua huwa watu hawalipi kipaumbele sana maana likizidi ni lawama tofauti na mvua.
Ila mtambue mvua hadi inyeshe inategemea uwepo wa juaKweli kabisa lakini vyote viwe kwa kiasi, Ilajua ni noma sana mfano umepingwa sana na baridi, alafu jua lichomoze kamakile kijua cha asubuhi kilivyo kitam unaweza kusahau shida zote.
Ukweli kabisa, no sun, no life kwa viumbe na hata mimea,Jua linapata utukufu na heshima kubwa kuliko sayari na nyota zote maana ndio life provider wa all universe.
No sun..No life in all planets and stars.
Umetisha mkuuBut remember water comes for condensation process in which sun plays a vital role in the water forming process.
We all thrives when sun comes in between.
No sun no life.
Wewe umeelewa vizuri sana dhima nzima ya jua kuwa na utukufu, utisho, na heshima.Naona wengine wanasema mvua ndio bora kwakuwa inafanya mazao yapatikane, bila kujua kwanzakabisa mvua ili inyeshe inahitahi uwepo wa jua,
Ili mmea ukue hadi kutoa chakula unahitaji uwepo wa jua.
Hili somo nimelielewa vyema, ndio maana yale maeneo ya dunia ambayo jua halifiki hakuna kiumbe kinaishi wala mmea unaota,
Ni jua tu ambalo halijawahi kuumbwa au ni pamoja na sayari na nyota pia hazijaumbwa?Huo umri wa jua unakadiriwa tu mkuu. But lina nature ya uungu ndani yake alijawahi kuumbwa, halina mwanzo wala mwisho.
Alpha and Omega.
Sun God... Son of God.
Kwahiyo kutokujua kitu fulani maana yake unajua hicho kitu hakipo? kwamba mtoto hamjui mama yake na hivyo anajua hana mama?mkuu ulipozaliwa wakati una siku 2 tangu uje duniani ulikuwa wamjua hata mama yako??
sasa kama mama yko ulikuwa humjui vipi kuhusu MUngu??
Nimetukana wapi mkuu?Please quote tusi verbatim hapa...
halafu mbona umekasirika mtu kupinga dini?Mbona watu wa dini mna chuki na wasioamini ?Kwanini lakini?
Unajua watu wa Kariba yake Afande huwa wanabeba vitu vizito sana vya kimungu.afande sele kasema anaabudu jua
This makes sense...hakuna mtu anaejua haraka mama kama mtoto.. Na anajua kwa spiritual eye ya ukweli kabisa.Kwahiyo kutokujua kitu fulani maana yake unajua hicho kitu hakipo? kwamba mtoto hamjui mama yake na hivyo anajua hana mama?
afadhali ya mama hata kama hutomkuta lakini utawaona wenzako ambao wenye mama zao ama kuziona pictr za huyo mama yako ..so hakutokiwa na nguvu kubwa inayopaswa kutumika kukujengea imani kuwa wewe ulizaliwa na mwanamke ambaye unapaswa kumuita mama ...ila kuhusu habari za Mungu mpka leo kwa wengine zimebaki kuwa fiction tu achilia mbali nguvu kubwa iliyotumika yakuwapeleka makanisani na misikiti ili wapate kujifnza habari zakumuhusu Mungu huyoKwahiyo kutokujua kitu fulani maana yake unajua hicho kitu hakipo? kwamba mtoto hamjui mama yake na hivyo anajua hana mama?
Wewe unasimama wapi kuhusu hii unayoiita fiction ya Mungu?afadhali ya mama hata kama hutomkuta lakini utawaona wenzako ambao wenye mama zao ama kuziona pictr za huyo mama yako ..so hakutokiwa na nguvu kubwa inayopaswa kutumika kukujengea imani kuwa wewe ulizaliwa na mwanamke ambaye unapaswa kumuita mama ...ila kuhusu habari za Mungu mpka leo kwa wengine zimebaki kuwa fiction tu achilia mbali nguvu kubwa iliyotumika yakuwapeleka makanisani na misikiti ili wapate kujifnza habari zakumuhusu Mungu huyo