IKIWA WEWE NI MWANAMUME RIJALI, HAPA DUNIANI HUPENDI KUTEMBEA NA WANAKE VIMWARI KAMA INGELIKUWA SI HARAMU KWA IMANI AU KIJAMII ? KUWA MKWELI SEMA KWELI YAKO NAFSI YAKO HAIHISI HIVYO?Sasa hao bikra 72 ni WA kazi gani?
Unajiona kuwa umesomam ndio unatukana imaniu siyo? Unajua kuwa wale machizi ni viumbe kama wewe na hawakuomba kuwa vile,hujawa tu mwenye kushukuru na kuzingatia.?Hizo zinaitwa primitive mythologies za kiarabu, jiongeze
ujinga hauwezi kuwa cha jio, wewe umegeuza ujinga kuwa chakula cha jio?Kwanza jina "binadamu" si jina sahihi, kwa sababu linatokana na hadithi ya kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na sisi wote tumetoka kwake, hiyo habari ni ya uongo.
Kwa mujibu wa sayansi ya sasa, ushahidi wote unaonesha kuwa watu wamepata kuwa a species kutokana na evolution by natural selection, si kwa kumbwa na Mungu.
Wafia dini mna makasiriko kwelikweliKama wewe huamini, zuia Kufa basi usife ,uishi milele kama unadhani una mamlaka ya kujiamualia upendavyo.
Na kwa ninavyokuona Kesho utapatwa na Homa wewe utaanza kutafutana na Madawa na Kumuita Mungu.
Wacha Ukafiri
Kwanini shoga haingii peponi kama akisilimu ? Pia hujajibu swali langu ,kama hujui tuliza kipele subiri wenye elimu wajeNenda Motoni.
Maana Mashoga hawaingii peponi.
Imeandikwa wapi?Peponi ni unachokitamani unapata.
Mbinguni hakutakuwa na vifuatavyo;
1. Kitimoto roast
2. Makange
3. Biriani
4. Pilau
5. Wali maharage
6. Bia
7. Chips
8. Nyama choma
Itakuwa mwendo wa matunda kama ilivyokuwa bustani ya edeni. Hakikisha ukiwa hapa duniani unafakamia hivyo vyakula.
Sawa MunguUtafufuliwa kama ulivyoumbwa.
Hukuwepo na utatoweka kisha utarudishwa kwa HESABU ya matendo yako
we jipe moyo wa kujipumbaza na ujana wako na pumzi zako.
siku pumzi zikikata utajuwa kila kitu.
WANAWAKE HAWAKUPANGIWA ZAWADII HIYOsijabisha suala la pepo....usikwepesha mada ya mabikira 70. mdau ameuliza ikiwa wanaume watapewa mabikira 70, wanawake watapewa wanaume 70?...jibu hoja hii
Kwahiyo bora mbingu isiwepo tuishie tu hapo hapo tulipozikwaKama mbinguni kutakosekana vitu hivyo ulivyotaja, pamoja na dstv, wi-fi, mitandao ya kijamii nk basi kutakua sehemu moja ya hovyo sana.
Shoga akisilimu na kuacha ubaradhuli wake haitwi tena shoga, bali ni muumini.Kwanini shoga haingii peponi kama akisilimu ? Pia hujajibu swali langu ,kama hujui tuliza kipele subiri wenye elimu waje
Kama sitaki hao mahururaini nitalazimishwa?? Na kama nataka mahururaini mia nitapata? Au ni 72 tuShoga akisilimu na kuacha ubaradhuli wake haitwi tena shoga, bali ni muumini.
Atapata pepo yenye neema, na kama Ni mwanamme atapewa Mahurul ain.
Lakini Ukifa na Ushoga wako na Uchoko na Ubasha , Utachezea kibiriti cha moto.
Wewe uko uliko huna zawadi yoyote unataka mahuruain ili iweje wakati hata Yesu wenu hajui ndoa ndio nini tulia!!!Kama sitaki hao mahururaini nitalazimishwa?? Na kama nataka mahururaini mia nitapata? Au ni 72 tu
Wewe uko uliko huna zawadi yoyote unataka mahuruain ili iweje wakati hata Yesu wenu hajui ndoa ndio nini tulia!!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile wa
Wapi nimetaja dini yangu? Halafu kungonoka tu ndio umeona zawadi kuuWewe uko uliko huna zawadi yoyote unataka mahuruain ili iweje wakati hata Yesu wenu hajui ndoa ndio nini tulia!!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe mwehu Mungu unampangia afanye nini kwani mbinguni hakuna viumbe vingine hata sasa?Iyo ni hamasa kwa wazinzi watende mema wakaendeleze ngono mbinguni.
utaona mtu mzima na sharubu zake amekaa akiamini ushawishi huo.
mungu anahamasisha ngono sehem takatifu yaan mbinguni
Nani amekwambia tutapata zawadi moja tu halafu kwa nini uwe na wivu wenzio waki ngonokaWapi nimetaja dini yangu? Halafu kungonoka tu ndio umeona zawadi kuu