Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Sasa hao bikra 72 ni WA kazi gani?
IKIWA WEWE NI MWANAMUME RIJALI, HAPA DUNIANI HUPENDI KUTEMBEA NA WANAKE VIMWARI KAMA INGELIKUWA SI HARAMU KWA IMANI AU KIJAMII ? KUWA MKWELI SEMA KWELI YAKO NAFSI YAKO HAIHISI HIVYO?
 
Hizo zinaitwa primitive mythologies za kiarabu, jiongeze
Unajiona kuwa umesomam ndio unatukana imaniu siyo? Unajua kuwa wale machizi ni viumbe kama wewe na hawakuomba kuwa vile,hujawa tu mwenye kushukuru na kuzingatia.?

Vilema na masikini wengi mitaani na wagonjwa hawakuomba kuwa vile,
Bali mungu alikupendelea wewe kuwa hivyo ulivyo unadhani ni kwa akili yako?
 
Kwanza jina "binadamu" si jina sahihi, kwa sababu linatokana na hadithi ya kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na sisi wote tumetoka kwake, hiyo habari ni ya uongo.

Kwa mujibu wa sayansi ya sasa, ushahidi wote unaonesha kuwa watu wamepata kuwa a species kutokana na evolution by natural selection, si kwa kumbwa na Mungu.
ujinga hauwezi kuwa cha jio, wewe umegeuza ujinga kuwa chakula cha jio?
Mbona binadamu hawaendelei tena kutokea na hiyo EVOLUTION ?
Hivi Kama huna mke au mwanamke unapataje binadamu mpya (mtoto)..
PUMBAVU ZENU WANA SAYANSI WAONGO ETI EVOLUTION
 
Kama wewe huamini, zuia Kufa basi usife ,uishi milele kama unadhani una mamlaka ya kujiamualia upendavyo.
Na kwa ninavyokuona Kesho utapatwa na Homa wewe utaanza kutafutana na Madawa na Kumuita Mungu.
Wacha Ukafiri
Wafia dini mna makasiriko kwelikweli
 
Mbinguni hakutakuwa na vifuatavyo;
1. Kitimoto roast
2. Makange
3. Biriani
4. Pilau
5. Wali maharage
6. Bia
7. Chips
8. Nyama choma

Itakuwa mwendo wa matunda kama ilivyokuwa bustani ya edeni. Hakikisha ukiwa hapa duniani unafakamia hivyo vyakula.
 
Mbinguni hakutakuwa na vifuatavyo;
1. Kitimoto roast
2. Makange
3. Biriani
4. Pilau
5. Wali maharage
6. Bia
7. Chips
8. Nyama choma

Itakuwa mwendo wa matunda kama ilivyokuwa bustani ya edeni. Hakikisha ukiwa hapa duniani unafakamia hivyo vyakula.

Kama mbinguni kutakosekana vitu hivyo ulivyotaja, pamoja na dstv, wi-fi, mitandao ya kijamii nk basi kutakua sehemu moja ya hovyo sana.
 
Utafufuliwa kama ulivyoumbwa.
Hukuwepo na utatoweka kisha utarudishwa kwa HESABU ya matendo yako
we jipe moyo wa kujipumbaza na ujana wako na pumzi zako.
siku pumzi zikikata utajuwa kila kitu.
Sawa Mungu
 
sijabisha suala la pepo....usikwepesha mada ya mabikira 70. mdau ameuliza ikiwa wanaume watapewa mabikira 70, wanawake watapewa wanaume 70?...jibu hoja hii
WANAWAKE HAWAKUPANGIWA ZAWADII HIYO
Badala yake mwanamme atakuwa na mashune murua ya kumpa raha mwanamke mpaka ajisikie raha ,(orgasm) afikie kileleni.
Ama raha nyingine za Vyakula ,watumishi na mapambo watashirikiana. na wanaume zao.

Hata hivyo idadi ya wanawke watakaoingia Peponi itakuwa ndogo mno ukilinganisha na wanaume, ndo maana tukapewa nyongeza ya Mahur l ain
 
Kama mbinguni kutakosekana vitu hivyo ulivyotaja, pamoja na dstv, wi-fi, mitandao ya kijamii nk basi kutakua sehemu moja ya hovyo sana.
Kwahiyo bora mbingu isiwepo tuishie tu hapo hapo tulipozikwa
 
Kwanini shoga haingii peponi kama akisilimu ? Pia hujajibu swali langu ,kama hujui tuliza kipele subiri wenye elimu waje
Shoga akisilimu na kuacha ubaradhuli wake haitwi tena shoga, bali ni muumini.
Atapata pepo yenye neema, na kama Ni mwanamme atapewa Mahurul ain.
Lakini Ukifa na Ushoga wako na Uchoko na Ubasha , Utachezea kibiriti cha moto.
 
Shoga akisilimu na kuacha ubaradhuli wake haitwi tena shoga, bali ni muumini.
Atapata pepo yenye neema, na kama Ni mwanamme atapewa Mahurul ain.
Lakini Ukifa na Ushoga wako na Uchoko na Ubasha , Utachezea kibiriti cha moto.
Kama sitaki hao mahururaini nitalazimishwa?? Na kama nataka mahururaini mia nitapata? Au ni 72 tu
 
Nasoma Qur-an
37:1-7
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


37_1.gif

1. Naapa kwa wanao jipanga kwa safu.(Malaika) 1


37_2.gif

2. Na kwa wenye kukataza mabaya.(Malaika na wanadamu) 2


37_3.gif

3. Na kwa wenye kusoma Ukumbusho. (Mimi na wewe)3


37_4.gif

4. Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja. 4


37_5.gif

5. Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na yaliyomo kati yao, na ni Mola Mlezi wa mashariki zote(na magharibi). 5
 
Iyo ni hamasa kwa wazinzi watende mema wakaendeleze ngono mbinguni.

utaona mtu mzima na sharubu zake amekaa akiamini ushawishi huo.

mungu anahamasisha ngono sehem takatifu yaan mbinguni
 
AMININI MUNGU MUSILIMU ILI MUOKOKE NA MOTO.
KUOKOKA NA MOTO PEKE YAKE NI MAFANIKIO MAKUBWA
16. Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa? Wambie
21. Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha. Basi
22. Wakusanyeni walio dhulumu, wao na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu/kuwafuata(viongozi wao)Badala ya Mwenyezi Mungu
23. ..... Waongozeni njia ya Jahannamu.
 
Back
Top Bottom