Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

HII DINI.

YANI UKIWA NA AKILI TIMAMU LAZIMA USHTUKIE UONGO ULIOMO NDANI YAKE.

ILA MAPUMBAFU NA MAJINGA BADO YANAENDELEA KUIAMINI.


HAKUNA MBINGU YA UZIZI.
SSHEENZII KABISA
Huwa nafikiria sana yani mahala patakatifu Mungu anapokaa pawe mahala pakuzagamua wanawake 70...
 
Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain. Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao.

Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Weka aya inayosema hayo au ni fikra zako tu
 
Weka aya inayosema hayo au ni fikra zako tu
Kama tunavyokinzana imani kati yetu vivyo hivyo hata nikikupa aya haitakubadiri dini,.......
Itoshe kusema amini unachokiamini
 
Kama tunavyokinzana imani kati yetu vivyo hivyo hata nikikupa aya haitakubadiri dini,.......
Itoshe kusema amini unachokiamini
Hili swali watu wengi wanajiuliza ila jibu rasmi halipo.
Kuna siku nilikuwa nasikiliza Radio ya kiislamu mtu akauliza hivo Kisha sheikh akajibu,
"Mambo mengine ni siri ya Mungu tusitake kujua ambayo Mungu hajayaweka wazi"

Sasa kusikia hivo nikajua hata huyu sheikh na yeye hajui kitu. We maelezo yako hayo umeyatoa wapi ambapo yeye hajaona?

Nipe aya hiyo au kama umeongea kwa hisia zako tu pia sema usijifiche kwenye kivuli cha kutofautiana Imani.
 
Hujajibu swali kaka, WANAWAKE watapewa nini?
Kuna ahadi gani kwa wanawake?
Je, hawa wanaoishi hapa duniani wakifa wataenda kupata wanaume wengine au wataende kuwa kina nani?
 
Kwanza tuelewane, hakuna kitu kinachoitwa "mbinguni" kwa Waislam.


Kama unaongelea peponi, kila ayachoapata mwwanamme na mwanamke ni hicho hicho, huko hakuna vitamu tamu na vizuri ni upeno wako tu, iwe mwanamke iwe mwanamme.

Mbinguni huko mnaenda kondoo na wachunguji wenu tu, hakuna zaidi ya mapambio, kuomboleza na kubinjuana wenyewe kwa wenyewe tu.
 
Huko akhera kutakuwa na mabikra 72 ambao watatolewa na Allah?
Siyo 73 tu, ulidanganywa ni kama wote vile. Upeo wako tu utavyofikiria.


Wewe je mbinguni kuna nini huko zaidi ya mapambio ya kuombolea tu? Na ule mchezo pendwa wa vatikano. Si unaujuwa, kama huujuwi waulize tec.
 
Used and abused. Ukitafsiri kwa tafsiri nyepesi ni kwamba wanawake hamuendi peponi na hamuioninpepo ndo mana hamjahaidiwa chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…