🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo ulitamani Mungu aongeze idadi hapo wawe hata mara tatu yake kukidhi haja?Mwaka mmoja kwa Mungu, huku duniani ni miaka 1000, kwahiyo 72 ni wachache sana ni hivyo tu Mungu kaamua iwe hivyo, ebu fikiria jambo la milele sio mchezo, acha sisi tukale mema maana hapa duniani tumejizuia sanaaaa
Sasa kaka maisha ya milele unajua hayana idadi ya miaka, sasa 72 pekee kazi wanayo maana naona kama hawatoshi vile🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo ulitamani Mungu aongeze idadi hapo wawe hata mara tatu yake kukidhi haja?
Wapuuzi na wajinga wenye chuki kama wengi waliocomment humu hawafanyi utafiti wala kuuliza isipokuwa Wana mentality za chuki na mizaha .Uzi wenye swali kama hili nimeona hapa Jf sio chini ya mara mbili wanajibiwa lakini hawatosheki na member humu safuher aliwahi kuandika uzi mzima kuelezea swala hili lakini bado wasumbufu sana.
Aya hizo zikizungumzia kuwa sharti kuamini na kutenda mema ikiwa mtu akifa katika hali hiyo awe mwanamke au mwanaume hatodhulimiwa atapata malipo yake kamili..
kifungu gan kwnyet qrn kimeandika hayoMmeahidiwa kufanywa wanawake wapya. So Mtarudishiwa Bikra zenu ila wanaume wapewe.
Mabikra 72 kwa mwanaume mmoja???
Hii ni zinaa ya namna gani????
Hapo mzee unakua chombo cha starehe period..
Huko peponi kazi ni moja tu,ufuska mwanzo mwisho..
Wanawake 72 sio mchezo,itakua ni ngono siku zote za maisha yako.
Mimi nipo logical wewe upo imaginary.... That's our differenceHakuna Raha yyte kwenye ndoa na utakuwa mwehu kulinganisha Raha ya duniani hapa na ya mbinguni , mbinguni hamna kuoa wala kuolewa na hiyo Yesu aliitolea ufafanuzi waziwazi, na kuokolewa anaokolewa mtu mmoja mmoja sio kundi , au mke na Mme au na watoto , kila mmoja anafight kivyake
And he will have an ever erect penis.Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Wewe unadharau urijali au?And he will have an ever erect penis.
Tafsiri yake kwa wasiojua kimombo Ni kwamba. Yaani kule unapewa zaidi ya mkongo ili uwashughulikie hao wanawake wenye nyuchi zenye mvuto.
Sheikh usisahau kipozeo amesema pia kutakua na pombe.Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain,
Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao..
Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Sijaona sehemu kuzalianaHizo ni theory za kusadikika. Nafsi haihitaji tena kuzaliana kama mwili.
Tena wa miaka hii katu hawataona hata geti la kuingia peponi. Watafukuziwa mbali ya mbali hata yale marashi hawatayaona.Kwaiyo unahisi peponi mtaingia? Mwanamke peponi Firidaus sio rahisi kwa tabia zenu za husda ,chuki,roho mbaya Uzinzi nk nadhani ili Jambo ni Pana.
Kwahiyo ukienda peponi na mkeo vp kuhusu wale bikira 72Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?
Nani kakuambia jimai siyo jambo linalopendwa na mwanadam mzee?
Yaani tukomae na swala tano, swaumu, tule kwa macho pisi Kali afu peponi pia tukaswali na kufunga?
Kwetu sie waislam peponi(Allah atujaalie tuingie pepo yake) ni kustarehe babu kujinyima duniani...na mwanaume yeyote tukisema starehe alafu amtoe mwanamke kwenye starehe basi huyo binafsi nitamuona kuna shida sehemu.....bora ya starehe ni Mke mwema mtiifu(yaani mwanamke).
Tena hao 72 unakuwa energetic kwa uwezo wa mwenyezi mungu ili kuwatosheleza.
Kuhusu wake zetu, akiwa ni katika watu wa peponi na Mme akiwa ni wa peponi basi mtumi(saw) kama si aya asema ingieni peponi na mnawaopenda(it means wana ndoa watakuwa pamoja if and only if watakuwa ni waliotenda mema).
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app