Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
hizo siku za mwisho[nje kidogo ya mada]
'' hutaweza kuuza wa kununua bila chapa ya huyo myama 666'' Huu wakati hatujaufikia au ulipita? je unaamini papa atakujafanya hivyo? je nabii wa uongo atakua nani au ni nani? nieleweshe hapa
Bora umekuja vzr tujadili tueleweshane bila fujo,
Unabii mwingi wa siku za mwisho ule wa mathayo 24, UFUNUO na Daniel kwa 80-90% umekamilika
Halafu tunaposema mpinga kristo sio papa Bali Ni mfumo wa Upapa
Papa anaweza kubadilika akatubu ,Ila Upapa haubadiliki ndio hawa wanaohimiza ushoga ,na Mambo mengine ya Upagani ndani ya Kanisa na nje
Nabii wa uongo au sanamu ya mnyama Ni uprotestant ulioasi hawa Ni makanisa au madhehebu yanajiita ya kikristo lakini yanafata mafundisho ya Roman Catholic
Kabla hujajua kutimilika kwa kutonunua au kuuza inabidi ujue chapa ya 666 Ni Nini
Huu wakati umeshaanza na kwingine haujafika , nitakuja na evidence
Pia kuhusu unabii note kitu kimoja , unabii sio lazima utimie dunia nzima ,unaweza kutimia sehemu fulani Basi na usijue
Chapa ya 666 nitakuja kuelezea baadae baada ya mechi ya Yanga