Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

Kaangalie hiyo ufunuo uone anavuwakusanya kwa makabila
 
Nashindwa nikujibu Nini?
 
Comment yako umesema WALOKOLE WANAFANYA HIVO

Kama wewe sio mlokole kwanini uwashuhudie uongo ?
Una uhakika nimewashuhudia uongo?

Hebu usiendeshwe na assumptions. Kwani kujua kujua taratibu za jumuiya flani ni lazima uwe miongoni mwao?

Kujua kuwa Wasabato wanaabudu siku ya Jumamosi ni mpaka niwe Msabato?
 
Dini yenu imeanzishwa 1863
Sasa nyie si ndio mliodanganywa na huyo bibie Ellen white badala ya kumshukuru kuanzisha usabato wenu ambao wewe unamkana tena bila huyo wewe ungeujua usabato? 🤣🤣🤣
 
Hata huyo mama yenu Ellen white ndio aliwaambia hivyo hivyo uko mlipo mnaibiwa ndio akaanzisha usabato
Ndugu yangu.
Siwezi kufundishwa Dini na msabato kwanza usabato ni uasi kutoka Ukatoliki
Yaani muasi aje anifundishe dini mimi😳😳

Tena dini yenu imeanzishwa na mwana mama Ellen white 1863 🤣🤣🤣
 
Una uhakika nimewashuhudia uongo?

Hebu usiendeshwe na assumptions. Kwani kujua kujua taratibu za jumuiya flani ni lazima uwe miongoni mwao?

Kujua kuwa Wasabato wanaabudu siku ya Jumamosi ni mpaka niwe Msabato?
Ndio nakuambia uache uzushi, hakuna walokole wanaofanya hivo

Wataje hapa
 
Huu Ni mwaka 1863 pale Israel Yerusalemu

Luka 4:16 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; NA SIKU YA SABATO AKAINGIA KATIKA SINAGOGI KAMA ILIVYOKUWA DESTURI YAKE, akasimama ili asome.
 
Ndio nakuambia uache uzushi, hakuna walokole wanaofanya hivo

Wataje hapa
Saaa ndio nakuambia kuwa walokole yaani TAG, FPCT, EAGT, PENTEKOSTE na hata Maranatha wanashiriki kama Waroman, Walutheri n.k

Tatizo wewe unajikuta Mjuaji sana hata kwa vitu usivyovijua
 
Nashindwa nikujibu Nini?
Wasabato mpo kama Wayahudi wa siku hizi wanamsubiri Masiha atokee kumbe Yesu Masiha alishatokea zamani 2000 years ago! Mnasubiri mambo yaliyopo kwenye Kitabu cha Ufunuo yatokee mbona yalishatokea?
 
Saaa ndio nakuambia kuwa walokole yaani TAG, FPCT, EAGT, PENTEKOSTE na hata Maranatha wanashiriki kama Waroman, Walutheri n.k

Tatizo wewe unajikuta Mjuaji sana hata kwa vitu usivyovijua
Unaona Sasa ulivyo muongo, Mimi makanisa na madhehebu yote nayajua mafundisho yake na waanzilishi wake

Hiyo unayosema wanafanya sivyo Yesu alivyoagiza

Yesu aliagiza Kumega mkate na kuoshana miguu

Ulishawahi kuona wanatenda hayo mambo makuu mawili ?


1. KUMEGA MKATE

2.KUOSHANA MIGUU

Woraman wenyewe wanaoshana miguu mapadri tu ,


Hao walokole ulishaona wanafanya hivo?

Yohana 13

5 Kisha akamimina maji katika chombo akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuikausha kwa ile taulo aliyojifunga kiu noni. 6 Alipomfikia Simoni Petro, Petro akamwambia, “Bwana, wewe unaniosha miguu?” 7 Yesu akamjibu, “Hivi sasa huelewi ninalofa nya lakini baadaye utaelewa.” 8 Petro akamjibu, “La, hutaosha miguu yangu kamwe!” Yesu akamwambia, “Kama sitaosha miguu yako, huwezi kuwa mfuasi wangu.”
 
Saaa ndio nakuambia kuwa walokole yaani TAG, FPCT, EAGT, PENTEKOSTE na hata Maranatha wanashiriki kama Waroman, Walutheri n.k

Tatizo wewe unajikuta Mjuaji sana hata kwa vitu usivyovijua
Unadanganya watu unadhan hayo madhehebu hatuyajui , binafsi hakuna mafundisho ya madhehebu ya kikristo nisiyoyajua nimekulia humo ,nimeishia misheni Na Mapadri


Hayo madhehebu yanafanya oya oya tu

NITAJIE DHEHEBU GANI LINAFANYA HAYA MAAGIZO KWA WAUMINI WAO

YESU alisema


Basi ikiwa mimi, niliye Bwana na mwalimu, nimewatawadha miguu, imewapasa vivyo kutawadhana miguu ninyi kwa ninyi. Kwa kuwa nimewapa kielelezo; ili kama mimi nilivyowatendea, ninyi mtende vivyo.
 
Huu Ni mwaka 1863 pale Israel Yerusalemu

Luka 4:16 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; NA SIKU YA SABATO AKAINGIA KATIKA SINAGOGI KAMA ILIVYOKUWA DESTURI YAKE, akasimama ili asome.
Huo mwaka upo Injili ganimbona sijawahi kuuona
Au ndio mwaka itikadi ya wasabato walipoanzisha dini yao
 
Huo mwaka upo Injili ganimbona sijawahi kuuona
Au ndio mwaka itikadi ya wasabato walipoanzisha dini yao

Yesu alikuwa na kawaida ya kufanya ibada siku ya Sabato

Je huu ulikuwa mwaka 1863

Luka 4:16 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; NA SIKU YA SABATO AKAINGIA KATIKA SINAGOGI KAMA ILIVYOKUWA DESTURI YAKE, akasimama ili asome.
 
Wasabato hamnaga kazi ya kufanya.
 
Usibadilishe maelezo, Mimi nilisema Walokole wanashiriki kama Wakatoliki na Walutheri, hakuna mahala nimesema wanaoshana miguu

Onesha niliposema hivyo!!!
 
kanisa katoliki la roma ndyo watakaofunga historia ya dunia kwani ndye ngome ya shetani
 
binti za myama wamechachamaa
 
jibu hoja umeambiwa
 
jibu hoja umeambiwa
Sabato sio kwa ajili ya Sabato ni kwa ajili ya kumwabudu Mungu. Mnaofikiri Mungu anaabudiwa Sabato pekee basi ni tatizo kubwa katika imani yenu. Nguruwe pia ni kitu kinachowafanya muwe kama waislamu tu, watu wa kimwili zaidi.
 
Sabato sio kwa ajili ya Sabato ni kwa ajili ya kumwabudu Mungu. Mnaofikiri Mungu anaabudiwa Sabato pekee basi ni tatizo kubwa katika imani yenu. Nguruwe pia ni kitu kinachowafanya muwe kama waislamu tu, watu wa kimwili zaidi.
endelea kula nguruwe, na kuabudu siku ya jua siku ya mnyama na sanamu yake, wacha wasabato waitunze sabato ya MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…