butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Alikuwa Boss wa TTCLMkuu Kindamba kabla ya kuwa mkuu wamkoa nadhani aliwahi kuwa director kwenye private sector sikumbuki ni wapi Ila naamini ni MTU sahihi ingawa dart ni janga it's a sinking ship
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa Boss wa TTCLMkuu Kindamba kabla ya kuwa mkuu wamkoa nadhani aliwahi kuwa director kwenye private sector sikumbuki ni wapi Ila naamini ni MTU sahihi ingawa dart ni janga it's a sinking ship
Matukio ya ajali nyingi za mwendokasi zinazosababisha hasara kubwa. Pia serikali ya mkoa iweke sheria kali za bodaboda, bajaj wasiwe sababu nyingine ya ziada kuchelewesha malengo ya CEO Waziri Waziri Kindamba
View: https://m.youtube.com/shorts/bQxcULYHr5Q
Nchi ya vutuko sana hii mkuu! 🤣 🤣Katika kipindi cha uongozi wake ndio kipindi kilichoongoza kwa wataalamu mbali mbali kuondoka TTCL baada ya kuona shirika limegeuka kuwa brothel (danguro) ambapo binti ukiwa mrembo unateuliwa kuwa manager, huku wataalamu wakiwekwa pembeni bila ya kusikilizwa na utaalamu wao
Ndo upuuzi wa hii nchi! Aisee inakasirisha..Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.
Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?
Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.
Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.
DART wanamiliki njia na miundombinu yake kama vituo na ofisi UDART wanamiliki magari na wafanyakazi wake, kimsingi DART anamkodisha UDART njia.Kuna Dart na Udart,Kindamba ni mkurugenzi wa Udart mkurugenzi wa Dart ni Athuman Kihamia.
Kindamba amechukua nafasi ya Gilliard Ngewe na Athuman Kihamia aliteuliwa Januari 11,2024 kuchukua nafasi ya Dk. Edwin Mhede.
UDART ni Kampuni ya mabasi yaendayo haraka na DART ni Wakala wa mabasi yaendayo haraka.
Nb: Sijajua kiundani tofauti na mipaka ya shughuli zao au nani anawajibika kwa mwenzake.
DART na UDART ni taasisi mbili tofauti na kila moja ina Mtendaji mkuu wake,sijui kwanini zilifanywa tofauti wakati zote ni za serikali!DKT. ATHUMAN KIHAMIA
![]()
Dkt. Athuman Kihamia
Mtendaji Mkuu DART (UDART)
Sasa si bora UDART ibinafsishwe tu!DART wanamiliki njia na miundombinu yake kama vituo na ofisi UDART wanamiliki magari na wafanyakazi wake, kimsingi DART anamkodisha UDART njia.
Ulichosemw ni kweli kabisa. Lakini mambo yanachanganya haya.Kuna Dart na Udart,Kindamba ni mkurugenzi wa Udart mkurugenzi wa Dart ni Athuman Kihamia.
Kindamba amechukua nafasi ya Gilliard Ngewe na Athuman Kihamia aliteuliwa Januari 11,2024 kuchukua nafasi ya Dk. Edwin Mhede.
UDART ni Kampuni ya mabasi yaendayo haraka na DART ni Wakala wa mabasi yaendayo haraka.
Nb: Sijajua kiundani tofauti na mipaka ya shughuli zao au nani anawajibika kwa mwenzake.
TOFAUTI YA DART NA UDARTKuna Dart na Udart,Kindamba ni mkurugenzi wa Udart mkurugenzi wa Dart ni Athuman Kihamia.
Kindamba amechukua nafasi ya Gilliard Ngewe na Athuman Kihamia aliteuliwa Januari 11,2024 kuchukua nafasi ya Dk. Edwin Mhede.
UDART ni Kampuni ya mabasi yaendayo haraka na DART ni Wakala wa mabasi yaendayo haraka.
Nb: Sijajua kiundani tofauti na mipaka ya shughuli zao au nani anawajibika kwa mwenzake.
Wakati yupo ttcl ndio ili perfoem worse than before, sidhan kama hili ataliweza unless awe ame changeKabla ya ukuu wa Mkoa alikuwa mkurugenzi mkuu wa TTCL
Wewe unaejua tujuze!unajua historia ya kindamba? unajua alitoka wapi kabla ya kuwa mkuu wa mkoa?
Kindamba hana skills zozote tusidanganyane hapa. Sema ana mtu wake kwenye mfumo tu ambaye anamsemea kwa wateuzi. Kindamba kabla ya kwenda TTCL alikuwa bank officer DTB TRUST Bank.Ukiona mtu ameenda nje ya nchi ukubwani akaishi huko miaka kadhaa baada ya kurudi anapewa kazi serikalini kwenye taasisi yao akiboronga anarudishwa serikalini kama mkuu wa mkoa elewa huyo mtu wao.
Kuna tofauti kati ya Kindamba na watu kama Mhongo, Matindi na Mataragio. Hao watatu walirudishwa kwa sababu ya utaalamu wao ukitolewa kwenye majukumu waliyoikutia, serikali aina shughuli na wewe tena.
Kindamba system so tegemea kumuona popote serikalini kwa miaka mingi sana either ana skills za hiyo nafasi wanayompa au la.
Kuweka Wanasiasa kwenye nafasi za kiutendaji ni utamaduni wa CCM wa tangu enzi na enzi, hata kwenye Mashirika ya Umma au viwandani miaka ya nyuma kulikuwa na watu walioitwa Political Commissar ambao ndio walikuwa mabosi kwenye viwanda badala ya kuweka Wahandisi wa Mitambo. Ndio maana viwanda vyote vilikufa kibuduTatizo la mamlaka za uteuzi zimekaa kisanii sana!
Huyu mtu hana exposure yoyote ktk fani ya usafiri lkn teuzi zinafanyika kisiasa badala ya kuweka mbele taaluma ili tuweze kutoka hapa tulipo.
Aliyeondolewa ana taaluma ila ni msanii na huwa hawezi ku-deliver kitu kabisa zaidi kuishi kwa vitisho na kutishia walio chini yake!
Hakuna jipya UDART litakalotokea chini ya kindamba , nimekaa pale
Kazi Maalumu yule jamaa kama Athuman Kihamia pia maana jamaa alitumika sana pale NEC kuvuruga matokeo ya uchaguzi!Ukiona mtu ameenda nje ya nchi ukubwani akaishi huko miaka kadhaa baada ya kurudi anapewa kazi serikalini kwenye taasisi yao akiboronga anarudishwa serikalini kama mkuu wa mkoa elewa huyo mtu wao.
Kuna tofauti kati ya Kindamba na watu kama Mhongo, Matindi na Mataragio. Hao watatu walirudishwa kwa sababu ya utaalamu wao ukitolewa kwenye majukumu waliyoikutia, serikali aina shughuli na wewe tena.
Kindamba system so tegemea kumuona popote serikalini kwa miaka mingi sana either ana skills za hiyo nafasi wanayompa au la.