Je Kindamba ni mtu sahihi UDART? Ana exposure yoyote kuhusu sekta ya usafirishaji?

Je Kindamba ni mtu sahihi UDART? Ana exposure yoyote kuhusu sekta ya usafirishaji?

Kindamba hana skills zozote tusidanganyane hapa. Sema ana mtu wake kwenye mfumo tu ambaye anamsemea kwa wateuzi. Kindamba kabla ya kwenda TTCL alikuwa bank officer DTB TRUST Bank.

He is nothing but a lucky mediocre performer
Nasikia ana mahusiano fulani ya kifamilia na Mama Kizimkazi!
 
Mkuu Kindamba kabla ya kuwa mkuu wamkoa nadhani aliwahi kuwa director kwenye private sector sikumbuki ni wapi Ila naamini ni MTU sahihi ingawa dart ni janga it's a sinking ship
alikuwa meneja wa Tawi la DTB Bank kisha kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TTCL..Mgombea nafasi ya ubunge Ilala sambamba na Zungu..

Kitaaluma sidhani Kama anaweza..Kiuzoefu sidhani Kama anaweza ila kisiasa anaweza
 
alikuwa meneja wa Tawi la DTB Bank kisha kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TTCL..Mgombea nafasi ya ubunge Ilala sambamba na Zungu..

Kitaaluma sidhani Kama anaweza..Kiuzoefu sidhani Kama anaweza ila kisiasa anaweza
Hapo kaenda kukusanya fedha za kampeni
 
Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.

Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?

Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.

Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.
Chaguawenu
 
KAMA.MASHINE ZA VITUON HAZIFANYI KAZI NN NXTY HUYU KAPEWA CHAMBO YAKUONDKKEA WANAPIGA MBAYA

VILE VITUO MASHINE INAFANYAKAZI HAWASIMAMI WANAKULA DILI NA MADREVA
 
Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.

Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?

Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.

Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.
humu naona watu mnachanganya mafaili mara wengine DART mara wengine UDARTebu someni hapa

DART- dar es salaam rapid transit agency ni wakala wa serikali katika mradi wa mabasi yaendayo haraka jukum lake kuu ni kundeleza mifumo ya BRT na kuajiri watoa huduma watakaohudumia mwendokasi akiwepo UDART (magari), CT( ulinzi), foreplan( usafi) huyu ndio mwenye mwendokasi yake ila hana magari ni miundombinu ya BRT kama barabara na majengo vyote vyake

UDART- usafiri dar es salaam rapid transit ni kampuni ya uma inayotoa huduma za mabasi kwenye BRT imeajiriwa na DART kutoa huduma za mabasi kwenye BRT sema ni kampuni ya serikali msajili 85% , simon goup 15%

ivyo acheni kuchanganya vyombo vyote ni mali ya serikali na wakurugenzi wote wanateuliwa na raisi ivyo mjue kutofautisha alieteuliwa ni wa UDART sio DART
 
Kazi Maalumu yule jamaa kama Athuman Kihamia pia maana jamaa alitumika sana pale NEC kuvuruga matokeo ya uchaguzi!
Nimeshajifunza Tanzania ukiona mtu ameenda kukaa nje ya nchi ukubwani kutafuta maisha huko kama diaspora wengine. Baada ya kurudi kwa ridhaa yake mwenyewe mara unamuona serikalini na kupewa nafasi mbali mbali hasa ndani ya civil kuna uwezekano mkubwa alikuwa mtu wao huyo kitambo tu.

Si umemsikia ata ‘bi tozo’ leo, kamtoa Tanga kwa sababu yupo kiaskari askari mno, anawaburuza wenyeji ambao awajaozea kuburuzwa.

Mind you that’s just my opinion, not established facts.
 
Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.

Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?

Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.

Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.
SiJui cv ya huyu mtu kama kuna mtu anayo atuwekee. Lakini nahisi makosa makubwa yanafanyika. Yaani mtu alikua mkuu wa mkoa naogopa labda amewekwa hapo walikua wanatafuta mahali pa kumdump. Hawa wanasiada hawawezi kuendesha biashara maana wamezoea hela ya bajeti ya serikali ije wale sio kuzalisha mali au huduma kwa faida. Nchi ina chuo cha usafiri nilifikiri wangempata mtu mwenye elimu ya juu na uzoefu kwenye usafiri. Juzi hapa Ali Karavina mwenye taaluma ya juu kwenye usafiri na uzoefu aliteuliwa kua mwenyekiti wa bodi ya TRC. Kwa uteuzi kama huo unaona kabisa nia njema kuimarisha shirika. DART nishirika muhimu sana tuone wenye taaluma wakiendesha sio wanasiasa.
 
TOFAUTI YA DART NA UDART
DART ni taasisi ya serikali yenye hadhi ya wakala kama alivyo TANROADS, REA, TEMESA, nk na kirefu chake ni Dar es Salaam Rapid Transit Agency au Wakala wa Usafiri wa Haraka Dar es salaam.
Taasisi hii imeundwa kwa mujibu wa tangazo la serikali No. 120 la tarehe 25 Mei 2007 chini ya sheria No. 30 ya Wakala za Serikali ya mwaka 1997 na marekebisho yake. Jukumu kuu la DART ni kuanzisha na kuendesha mfumo wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka kwa jiji la Dar es Salaam. Wakala inakusudia kufikia malengo yafuatayo:
a)Kuanzisha na kuendesha mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka kwaaajili ya Dar es Salaam, yatakayotumia jina la DART;
b)Kuhakikisha mtiririko bora wa usafiri kwenye mitaa na barabaraza mjini, na
c)Kuhakikisha usimamizi wa wakala wenye ufanisi.
Na Je, UDART ni nini?
UDART ni kampuni binafsi inayoendesha magari yaendayo haraka, kirefu chake ni USAFIRI DAR ES SALAAM RAPID TRANSIT. Huyu sasa ndio anatoa huduma na yale mabasi yake yanayoonekana barabarani. Na kama nilivyosema hapo juu, msimamizi mkuu wa usafiri wenyewe. Hivyo UDART hawezi kufanya lolote mule nje ya mkataba au maelekezo bila kupata idhini ya DART. Na hata ikitokea mkataba wa UDART umekwisha DART ndiyo anashughulika na kuandaa tenda ili kumpata mtoa huduma mwingine.
Nadhani kwa ufupi utakuwa umeelewa tofauti ya taasisi hizi mbili.
Nimeelewa lakini hiyo Udart bado haijawa rasmi kampuni binafsi bado inahodhiwa na serikali ndiyo maana hata Mtendaji mkuu wake anateuliwa na Rais,rai yangu waibinafsishe Udart iwe kampuni binafsi na waingize na kampuni nyingine hata mbili kila ruti hii ingesaidia kuleta ufanisi katika huduma ya usafiri kwenye njia za Dart.
 
TOFAUTI YA DART NA UDART
DART ni taasisi ya serikali yenye hadhi ya wakala kama alivyo TANROADS, REA, TEMESA, nk na kirefu chake ni Dar es Salaam Rapid Transit Agency au Wakala wa Usafiri wa Haraka Dar es salaam.
Taasisi hii imeundwa kwa mujibu wa tangazo la serikali No. 120 la tarehe 25 Mei 2007 chini ya sheria No. 30 ya Wakala za Serikali ya mwaka 1997 na marekebisho yake. Jukumu kuu la DART ni kuanzisha na kuendesha mfumo wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka kwa jiji la Dar es Salaam. Wakala inakusudia kufikia malengo yafuatayo:
a)Kuanzisha na kuendesha mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka kwaaajili ya Dar es Salaam, yatakayotumia jina la DART;
b)Kuhakikisha mtiririko bora wa usafiri kwenye mitaa na barabaraza mjini, na
c)Kuhakikisha usimamizi wa wakala wenye ufanisi.
Na Je, UDART ni nini?
UDART ni kampuni binafsi inayoendesha magari yaendayo haraka, kirefu chake ni USAFIRI DAR ES SALAAM RAPID TRANSIT. Huyu sasa ndio anatoa huduma na yale mabasi yake yanayoonekana barabarani. Na kama nilivyosema hapo juu, msimamizi mkuu wa usafiri wenyewe. Hivyo UDART hawezi kufanya lolote mule nje ya mkataba au maelekezo bila kupata idhini ya DART. Na hata ikitokea mkataba wa UDART umekwisha DART ndiyo anashughulika na kuandaa tenda ili kumpata mtoa huduma mwingine.
Nadhani kwa ufupi utakuwa umeelewa tofauti ya taasisi hizi mbili.
kila siku tunawambia udart sio kampuni binafsi ni kampuni ya msajili wa hazina asilimia 85 na simon group asilimia 15 ni public company ndio maana unaona wanakomaa kutafuta mbia binafsi ili anunue magari serikali haifanyi biashara inatoa huduma ndio maana wamekwama kununua mabasi mpyaaa kwa niaba ya serikali DART ndio anatakiwa kubaki katika BRT kusimamia watoa huduma kwa mfumo uliopo wa sasa serikali (DART) wakala wa serikali BRT kumsimamia mtoa huduma wa mabasi ambae pia ni serikali( UDART) ni ngumu kama kula jiwe na kumeza
 
Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.

Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu kumpitisha?

Kwanini Tanzania tunaogopa kuzishindanisha hizi nafasi watu waombe? Nakumbuka Nehemia Mchechu aliwahi kushauri nafasi za wakuu wa mashirika ziwe zinaombwa badala ya kuwa na nafasi za uteuzi ila mfumo ulimpinga vikali.

Huyu Kindammba siyo mtu wakupewa shirika lililokufa kwasababu yeye mwenyewe ni tegemezi wa fikra na hajawahi kuwa mtu wakuchukua hatua pale anapoona ubadhirifu.
Siku hizi tunapeana Tu, madhali katiba ina ruhusu
 
24 October 2024
Dar es Salaam, Tanzania

RC ALBRRT CHALAMILA AKASIRIKA - "INJINIA ANACHELEWESHA MRADI wa MWENDOKASI wa BILIONI 300"...


View: https://m.youtube.com/watch?v=P_Gdhke-Jjc

Mradi ni ufadhili wa Benki ya Dunia World Bank kilometa 30 unaanzia mitaa ya Ohio, Morocco, Victoria, Makumbusho, Mwenge .....jijini Dar es Salaam Tanzania ..
 
Back
Top Bottom