Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Watanganyika kutokujali kuhusu mstakabali wa taifa lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hana jambo huyu!
Sioni watu wakitaja “kutenda dhambi”
Inaonekana ni kitu cha kawaida sana siku hizi kuishi bila hofu ya dhambi
Kuna vitu vingi katika maisha yetu ambavyo vina hatari kubwa, lakini tunavichukulia poa tu na maisha yanasonga bila kufikiria athari zake. Ukija kushtuka huwezi kurudi kunyuma, na ukibahatika kunyanyuka basi unakuwa umepoteza pakubwa.
Mfano kula vitu ovyo ovyo, tunajua tunajaza sumu kibao mwilini, na tunajitafutia magonjwa kwa shangwe zote, lakini hatujali wala nini, mpaka yakufike! Eti tunajipa moyo mbinguni tutapata mili mipya[emoji23][emoji28][emoji28].
Kwenu Wakuu, kitu gani ni hatari lakini kila mtu anachukulia poa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]madam hii c starehee jmn au nachanganya...Uzinzi
umeolewa/umeoa?Uzinzi
Ndo tunaichukulia poa kama hivi kuita starehe😃😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]madam hii c starehee jmn au nachanganya...
Unywaji pombe na ulaji kitimoto!
Hapana😃😃umeolewa/umeoa?
wewe nibikra?Hapana😃😃
Asa kitimoto ana hatari gani??
Ndyo 😎😎wewe nibikra?
[emoji23][emoji23][emoji23]iwee hvyo tu madamNdo tunaichukulia poa kama hivi kuita starehe[emoji2][emoji2]
njoo pm nikupe tuzo.mana unastahili kwakweliNdyo 😎😎