Je, kitu gani ni hatari lakini watu wengi wanakichukulia poa?

Je, kitu gani ni hatari lakini watu wengi wanakichukulia poa?

Kuna vitu vingi katika maisha yetu ambavyo vina hatari kubwa, lakini tunavichukulia poa tu na maisha yanasonga bila kufikiria athari zake. Ukija kushtuka huwezi kurudi kunyuma, na ukibahatika kunyanyuka basi unakuwa umepoteza pakubwa.

Mfano kula vitu ovyo ovyo, tunajua tunajaza sumu kibao mwilini, na tunajitafutia magonjwa kwa shangwe zote, lakini hatujali wala nini, mpaka yatufike! Eti tunajipa moyo mbinguni tutapata mili mipya😂😅😅.

Kwenu Wakuu, kitu gani ni hatari lakini kila mtu anachukulia poa?
Afya nzuri mdomo unaharibu through kula na kunena
 
Back
Top Bottom