Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

Morogoro huwa watu wanapasifia Sana kuwa ni pazuri. Ni moro sehemu zipi? Fursa ni kipi haswa?
Morogoro vijijini njia kuanzia kiloka,matombo,mvuha,duthumi hadi kisaki ni eneo lenye rutuba chichote unastawisha.
 
Watumishi wakibongo kwa ujumla ni viazi tu no matter what, yani unakuta jamaa anakitambi mpaka kutembea hawezi ukiuliza ana kazi gani unaambiwa askari maaneeneer yani uwezo wa kufikiria umeondoka kabisa mtu unalipwa lakitano baada ya makato na una wake wanne na una kitumbo, my way , yule aliyesema watanzania wengi ni vichaa hakukosea kabisaaaa, Kimsingi mishe binafsi ndio zinakutoa wala sio location uliyopo, napingana na mtoa uzi kabisaaa huko kilimanjaro wapo weengi wametoboa lakini sio kwa kuajiriwa na mama samia . UTUMISI wa Umma ni utumwa.
Umewahi kutembea nchi hii kweli au ndio assumptive conclusions?
 
Lakn ukishuka feri samak kule bei ya kutupa
Ukienda msanga mkuu ndio unazoa kabisa
Ukimaliza unakujaa bima hapa kwa limboa ukimaliza unainggia zako spider
Ndugu kutoka Masasi hadi huko mtwara mjini hadi urudi lindi tena aisee
 
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.

Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.

  • NI mkoa mdogo sana.
  • Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
  • Ni mkoa wenye Ardhi ndogo, na inayofaa pia ni ndogo zaidi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema utafanya biashara kawaida, kulima au kufuga kirahisi.
  • Ni mkoa ambao huwezi kusema Kama mfanyakazi Utajenga nyumba uishi.
Mmmmh!!kwahiyo kwenye huo mkoa hakuna biashara zozote au wewe unatatizo la kutokuona fulsa?
Wabongo inabidi tuamke,wakati sisi tunabagua maeneo ya kuishi hapa nchini,Kuna raia kutoka Kenya,Uganda,wapo tayari kuishi sehemu yoyote ndsni ya TZ,nimekutana na mganda Mafinga,anasema hategemei kurudi kwao,amaeishanunua ardhi anajenga,atafute mdsda aoe kabisa,Kisha aombe uraia!
Kuna mdsda kutoka Kenya,alikuja bongo,akaolewa,then ndoa ikavunjika,ni nesi pale Dodoma,yeye sasa hv ni kununua viwanja tu,na kuwekeza.
Sio lazima uishi Kilimanjaro,wekeza mkoa mwingine,inawezekana,mi niliweza kuwekeza Kigoma,nilipoanzia kazi,huku nazunguka kiguu na njia nchi nzima.
 
Mmmmh!!kwahiyo kwenye huo mkoa hakuna biashara zozote au wewe unatatizo la kutokuona fulsa?
Wabongo inabidi tuamke,wakati sisi tunabagua maeneo ya kuishi hapa nchini,Kuna raia kutoka Kenya,Uganda,wapo tayari kuishi sehemu yoyote ndsni ya TZ,nimekutana na mganda Mafinga,anasema hategemei kurudi kwao,amaeishanunua ardhi anajenga,atafute mdsda aoe kabisa,Kisha aombe uraia!
Kuna mdsda kutoka Kenya,alikuja bongo,akaolewa,then ndoa ikavunjika,ni nesi pale Dodoma,yeye sasa hv ni kununua viwanja tu,na kuwekeza.
Sio lazima uishi Kilimanjaro,wekeza mkoa mwingine,inawezekana,mi niliweza kuwekeza Kigoma,nilipoanzia kazi,huku nazunguka kiguu na njia nchi nzima.
Huijui Kilimanjaro.

Na inaonesha hujawahi kutembea nchi hii.

Hivi Kuna mkoa ambao watu waje wanaongoza kuukimbia kama Kilimanjaro na Kigoma?

Au unafikiri hao wenyewe hawana akili
 
Acha uchagani...hata town hapa washkaji wa kichaga hawaeleweki. Wanapigo zilezile za wazee wao, wanabahat ya kupata kazi kwasababu wengi wamesoma ila hawaelimiki wanaleta maisha ya keshumundu hapa mjini. Mfano kijana kabisa unakuta kakaa kimara analamba mbege....pili, huez kuta mshkaj wa kichaga anaujamaa na mgoni....ni wao kwa wao na wanajazanaga ujinga wa utajiri wa kununua bodaboda na kunuNua viwanja vya mil.2
Mimi ni mchagga na wazazi wote ni wachagga and traditionally naelewa wachagga walivyo wote, ila tu broh yaani hizo pigo sina, hadi mzee ananiambia nina pigo za kiswahili sana, ni kwa sababu ni mtu ninaye penda kujifunza na kubadilika for better things..

Kuwa na ukabila kwangu ni no huwa nina heshimu kila mmoja.
 
Singida mjini?
Singida mjini amna mpya pale, mwajiriwa omba uajiriwe dar, arusha, au mwanza....miji yenye muingiliano ya watu.
Singida ni wanyaturu na wanyiramba wanakipiga kilugha chao hapo mjini, wachagga wa kibosho tena machinga ndiyo wapo town 😅😅😅
Singida kwenu bhna ila siyo mgeni...
 
Nimekaa na wachaga hapa moshi nilichokiona hapa

[emoji117]Wabinafsi kupitiliza,
[emoji117]utu kwao si kipaumbele kabisa maslahi yapo mbele ya kila kitu kwao
[emoji117]wengi wao walevi sana hata vijana wadogo,
 
Umewahi kutembea nchi hii kweli au ndio assumptive conclusions?
naijua vilivyo kuliko wewe wa juzi nenda hata kilombero huko kuna watu wana good time sana tu kwa mishemishe zao wewe unayewaza Ajira kalagabaho, unajua hata matajiri wakubwa kama kina BM Coach wanaishi Turiani Morogoro, unawajua Frester na kina Mohamed Trans etc?
 
naijua vilivyo kuliko wewe wa juzi nenda hata kilombero huko kuna watu wana good time sana tu kwa mishemishe zao wewe unayewaza Ajira kalagabaho, unajua hata matajiri wakubwa kama kina BM Coach wanaishi Turiani Morogoro, unawajua Frester na kina Mohamed Trans etc?
Sizungumzii Morogoro, umeshafika Kilimanjaro au Kigoma?

Halafu, usinitajie MATAJIRI wa Kiarabu kwakuwa wanatokea Morogoro.

Una vijiakili uchwara vya kimotivational speaker.
 
Sizungumzii Morogoro, umeshafika Kilimanjaro au Kigoma?

Halafu, usinitajie MATAJIRI wa Kiarabu kwakuwa wanatokea Morogoro.

Una vijiakili uchwara vya kimotivational speaker.
Boya wewe BM ni mwarabu, Kilimanjaro kuna warombo mpaka wanamiliki ndege we hujui unafanya nini duniani, unavamia tu nyuzi uonekane na wewe unajua , Tafuta pesa wee UTUMISHI wako ni utumwa , watu tunakusanua unashupaza shingo
 
Boya wewe BM ni mwarabu, Kilimanjaro kuna warombo mpaka wanamiliki ndege we hujui unafanya nini duniani, unavamia tu nyuzi uonekane na wewe unajua , Tafuta pesa wee UTUMISHI wako ni utumwa , watu tunakusanua unashupaza shingo
Acha bange, akili zikurudie
 
Singida mjini amna mpya pale, mwajiriwa omba uajiriwe dar, arusha, au mwanza....miji yenye muingiliano ya watu.
Singida ni wanyaturu na wanyiramba wanakipiga kilugha chao hapo mjini, wachagga wa kibosho tena machinga ndiyo wapo town 😅😅😅
Singida kwenu bhna ila siyo mgeni...
Umenena ndugu binafsi napambana niende Mwanza,walinitoa dar kimajungu kuja huku mboka aiseeh life la huku limenishinda ,nimesarenda na nimelose niliyoyajenga over 10 years ndani ya 3 years tu,it's sad
 
Back
Top Bottom