Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Mulemule mie nimezaliwa na kusoma hapo hadi form 4, binafsi huwa Dec lazima nifike manake nimewalaza wazee wangu hapo.Nimekaa na wachaga hapa moshi nilichokiona hapa
[emoji117]Wabinafsi kupitiliza,
[emoji117]utu kwao si kipaumbele kabisa maslahi yapo mbele ya kila kitu kwao
[emoji117]wengi wao walevi sana hata vijana wadogo,