pole sana, hujapataga tu?..mmmh wewe jasiri sana kijana wengine wakiingia tu ni kumwaga
utadhani ametumwa kuja kumwaga huko hata dakika moja hamalizi ...sijui watu wengine wapoje ningekupata ungenifaa sana
Pale si unafanya hitimisho, tofauti na kujichua real ambapo lazima kwanza uzisikilizie na kuzivuta hisia.Una moyo sana kijana manake mimi naionaga ni kama kujichua flani hivi manake unapokaribia kumaliza lazima utachomoa na kuibooost kidogo kwa mkono kama unajichua ili goli litoke. Lazma kuna madhara
Kwani hujawahi mkuu...Hivi kumbe kukojolea ndani ya papuchi ina rahaa yake!
Unacheza fair play.Aaah raha ya mechi bao banaa sa utapiaje nje we na nyavu?
Mimi pia hua napenda kukojoa nje.nafikiri nakufaa sanammmh wewe jasiri sana kijana wengine wakiingia tu ni kumwaga
utadhani ametumwa kuja kumwaga huko hata dakika moja hamalizi ...sijui watu wengine wapoje ningekupata ungenifaa sana
Hivi wewe ni mwanaume au mwanamke? Nani aliye kudanganya yakuwa manii zinaweza kukutoka bila ya wewe mwenyewe kujijuwa?Mkuu PA kumwanga nje hakuta zuiya kwa mdada kupata mimba.Wakati ukifanya mapenzi
Manii huwa yanatoka bila ya wewe kujijua.
Muhimu Mkuu chukua jumla Kama unauwezo.
Boss mimi nna mwaka wa tatu namwaga nje mbona haijawahi kutokea hiyo mimba isiyotarajiwa?Zaidi ya alichosema Alexmahone ukikojoa nje duct ya penis hubaki na mbegu hivyo unaporudia tendo mbegu mabaki huingia moja kwa moja nakutunga mimba. Kukojoa nje haisaidii kabisa . In fact umekuwa ukifanya on safe days.
Uki i-balance vizuri hakuna haja ya ku-boost kwa nje wala nini unasubiri hadi sekunde ya mwisho ukichomoa tu wazungu haaoo kama wana mfukuza mwizi vilee.Mimi pia huwa natumia hii njia....kwenye siku za hatari inakubid ndo huwe makini sana sasa inakubidi ukianza kuhisi bao uliboost kwa nje....inakuwa ni kama punyeto...lazima madhara yatakuwepo hapa japo nimeulizia wataalam wamesema hamna....njia ina ugumu lakini ina utamu wake piah mkuu....unaweza ukaunga goli hata tatu...
ni kweli mkuu na hata zile manii zinazobaki baki baada ya goli hazina uwezo wa kutungiza mimba kwa sabau manii inayoweza kutungisha mimba ni ile iliyokuwa katika spidi ya kutoka na ikapita ndani ya uke kabisa...ama ile tu ya mabaki haina spidi yeyote ile ya kupika huko..Boss ule ute hauna uwezo wa kutungisha mimba
Mkuu sio kweli. Nina mtoto kwa njia hiyo hiyo. Siku za hatari nilipiga gem kwa kujiamin ntatoa na nkafanya hivyo....lkn akapata mimba tuu.ni kweli mkuu na hata zile manii zinazobaki baki baada ya goli hazina uwezo wa kutungiza mimba kwa sabau manii inayoweza kutungisha mimba ni ile iliyokuwa katika spidi ya kutoka na ikapita ndani ya uke kabisa...ama ile tu ya mabaki haina spidi yeyote ile ya kupika huko..
lazima ngoma isokomezwe hasa huko ndani na kitu kiruke pyaa
hiyo sawa mkuu ukipiga moja tu inakuwa yale mabaki hayana njie engine ya kuingia huko...Mkuu sio kweli.
Nina mtoto kwa njia hiyo hiyo. Siku za hatari nilipiga gem kwa kujiamin ntatoa na nkafanya hivyo....lakini akapata mimba tuu.
Hii haiaminiki Mkuu au upige 1 tu usirudie
Zina usumbufu na mara nyingi inabidi mwanake ndiyo awe makini na tarehe zake.Ebu samahan mkuu naomba unisaidie kwny tarehe apo namna ya kuzuia mimba?
Haipunguzi ilimradi usijiminye na mkono kama kusapoti nazani ni hivyo natumia piaWakuu shukrani kwa kuchangia japo najua kuna utata bado wa nguvu za kiume unapokojoa nje. Najua wataalam wengine nao watakuja kutujuza vizuri maana wengi twatumia style huenda kwa kutojua chochote.
Kwangu naamini ndiyo salama sijui wewe kama unamabadiliko yeyote tangu uanze.Wakuu huwa najitahidi sana kuepuka mimba zisizotarajiwa, so huwa natumia njia ya asili na ya kawaida kabisa kukojoa nje ya papuchi.
Sasa je hii njia haiwezi kuniletea matatizo ya uzazi au matatizo mengine kama kipungukiwa na nguvu? maana ni muda mrefu sana naitumia.
Ule utam naumaliziaga kwenye pachi ya tumbo na paja namalizia hapo.Hiyo mkuu kweli ni njia nzuri za kuepuka mimba zisizotarajiwa,ila inahitaji moyo maana ukikarbia kumaliza kuna utamu wake,nadhani hakuna madhara kama utakuwa una time mkuu