Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
kubarikiwa kupo hivi:
1.Mizimu yao hipo wapi? mfano mizimu ya utawala,pesa,utajiri n.k
2.Nyota zao
3.vizazi vyao viliendelezwa mfano falme,manabii au matajiri

elimu ndogo sana.sasa we baba yako kachezea pesa alafu kipindi kariakoo kiwanja shilingi 50 unataka kulalamika
 
hayo maagano ndo yanakuaje huwa naskiaga tu
Hata wewe leo unaweza kuingia maagano. Maagano ni makubaliano na Mungu, a powerful spiritual being. Unaweza sema Mungu kama ukinikubalia kunipa utajiri mimi na vizazi vyangu basi kila mwaka nitatoa sadaka worth labda 20M kwa yatima na wajane. Na maagano hayo yanaunganishwa na kutolewa pamoja na sadaka kubwa pia kulingana na uwezo wa mtu. Unaweza ukawa kwa wakati huo, lets say una mtaji wa 5M, ukasema Mungu natoa 2.5M kwa yatima na wajane kusindikiza maagano haya ninayojiunganisha nayo. Cha kuzingatia ni make sure kila mwaka unawafundisha watoto wako kwamba 20M inatolewa kwa yatima na wajane maana siku ukiacha ndo mwisho wako.
 
kubarikiwa kupo hivi:
1.Mizimu yao hipo wapi? mfano mizimu ya utawala,pesa,utajiri n.k
2.Nyota zao
3.vizazi vyao viliendelezwa mfano falme,manabii au matajiri

elimu ndogo sana.sasa we baba yako kachezea pesa alafu kipindi kariakoo kiwanja shilingi 50 unataka kulalamika
Dah aise, nayo inafikirisha sana. Mizimu nayo inahusika mzee?
 
Hata wewe leo unaweza kuingia maagano. Maagano ni makubaliano na Mungu, a powerful spiritual being. Unaweza sema Mungu kama ukinikubalia kunipa utajiri mimi na vizazi vyangu basi kila mwaka nitatoa sadaka worth labda 20M kwa yatima na wajane. Na maagano hayo yanaunganishwa na kutolewa pamoja na sadaka kubwa pia kulingana na uwezo wa mtu. Unaweza ukawa kwa wakati huo, lets say una mtaji wa 5M, ukasema Mungu natoa 2.5M kwa yatima na wajane kusindikiza maagano haya ninayojiunganisha nayo. Cha kuzingatia ni make sure kila mwaka unawafundisha watoto wako kwamba 20M inatolewa kwa yatima na wajane maana siku ukiacha ndo mwisho wako.
Kumbe ndio maana tuonaona wafanya biashara wanatoa sana kwa maskini na wahitaji kumbe kuna siri hapa
 
Ukiachana na akili mingi, ukija kwenye uchumi mara nyingi inakua kuna mtu/watu katika hizo familia unazohisi zimebarikiwa walikata mzizi wa umaskini kwa wao kujitoa muhanga.

Walifight ili wajao nyuma yao wasiishi kiboya.
Sawa sawa kwamba walitafuta pesa kwa udi na uvumba ndio maana wengine wanaishi vizuri.
 
Kwa hiyo watu wanakosea kuidharau mizimu ya mababu na kushika imani za dini za wageni ( Ukristo na Uislam) ?
walio zileta wanajua mizimu yao.ndio maana mnawaona wamebarikiwa kuwa na uwezo .

Mizimu ina aina tabia ya kujenga maisha mfano mizimu yako ukaenda kuoa au kuolewa lazima mfanye mila kuipatanisha. pili sadaka unazoona wachaga wanapeleka kila mwisho wamwaka sababu ya mizimu yao ndio maana mnawaona wanatusua kwenye biashara
 
Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
Mimi Ni mkristo Ila kwenye hii falsafa ya HINDUISM Kuna ya kujifunza

Kuna kitu kinaitwa DEVIL INCARNATION yaan Wana amini Kama ukizaliwa kwenye umaskini au ulemavu au matatizo nikutokana na PAST EXISTENCE YA VIZAZI VYAKO HAVIKUISHI VIZURI IVYO WEWE UNA HUKUMIWA NA UOVU WA YOUR PAST EXISTENCES

So Kuna familia na Koo sio za kuoana nazo ama kushirikiana nao zinaweza kuku drain kulipa uovu wa vizazi vyao vilivyopita..
 
walio zileta wanajua mizimu yao.ndio maana mnawaona wamebarikiwa kuwa na uwezo .

Mizimu ina aina tabia ya kujenga maisha mfano mizimu yako ukaenda kuoa au kuolewa lazima mfanye mila kuipatanisha. pili sadaka unazoona wachaga wanapeleka kila mwisho wamwaka sababu ya mizimu yao ndio maana mnawaona wanatusua kwenye biashara
Yes
kaka yake shetani unaweza kuta una andamwa na mabalaa 24/7/365
 
walio zileta wanajua mizimu yao.ndio maana mnawaona wamebarikiwa kuwa na uwezo .

Mizimu ina aina tabia ya kujenga maisha mfano mizimu yako ukaenda kuoa au kuolewa lazima mfanye mila kuipatanisha. pili sadaka unazoona wachaga wanapeleka kila mwisho wamwaka sababu ya mizimu yao ndio maana mnawaona wanatusua kwenye biashara
Dah kweli hili ni somo pana sana.
 
Mimi Ni mkristo Ila kwenye hii falsafa ya HINDUISM Kuna ya kujifunza

Kuna kitu kinaitwa DEVIL INCARNATION yaan Wana amini Kama ukizaliwa kwenye umaskini au ulemavu au matatizo nikutokana na PAST EXISTENCE YA VIZAZI VYAKO HAVIKUISHI VIZURI IVYO WEWE UNA HUKUMIWA NA UOVU WA YOUR PAST EXISTENCES

So Kuna familia na Koo sio za kuoana nazo ama kushirikiana nao zinaweza kuku drain kulipa uovu wa vizazi vyao vilivyopita..
Uko sahihi lakini fact is ukipambana ukavunja baadhi ya limitation mliwekewa kama familia au ukoo, unainuka mazima.
 
Mimi Ni mkristo Ila kwenye hii falsafa ya HINDUISM Kuna ya kujifunza

Kuna kitu kinaitwa DEVIL INCARNATION yaan Wana amini Kama ukizaliwa kwenye umaskini au ulemavu au matatizo nikutokana na PAST EXISTENCE YA VIZAZI VYAKO HAVIKUISHI VIZURI IVYO WEWE UNA HUKUMIWA NA UOVU WA YOUR PAST EXISTENCES

So Kuna familia na Koo sio za kuoana nazo ama kushirikiana nao zinaweza kuku drain kulipa uovu wa vizazi vyao vilivyopita..
Hii imani ya kihindu inafanana na imani za mababu wengi wa kiafrika nao walikuwa makini kuchunguza famili hasa wakati wa kuona na kuepuka zile familia zenye laana.
 
Back
Top Bottom