Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ni kweli mkuuUkitoka hapo utapiga hatua zaidi kwani umepata muda mwingi wa kutafakari maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuuUkitoka hapo utapiga hatua zaidi kwani umepata muda mwingi wa kutafakari maisha.
Ndio nampata nabii Suleimani alikuwa na mali sana huyu.
Ndio mkuu wanasema wana jicho baya na ni asili yake. Kwa hiyo ukionana nae asubuhi wa kwanza unapata nuksi kama kuna jambo lako haliendi vema.Hii too much 😊 mkuu kusalimiana tenaa
YesNa ukichunguza familia nyingi zina maagano ya kichawi. Na wanandugu wana vijicho muda wote kurudishana nyuma na kuwangiana.!
Na hatari zaidi ukajichanganya ukaoa au kuolewa kwenye familia ya hivyo, aiseee na wewe utakuwa miongoni mwao
Hahaha nipoje mwachiluwi 😂ase
kwanini upo ivyo dah unafurahisha
unajitoa sana akiliHahaha nipoje mwachiluwi 😂
Hahahaa sio kama najitoa akili jamani, ni kwamba tu sina akili mwachiluwiunajitoa sana akili
Ndio vitu gani hivi mzee?
sawa bhnaHahahaa sio kama najitoa akili jamani, ni kwamba tu sina akili mwachiluwi
Elimu hizo ambazo ni part ya nyotaNdio vitu gani hivi mzee?
Sawa sawa.Elimu hizo ambazo ni part ya nyota
Tell me more mwanangu, hahaNa ukichunguza familia nyingi zina maagano ya kichawi. Na wanandugu wana vijicho muda wote kurudishana nyuma na kuwangiana.!
Na hatari zaidi ukajichanganya ukaoa au kuolewa kwenye familia ya hivyo, aiseee na wewe utakuwa miongoni mwao
Waweza fafanua zaidi, Hiki kipengeleHiyo ni impact ya structural arrangement
Familia nyingi vibuyu wanaendekeza sana ushirikina na kurudishana nyuma, km yeye watoto wake hawajafanikiwa basi na watoto wa ndugu zake anataka wasifanikiwe.!Tell me more mwanangu, haha
Sawa sawa. Tupe ushuhuda mkuuKuwalea watoto katika mfumo wa kuwa positive
MTU yeyote positive mafanikio huwa ni swala la kugusa tu hii naongea kwa ushuhuda .
Try and error ups and down zipo Ila ukiwa positive hauwezi kutoka katika reli.
To raise a kids to be well successful is to teach them to be positive 24/7
Hii ni vice versa ya kile aliandika mshana kuna familia zina laana. The same thingHabari Wakuu.
Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.
Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.
Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.
Karibuni kwa michango yenu.
Jamii zetu hizi watu wana wivu na ulozi mwingi.Familia nyingi vibuyu wanaendekeza sana ushirikina na kurudishana nyuma, km yeye watoto wake hawajafanikiwa basi na watoto wa ndugu zake anataka wasifanikiwe.!
Bila ya kuwa na D mbili ya dini hutoboi mwanangu 😂😂😂
Tupe mchango wako mkuuHii ni vice versa ya kile aliandika mshana kuna familia zina laana. The same thing
Pole kwa ajali .Mimi Ni mkristo Ila kwenye hii falsafa ya HINDUISM Kuna ya kujifunza
Kuna kitu kinaitwa DEVIL INCARNATION yaan Wana amini Kama ukizaliwa kwenye umaskini au ulemavu au matatizo nikutokana na PAST EXISTENCE YA VIZAZI VYAKO HAVIKUISHI VIZURI IVYO WEWE UNA HUKUMIWA NA UOVU WA YOUR PAST EXISTENCES
So Kuna familia na Koo sio za kuoana nazo ama kushirikiana nao zinaweza kuku drain kulipa uovu wa vizazi vyao vilivyopita..
Sawa sawa. Tupe ushuhuda mkuu