Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu kuwa na mipango na uchu wa kutaka kufanikiwa sioMaono - ndo mafanikio yenyewe .
Ukiona watu wanatoboa na wewe hautoboi ujue wamekuzidi vision tu.
Ndio maana Wahindi wapo makini sana kulewa watoto wao wafuate nyayo zao hasa kwenye biashara.MAONO , FAMILIA ZENYE MAONO NDO ZINAFANIKIWA .
WATU WANAANDILIWA NOTHING HAPPENS ACCIDENTALLY
Kumbe watu wana singizia baraka, ilihali wameshindwa kuwa na mipango juu ya mafanikio yao na vizazi vyao.Hakuna cha baraka , hata wewe unaweza jitoa ukaweka misingi bora ya kizazi chako cha badae.
Kabisa, angalia nchi za wenzetu walikua na mipango kapambe ya kuvamia nchi za watu na kuchukua rasilimali kwa njia yoyote ile kwa vizazi vyao ,ila unashangaa mtu anakuja kusema wale wamebarikiwa wakati kila kitu kili wekwa mezani kimipango na maono ya mbeleni.Kumbe watu wana singizia baraka, ilihali wameshindwa kuwa na mipango juu ya mafanikio yao na vizazi vyao.
Kumbe watu wana singizia baraka, ilihali wameshindwa kuwa na mipango juu ya mafanikio yao na vizazi vyao.
Umenena mkuu.Mfano watu nyote mmeajiriwa
Wewe mshahara wako unautumia kulewea ,wanawake na show off
Ila mwenzio Ana -save na kuwekeza
After 10 years mwenzako Ana-boom na kutoboa na kusomesha watoto wake shule nzuri na malezi mazuri then 20 yrs watoto wake wote wana-boom na kuwa well financial stable.
So baadae tunasema kuwa kuna baraka na laana kumbe tatizo ni kutokuwa na vision na utulivu Wa
Akili.
So tuendelee kujipanga kwa hilo. Kulea familia bora inawezekana kwa kila MTU
Dah hii kweli ila tumekuwa brainwashed. Mipango imara na kusimamia maono ndio msingi hasa wakufanikiwa.Kabisa, angalia nchi za wenzetu walikua na mipango kapambe ya kuvamia nchi za watu na kuchukua rasilimali kwa njia yoyote ile kwa vizazi vyao ,ila unashangaa mtu anakuja kusema wale wamebarikiwa wakati kila kitu kilewekwa mezani kimipango na maono ya mbeleni.
Kumbe haya ni nadharia tuu ndio maana familia na jamii zinazo shikilia imani hizi zipo nyuma sana.Mkuu
Uchawi
Laana
Baraka /mkosi
Shetani
Mizimu
Haya mambo watu huyatumia Ku-decline responsibility.
Wanaishi kwa imani mkuu.Kumbe haya ni nadharia tuu ndio maana familia na jamii zinazo shikilia imani hizi zipo nyuma sana.
Umenena mkuu.
Hii kweli kabisa na ndio maana pia tunaona watu wanaachiwa mali na biashara kubwa na wazazi wao wanapo fariki ila wanakosa maono ya kuendeleza biashara hizo, mwisho wanauza na kuishia kuwa masikini.Mkuu ukitaka kujua kuwa mafanikio yanashikiliwa na maono ebu watazame watoto wa Nyerere unaweza kujifunza kitu
Baba yao alitoka kijijini na kuja DSM na Ku-hustle hadi kuipa nchi ya Tanganyika Uhuru hii kazi ilikuwa no (maono makubwa) aliyokuwa nayo
Ila watoto wake wamejaribu wameshindwa so maono ndo huzaa ndoto kubwa Sana. Na sio ainanya familia unatoka.
Ukiwa na maono unaweza kwenda mahala popote duniani na ukafanikiwa hata Kama ni kwa uchache.
Hii kweli kabisa na ndio maana pia tunaona watu wanaachiwa mali na biashara kubwa na wazazi wao wanapo fariki ila wanakosa maono ya kuendeleza biashara hizo, mwisho wanauza na kuishia kuwa masikini.
Inahusika sanaDah aise, nayo inafikirisha sana. Mizimu nayo inahusika mzee?
Tunatumia mfumo wa maisha wa survival of the fittest! Mwenye nacho anangezewa.Waweza fafanua zaidi, Hiki kipengele
Kalaga baho maana yake "Kaaga hapohapo"maana ya ID yako ni nini? kuna sehemu niliskia
Sawa mkuuPole kwa ajali .
Ila mkuu bloodline haina uhusiano na destiny yako.
Mafanikio na maisha generally hutegemea maono (vision) ukiwa na uwezo wa kuitazama kesho yako unaweza kufanikiwa .
So usiamini mambo ya bloodline
Sawa sawa, ni mtu uamue kutoka kwenye hiyo minyororo na usimamie maono yako kweli kweli.Tunatumia mfumo wa maisha wa survival of the fittest! Mwenye nacho anangezewa.
Huu mfumo wa maisha ukiwepo sehem maskini wanarithishana na matajiri wanarithishana. So, hili gepu kufutika kwa minded mana mfumo unalazimisha maskin k
Wawepo
KabisaUpo sahihi - nadhani umeandika majibu mazuri ya swali lako.