Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #141
Connection ni muhimu sana kwenye kufanikiwa pia.Jibu ni moja TU
Wanapeana TAG hakuna kukunjiana
Ukiona familia mmoja TU ndio yupo JUU wengine wapo chini au hawaeleweki jua huyo alie JUU kapiga KOMEO hataki kuwapa TAG wengine wapande JUU km yeye na anataka aonekane yeye TU ndio wa JUU
Hii comment ntaikuta hapa nikiwa na Miaka 79
Na log OUT
Usi Log Out mkuu tutakosa mawazo yako yaliyo tukuka kama haya.