Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

1.Urithi hapo kuangalia Sana wakati wa kuoa ,karibu kufanya uchunguzi wa AFYA kwa kuhoji kama vile magonjwa ya kurithi,AFYA ya akili,ukoma,seli mundu.
2.Malezi anayokulia MTOTO wako ikiwa Kuna msisitizo kutoka kwa WAZAZI WOTE WAWILI lazima wawe VIZURI.
3.mazingira ya kujifunzia
 
Kuna familia ya kina Kijazi, Mwapachu.

Hawa kina Kijazi mimi nawaitaga vijaza post zao huyu utaambiwa katibu mkuu wa wizara, huyu Mkurugenzi Tanapa huyu siyo katibu mkuu wa nini, hawa nimewavulia kofia.
Kuna ukoo mmoja umekaa pale bot na vijana wao wote wa rika langu wana mastazi.. wanaofatia wanaenda kuanza form six mwez wa saba
 
Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.

Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
Nimefurahishwa sana na kukutana na huu Mtazamo. Na ni kwasababu katika miaka fulani niliishi nikiamini hivyo.

Leo naandika hili nikiwa nje ya kile nilichoamini, binafsi nimetokea katika familia yenye wingi wa watu walioishia njiani katika masomo na ni hakika leo hii kupitia mimi wamefuta dhana waliyokuwa nayo.
Ndipo hapo nikijitathimini najikutaa naanza kujicheka kwanini nilidhani kuwa sitafika mbali kama ndugu zangu.

NAJIBU HOJA YAKO KWA KUSEMA.

Kwanza ni kiri kuwa ni kweli zipo familia zina mnyororo wa kutofanikiwa kielimu na zenye mnyororo wa mafanikio kielimu. Hata inafikia wakati watu wanaamini watu wa makabila fulani wapo vizuri kielimu na makabila fulani huishia kuvaa misulupwete.

Basi leo nakupa majibu ambayo walau yatakuridhisha hata ikiwa sio kwa asilimia mia.

Naweka wazi kuwa SIO KWELI YA KWAMBA BAADHI YA FAMILIA ZIMEBARIKIWA ZAIDI WALA SIO KWAMBA BAADHI YA FAMILIA ZIMELAANIWA (Niwie radhi kwa kutumia neno hilo)

SABABU YA KUWEPO KWA HALI HII HUSABABISHWA NA NADHARIA TOFAUTITOFAUTI (Miongoni mwao umekwisha kuzitaja)
Nazo ni kama zifuatazo:
1. Kurithi / Genetics (Huaminika zaidi kisayansi).
2. Malezi na Mazingira ya makuzi.
3. Haio ya kiuchumi ya familia.
4. Utamaduni na mitazamo.
5. Rasilimali na misaada
6. Motisha binafsi (kujitambua).
Ningeweza kueleza kila nadharia kwa upana lakini walau hiyo inatosha kuwafanya mtafakari.

Kwa kuhitimisha ni kwamba mafanikio ya familia ni matokeo ya mwingiliano wa sababu nyingi zaidi ya zilizotajwa hapo na sio moja pekee. Inawezekana umerithi genetics za kizombie walakini malezi yakiwa bora, ukapata support, ukawa na motisha binafsi, ukaweza KUTOBOA.

Na ifahamike kuwa kutokana na sababu hizo baadhi ya familia hujikuta katika mnyororo au mzunguko wa umaskini. Hivyo sio genetics peke yake humfanya mtu kutoendelea.
Kila familia ni ya kipekee, na hivyo ni muhimu kuzingatia mambo haya yote katika kuelewa tofauti za mafanikio kati ya familia mbalimbali.
Watu hawapasqi kuamini na kujifunga kwa historia za familia zao bali kuamini kila mtu anaweza kufanya kitu cha tofauti.
 
1.Urithi hapo kuangalia Sana wakati wa kuoa ,karibu kufanya uchunguzi wa AFYA kwa kuhoji kama vile magonjwa ya kurithi,AFYA ya akili,ukoma,seli mundu.
2.Malezi anayokulia MTOTO wako ikiwa Kuna msisitizo kutoka kwa WAZAZI WOTE WAWILI lazima wawe VIZURI.
3.mazingira ya kujifunzia
Ni mambo muhimu sana ila kizazi cha sasa tumeyapa kisogo mambo haya.
 
Kuna ukoo mmoja umekaa pale bot na vijana wao wote wa rika langu wana mastazi.. wanaofatia wanaenda kuanza form six mwez wa saba
Hii ipo sana yani wana tengeneza Dynasty angali mfano wa familia ya Kenyatta, Moi na Odinga family.

Na hapa Tanzania kuna familia zimeanza kutengeneza Dynasty mkuu.
 
Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
Maji hufuata mkondo ,usitegemee kuja kukuta familia ya kikwete waje kuwa omba omba.

JM kikwete wanae wote wapo njema ,na uzao wake wa kina riz1 no wanae watakua njema hivyo hivyo coz atawasomesha shule nzuri ,pili atawapa connection.
 
Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.
Jibu ni moja TU

Wanapeana TAG hakuna kukunjiana

Ukiona familia mmoja TU ndio yupo JUU wengine wapo chini au hawaeleweki jua huyo alie JUU kapiga KOMEO hataki kuwapa TAG wengine wapande JUU km yeye na anataka aonekane yeye TU ndio wa JUU

Hii comment ntaikuta hapa nikiwa na Miaka 79

Na log OUT
 
Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi wamefanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
Ni ukweli usiopingika kua kunafamilia zina bahati/zimebarikiwa na zipo familia zenye mikosi/zimelaaniwa lakini kitu kikubwa kwa baadhi ya familia kufanikiwa kwa kiwango kikubwa ni kuwepo kwa kiunganishi/kiongozi mzuri ndani ya familia;

Mfano usione kuna familia watoto wote wanabiashara kubwa na maisha mazuri /wameajiriwa sehemu nzuri kuna mtu kasababisha hilo kutokea kuna watoto wengi tunawaona kwenye familia hizo wanaanguka mara kadhaa kwenye biashara zao lakini kutokana na uwepo wa kiunganishi wanasimama tena.
 
Maji hufuata mkondo ,usitegemee kuja kukuta familia ya kikwete waje kuwa omba omba.

JM kikwete wanae wote wapo njema ,na uzao wake wa kina riz1 no wanae watakua njema hivyo hivyo coz atawasomesha shule nzuri ,pili atawapa connection.
Kweli mji hufuata mkondo kuna kila sababu ya kupambana kweli kweli.
 
Back
Top Bottom